Je, unaweza mvuta mpenzi umtakaye kwa kutumia uchawi?

Je, unaweza mvuta mpenzi umtakaye kwa kutumia uchawi?

Pillato

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2021
Posts
333
Reaction score
310
Sina pesa sio handsome na hata six pack Sina, mpaka naandika uzi wanawake 16 wamenikataa, nimekuja kwenu nipate kujua ukweli kuhusu hizi za dawa za mvuto (uchawi) je ukweli zinasaidia?

Kuna jamaa yangu ananiambia anahisi mkewe ni mchawi, kwasababu hakuwahi kumpenda wala kumtamani lakini leo hii ndiye mke wake,ni baada ya kuota amemuoa na yeye kutaka kuipima ndoto.
 
Usiseme uchawi,sema dawa za kienyeji

Jibu ni kuwa zinawezekana,kipindi nipo sekondari niliwahi zitumia na nikala pisi moja kali sana tena ni ile style unafanya mafekeche baadae unamfata na kumshika begani unamwambia nataka nkule mzigo baadae unaongoza njia kuelekea gheto mtoto anakufata bila hiyana

Kwanza nilipomfanyia hyo dawa,ile nimefika shule mtoto alikuwa ananitazama mimi tu,najua sku hyo hakuelewa hata walimu walichokuwa wanafundisha,ilkuwa ijumaa,jioni yake kulikuwa na michezo,ndo nilipomchukua mtoto kiulaini

Ila hizi dawa kuzipata sio rahisi,wataalamu wengi hawana watakudanganya,maana hz dawa zinaendana na zile za mvuto wa kibiashara,usikute hata kuna mchanganyiko wa mfupa wa hawa ndugu zetu wenye matatizo kwenye ngozi
 
Usiseme uchawi,sema dawa za kienyeji

Jibu ni kuwa zinawezekana,kipindi nipo sekondari niliwahi zitumia na nikala pisi moja kali sana tena ni ile style unafanya mafekeche baadae unamfata na kumshika begani unamwambia nataka nkule mzigo baadae unaongoza njia kuelekea gheto mtoto anakufata bila hiyana

Kwanza nilipomfanyia hyo dawa,ile nimefika shule mtoto alikuwa ananitazama mimi tu,najua sku hyo hakuelewa hata walimu walichokuwa wanafundisha,ilkuwa ijumaa,jioni yake kulikuwa na michezo,ndo nilipomchukua mtoto kiulaini

Ila hizi dawa kuzipata sio rahisi,wataalamu wengi hawana watakudanganya,maana hz dawa zinaendana na zile za mvuto wa kibiashara,usikute hata kuna mchanganyiko wa mfupa wa hawa ndugu zetu wenye matatizo kwenye ngozi
Daaa!Hizo zingine sasa hata hazifai
Nasikia ipo ya kuwatafuna kwa kutumia nguvu za giza (uchawi)wakiwa usingizini,halafu mhusika akiamka anajua kabisa fulani kanitafuna,nataka niwatafune wote walionikataa.
 
We kamroge halafu yeye aje akupe limbwata hapo mtakuwa mmechanganya mizimu sasa kitakachotokea sijui tu..[emoji23]
Poa tu ,tatizo sijui kuloga msaada tafadhali.
 
Back
Top Bottom