Ng'wanamalundi
JF-Expert Member
- Feb 4, 2008
- 1,203
- 1,422
Sawa kabisa usemayo.Wanabodi
Hili ni bandiko la swali, Jee ukitendewa wema, unatoa shukrani? Jee Sisi Watanzania ni watu wa shukrani?. Kwa wema wote tuliofanyiwa na serikali ya awamu ya 5 katika kutuletea maendeleo, tarehe 28 October tutatoa shukrani au?....
Ujinga una gharama nafuu kwa sababu haupimi madhara,. Hata ujue umeathirika sio mjinga tena, watanzania wamechagua kutojua kama wameathirika ili kubainisha UJINGA WAOSawa kabisa usemayo.
Chadema ruzuku Yao ni Milion 250, ccm no BILIONI +
Delete ccm Oct 28Wanabodi
Hili ni bandiko la swali, Jee ukitendewa wema, unatoa shukrani? Jee Sisi Watanzania ni watu wa shukrani?. Kwa wema wote tuliofanyiwa na serikali ya awamu ya 5 katika kutuletea maendeleo, tarehe 28 October tutatoa shukrani au?..
Wanabodi
Hili ni bandiko la swali, Jee ukitendewa wema, unatoa shukrani? Jee Sisi Watanzania ni watu wa shukrani?. Kwa wema wote tuliofanyiwa na serikali ya awamu ya 5 katika kutuletea maendeleo, tarehe 28 October tutatoa shukrani au?....
Nimekuwa nikisema mara nyingi. Mtu anakosa hoja. Lakini kwa ajili ya chuki tu anaona ingawa aishie kwa kukashifu. Kama tuyasemayo ni ujinga, basi wewe tujuze werevu wako. Hiyo ndiyo itadhihirisha ujinga wetu.Ujinga una gharama nafuu kwa sababu haupimi madhara,. Hata ujue umeathirika sio mjinga tena, watanzania wamechagua kutojua kama wameathirika ili kubainisha UJINGA WAO
Mkuu sawa ila mungu anakuona , tulipofikia mda huu na saa au dakika hii tunaangalia taifa kwanza Mambo mengine badae,si mda kuzungumzia ujenzi ,Kama jpm akipita sawa yatajengwa na mengine na mengine au akipa mwingine ataelewa lipi muhimu.Wanabodi
Hili ni bandiko la swali, Jee ukitendewa wema, unatoa shukrani? Jee Sisi Watanzania ni watu wa shukrani?. Kwa wema wote tuliofanyiwa na serikali ya awamu ya 5 katika kutuletea maendeleo, tarehe 28 October tutatoa shukrani au?....
Bora ya nyie mnapita kwenye flyover iyo,,,Site huku tunapita kwenye mabonde barabara hatuna hapa tunawaza mvua zikianza tutapita wapi?Wanabodi
Hili ni bandiko la swali, Jee ukitendewa wema, unatoa shukrani? Jee Sisi Watanzania ni watu wa shukrani?. Kwa wema wote tuliofanyiwa na serikali ya awamu ya 5 katika kutuletea maendeleo, tarehe 28 October tutatoa shukrani au?...
π π πWanabodi
Hili ni bandiko la swali, Jee ukitendewa wema, unatoa shukrani? Jee Sisi Watanzania ni watu wa shukrani?. Kwa wema wote tuliofanyiwa na serikali ya awamu ya 5 katika kutuletea maendeleo, tarehe 28 October tutatoa shukrani au?..
Unamlinganishaje rais na LISSU?JPM kapiga kazi ya maana na kimaadili ni kiongozi bora kuliko Lissu kwa mara elfu kumi.
Lissu anamkejeli Mwalimu Nyerere asiyeweza kujitetea halafu anakwenda kutembelea Butiama.
Lissu anawatukana polisi akiwa jukwaani halafu akishuka chini ni hao hao wanaomlinda!!.
Wapo wengi humu wanapayuka kwahiyo tuseme asante kwa kodi zetu wenyewe hizi flyovers ni washamba wasiotembea wakaona dunia ndiyo wanaona vitu vya ajabu, miaka 60 leo toka uhuru sisi ndiyo tunapata kuona hapa kwetu halafu eti tushangilie tuseme asante wakati zilitakiwa kuwepo mikoa yote kwa miaka chama kiliyokaa, madarakani hebu tuheshimiane aisee.Naona hujakata tamaa kupata u DC. Pambana.
Wanabodi
Hili ni bandiko la swali, Jee ukitendewa wema, unatoa shukrani? Jee Sisi Watanzania ni watu wa shukrani?. Kwa wema wote tuliofanyiwa na serikali ya awamu ya 5 katika kutuletea maendeleo, tarehe 28 October tutatoa shukrani au?...
Kumbe ana LL.BYani majukumu ya serikali leo hii inageuka fadhila? Halafu huyu anaesema haya ni mtu mwenye LL.b hahahah...ππππ
Ukiangalia vzuri structure ya hizo interchange ulizoziweka zinatofautiana...Je hizo zote zimejengwa Malawi?Mkuu acha ushamba wavitu....2019 Magufuli aliyenda Lilongwe Malawi kukamuunga mkono raisi wa Malawi Peter Muntharika kama kawaida yake vile aliyenda kumuunga Kipenzi chake Kenya Odinga ..Matokeo yake kwa hawa majamaa zake ali wa endorse nawakika uliyapata...
Nitofauti kwasababu hapo ni different levels za project progress unless upo myopic...Kwanza habari ni ya interchange sio design au ubora....just like Mkapa stadium nisawa na Levy Mwanawasa Stadium au Bingu National Stadium I doubt exactly what do you want au unataka kusema Muntharika alipigwa chini nawapigwa kura kwasababu hakujenga interchange kama ya Ubungo??? try to be logic manUkiangalia vzuri structure ya hizo interchange ulizoziweka zinatofautiana...Je hizo zote zimejengwa Malawi?