Je, unaweza kutoboa kimaisha (biashara) nje ya miji mikubwa kama Dar, Mwanza, Arusha, Mbeya na Dodoma?

Je, unaweza kutoboa kimaisha (biashara) nje ya miji mikubwa kama Dar, Mwanza, Arusha, Mbeya na Dodoma?

Hakuna kama Dar,huko mikoani michosho tu Yani Bora waajiriwa wenye uhakika wa mshahara wa mwezi,ila Kwa mtafutaji sikushauri mikoani Bora upambane Dar,maana hao vijana wa mikoani wenyewe wanapaota Dar kila siku,wanaamini ndoto zao zitatimia Dar,ila lazima uwe na focus nzuri hard working,nidhamu ya pesa na kuzijua fursa.Dar,mwanza Kuna unafuu sana Kwa wapambanaji kuliko huko wilayani,vijijini mikoani fursa ya kilimo Cha kumtoa mtu sio hichi tunachodanganyana hapa kilimo chenye tija kinahitaji pesa(mtaji).
 
Hakuna kama Dar,huko mikoani michosho tu Yani Bora waajiriwa wenye uhakika wa mshahara wa mwezi,ila Kwa mtafutaji sikushauri mikoani Bora upambane Dar,maana hao vijana wa mikoani wenyewe wanapaota Dar kila siku,wanaamini ndoto zao zitatimia Dar,ila lazima uwe na focus nzuri hard working,nidhamu ya pesa na kuzijua fursa.Dar,mwanza Kuna unafuu sana Kwa wapambanaji kuliko huko wilayani,vijijini mikoani fursa ya kilimo Cha kumtoa mtu sio hichi tunachodanganyana hapa kilimo chenye tija kinahitaji pesa(mtaji).
Hivi ndio nawaambia watu, miji mikubwa ina wafovour wapambanaji sana.
 
Ngoja nikusanue pesa ipo vijijini maporini uko hii ipo tangu ukoloni mpaka leo mjini hakuna masoko mjini bidhaa nyingi faida unaipata wapi na ndio maana enzi za ukoloni wazungu walijimilikisha maeneo yao ili waweze zalisha mali na wengine wakaenda porini kabisa kutafuta masoko hii njia mpaka leo wajanja wanaitumia

Huwezi kaa mjini kisa wewe bodaboda eti utatoboa kisa kila siku unavichwa

Uwezi kaa mjini ukatoboa kisa wewe chinga unauza soksi, leso, visu ukaona game yako

Uko vijijini ndio kuna badilisha maisha ya watu wa mjini, na waliopo mjini waliotoboa wametoka vijijini wakaja mjini baada ya kujua ramani, vijijini watu wanalima, wanafuga, wana masoko ya bidhaa

So wee kaa mjini endelea kushangaa magorofa mapya kila siku na magari mapya hizo ni products za uko vijijini

Hii nawambia hata vijana mliomaliza vyuo mnatafuta ajira uko vijijini kuna fursa kuna wilaya kibao hazina watalamu wa fans mlizonazo ukienda uko ukakomaa miaka mitatu ukajenga jina ukapata connection mjini unarudi kwa kuvimba

Sasa nyie endeleeni kukaa mjini tu mtakula rami
Hii nimeipenda sana mkuu haya maamuzu yakutoka mjini kuja kijijini ndo nmeyafanya Mimi Sasa,kwani nmekuja kijijini tangu mwaka Jana na raman huku ziko kibao ispokuwa tu bado sijakaa vizur kwenye mtaji but hayo yote unayosema ni kweli,nataman hata ningweza pata muwekezaji tukashiriana kwan huku Kuna hitaji huduma nyingi sana ispokuwa pesa kiupande wangu haija kaa tu sawa.....,ila vijijini Kuna fursa sana nyingi
 
Mkuu, nifungulie nipate elimu pana kidogo tofauti na huo huo uchuuzi wa kuchukua bidhaa kariakoo na kusalia kuuza bei za juu kuna kipi utakifanya mkoani hasa vijijini kwa mtaji wa million 5-10.
Kilimo, madini, viwanda vidogo kwenye ya viwanda vidogo wachina wajinufaisha nayo sana huko vijijini
 
Back
Top Bottom