That Gentleman
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,215
- 3,678
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KIla anayetimizawaji´bu wake anapewa hongera na asante. Vipi anayejiita mwanasheria wa CHADEMA anayewatoza wana-CDM milioni 20?Yani majukumu ya serikali leo hii inageuka fadhila? Halafu huyu anaesema haya ni mtu mwenye LL.b hahahah...😀😀😀😀
Wasomi wetu wanatia kinyaa.Yani majukumu ya serikali leo hii inageuka fadhila? Halafu huyu anaesema haya ni mtu mwenye LL.b hahahah...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Na mkataba uliosigniwa ni kutengeneza flyover sio interchange. JK kama angekuwepo ile fly over iliyokuwa imeplaniwa apo, hata wakenya wangetuogopaMkataba ulisainiwa tangu oktoba 2015 tangu enzi za JK.