Je, unaweza kuweka Engine ya premio au Carina Ti kwenye Brevis?

Write your reply...naomba mnisaidie kitu kimoja gari yangu nikiweka drive kwenye dash board haionyeshi ingawaje inaengage lakini yaan kitaa hakiwaki lakini niweka neutro , parking na mengine inaonyesha shida itakuwa Nini au balbu itakuwa imeungua maana imetokea gafla
 
Write your reply...na je Kama balbu imengua kuweka nyingine inatakiwa kufungua sehemu nyingi kweny dashboard ?
 

Hivi Bongo hamna watu wanafanya tuning?

Hizi shida zote zingekuwa solved kwa chip tuning. Whether unataka fuel economy au unataka Performance.
 

Aiseee shukrani mkuu huu ushauri utanifanya nisibadili mawazo yangu ya kununua mark II JZX110.
 
mkuu sioni kujitesa kokote maana nishazoea kwahyo huo ndo uendeshaji wangu ..ila Kama Nina haraka zangu naizibua kwelkwel si kila safar ni mwendo wa kubana mafuta
Na mimi huwa natumia mbinu hyo hyo na nilishazoea kuendesha hvo
 
Aiseee shukrani mkuu huu ushauri utanifanya nisibadili mawazo yangu ya kununua mark II JZX110.
Usijidanganye kulinganisha 1JZ-GTE(JZX 110) vs 1JZ-GE(Progress).

1JZ-GTE ni jini kweli kweli,ile ni gari ya Performance kama uwezo hauna bora kuachana nayo tu maana hautai-enjoy.
 
Write your reply...Kuna mwenye Carina ti nilimwambia akanibishia tukapanga route ya km 100 na wote tukaanza safar kwa pamoja na kufika kwa pamoja .tulikuwa tunatembea sipid 100 . yeye alijikuta ametumia Lita 10 Mimi Lita 7

Kaka uko sahihi kabisa.....
Kwa uzoefu wangu, ukiweza ku control RPM unaokoa mafuta na fedha nyingi sana
 
Inawezekana ila mafundi umeme wa gari ndo watakuwa sheli yako mpya. Watazinywa hizo pesa mpaka ufurahi.

Umeme wa brevis ni sensitive.
Nunua vitz, passo au ist etc mpaka utakapokuwa tayari kuwa na pesa ya kuhudumia a comfortable car. Ni kawaida kuanzia chini.
 
Kwa hiyo unamaanisha kwamba unaweza Ku Tune gari ambayo hapo awali ilikuwa inakula mafuta na ikapunguza kiasi cha fuel consumption?

Sent using Jamii Forums mobile app

Exact... inawezekana kufanya hivyo bila kuongeza kitu chochote kwenye gari yako. Just kubadili tu parameters. Ila ni mambo ambayo yanahitaji mtu ambaye yupo qualified. Hakuna fundi nyundo anaweza kufanya hiyo kitu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…