Je, unaweza mvuta mpenzi umtakaye kwa kutumia uchawi?

Je, unaweza mvuta mpenzi umtakaye kwa kutumia uchawi?

Achana na imani hizo za kupata mpenzi na uchawi wa mganga..utalipia gharama kubwa na unaweza haribu kabisa maisha yako.
Kua na subra ipo siku tu utapata mwenye kukupenda wewe ulivyo .
Genye zitaniua mkuu Sina namna
 
Mkuu omba sana na utafute kwa bidii

Hakuna mwanaume mbaya mbele ya mafanikio

Utasikia you look handsome

Hata kama ni babu miaka 60
 
Uchawi uko hivi.

Ni rahisi kumloga ulienae tayari katika mahusiano ili azidi kukupenda kuliko kumloga usienae akupende. Ni sawa na kuloga ili upate kazi, ni ngumu kuliko kuloga ili upande cheo.

Juzi nilikuwa night shift kuna jamaa aliniambia haya maneno katika story zetu. Ukweli wake sijui maana siamini uchawi.
 
Genye zitaniua mkuu Sina namna
Tongoza unaye endana nae, unakuta huna pesa kama unavyosema, huna muonekano alafu unaenda kutongoza Miss Tanzania.
Wanawake wanalia kibao makanisani wapate tu mtu wakumuita baby, tafuta mazingira ya kukutana na ambao wana uhitaji na mapenzi.
 
Tongoza unaye endana nae, unakuta huna pesa kama unavyosema, huna muonekano alafu unaenda kutongoza Miss Tanzania.
Wanawake wanalia kibao makanisani wapate tu mtu wakumuita baby, tafuta mazingira ya kukutana na ambao wana uhitaji na mapenzi.
Tatizo pesa mkuu hata ninaoendana nao wananiona sio type yao
 
Daaa!Hizo zingine sasa hata hazifai
Nasikia ipo ya kuwatafuna kwa kutumia nguvu za giza (uchawi)wakiwa usingizini,halafu mhusika akiamka anajua kabisa fulani kanitafuna,nataka niwatafune wote walionikataa.
Kuna jamaa tulisoma nae chuo nazan alikuwa na dawa unayoisema wewe.

Maana kuna mademu kibao walikuwa wanasema jamaa anakuwa anawagonga usiku,kuna kibinti kimoja kiliwahi muwakia asubuhi kikimtuhumu kuwa kakiingilia usiku

Na wanadai walikuwa wanajikuta wamechafuka kabisa sehemu za siri

Jamaa alikuwa kilema ila anaweza kutembea,ni mkazi wa shinyanga
 
Sina pesa sio handsome na hata six pack Sina, mpaka naandika uzi wanawake 16 wamenikataa, nimekuja kwenu nipate kujua ukweli kuhusu hizi za dawa za mvuto (uchawi) je ukweli zinasaidia?

Kuna jamaa yangu ananiambia anahisi mkewe ni mchawi, kwasababu hakuwahi kumpenda wala kumtamani lakini leo hii ndiye mke wake,ni baada ya kuota amemuoa nayeye kutaka kuipima ndoto.

Hiyo itakuwa ni matumizi mabaya ya uchawi
 
Sina pesa sio handsome na hata six pack Sina, mpaka naandika uzi wanawake 16 wamenikataa, nimekuja kwenu nipate kujua ukweli kuhusu hizi za dawa za mvuto (uchawi) je ukweli zinasaidia?

Kuna jamaa yangu ananiambia anahisi mkewe ni mchawi, kwasababu hakuwahi kumpenda wala kumtamani lakini leo hii ndiye mke wake,ni baada ya kuota amemuoa nayeye kutaka kuipima ndoto.
Tafta pesa tu ndo mchawi utaanza kuambiwa Pillato we handsome, pillato una kifua kizuri.
 
Kuna jamaa tulisoma nae chuo nazan alikuwa na dawa unayoisema wewe.

Maana kuna mademu kibao walikuwa wanasema jamaa anakuwa anawagonga usiku,kuna kibinti kimoja kiliwahi muwakia asubuhi kikimtuhumu kuwa kakiingilia usiku

Na wanadai walikuwa wanajikuta wamechafuka kabisa sehemu za siri

Jamaa alikuwa kilema ila anaweza kutembea,ni mkazi wa shinyanga

Usiku hata hainogi
 
Tatizo pesa mkuu hata ninaoendana nao wananiona sio type yao
Usiende na hio imani, pambana, ukiwa unapambana mwanamke atavutiwa na wewe maana ataamini sasa hauna ila miaka ya mbele Mungu akiwajalia kwa juhudi zako basi mtafanikiwa. Pia sali sana, hiki ndio kipindi chako cha kuwa karibu na Mungu wako, nyota yako itang'aa wahuni watasema umetumia ndumba kumbe sala.
Kama mkristo hii ni kwarezma, funga. Kama muislam mwezi ujao ni Ramadhani funga.
Usiwe wa kushinda nyumba za ibada bila kujishughulisha, jitume watu wataona, na wanawake watakufata wenyewe.
 
Baharia unaniangusha mkuu unashindwaje kumpata mpenzi mm nafikiria hujaamua tuu wanawake wote hawa waliopo kitaa.

Ila dawa zipo za kupata HAO wanawake mm Mwenyewe nishawahi zitumia ( Baleghe mbaya Sana) kuna unga unaweka chini ya fizi than unamfata Mrembo hata ukimwambia haya niamkie anakuamkia kiroho Safi.

Ila sikushauri kuna Rafiki yangu alifatwa na demu saa saba za usiku anagongewa dirisha sio akili ya MTU TENA, kila MTU atagundua kuna walakini kila Jambo linaitaji mipaka ukitumia hizo Dawa yanakuwa sio Mapenzi in Kero.
 
Back
Top Bottom