Je, unaweza mvuta mpenzi umtakaye kwa kutumia uchawi?

Je, unaweza mvuta mpenzi umtakaye kwa kutumia uchawi?

Sina pesa sio handsome na hata six pack Sina, mpaka naandika uzi wanawake 16 wamenikataa, nimekuja kwenu nipate kujua ukweli kuhusu hizi za dawa za mvuto (uchawi) je ukweli zinasaidia?

Kuna jamaa yangu ananiambia anahisi mkewe ni mchawi, kwasababu hakuwahi kumpenda wala kumtamani lakini leo hii ndiye mke wake,ni baada ya kuota amemuoa nayeye kutaka kuipima ndoto.
Mkuu wanawake wa sasa sisi ni matatizo sana.....jaribu kuangalia mwanamke anaeendana na ww tofaut na hvo utafanyiwa vituko

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Daaa!Hizo zingine sasa hata hazifai
Nasikia ipo ya kuwatafuna kwa kutumia nguvu za giza (uchawi)wakiwa usingizini,halafu mhusika akiamka anajua kabisa fulani kanitafuna,nataka niwatafune wote walionikataa.
Mkuu, unaingizwa cha kike!! Hiyo dawa kijijini kwetu ipo, kinachofanyika ni kuwa unalala na mizimu (roho za wafu wa jinsia tofauti na yako) sema wao wanachukua sura za yule unaemtaka! Na huyo halisi unaemtaka anatengenezewa ndoto tu ya ushahidi lakini haathiriki kwa chochote!
Hata wewe unaeenda kula hiyo mizimu unatengenezewa kitu kinaitwa false awakening, yaani unaamka kwenye ndoto ila wewe unajiona kama umeamka kweli, kisha unamfuata huyo msichana unaemtaka kwao, unabisha hodi anakufungulia, unamla hapohapo!! Unaweza kumpeleka hata masaa 6 hivi!! Ila in reality unakuwa una sex na roho za wafu (mizimu) hata huko unakokwenda ni makaburini, wala sio kwao na huyo msichana!! Msichana anatengenezewa ushahidi tu, nao ni wa ndoto!!
Kama ukihitaji hiyo dawa nishtue tuifuate Pemba, nauli juu yako!!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Daaa!Hizo zingine sasa hata hazifai
Nasikia ipo ya kuwatafuna kwa kutumia nguvu za giza (uchawi)wakiwa usingizini,halafu mhusika akiamka anajua kabisa fulani kanitafuna,nataka niwatafune wote walionikataa.
Sasa hapo unapataa raha gan? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Msikilze huyo aliyekuambia kuhusu dawa za kienyeji zipo sana.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Sasa hapo unapataa raha gan? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Msikilze huyo aliyekuambia kuhusu dawa za kienyeji zipo sana.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Ukiwapitia gizani watajileta wenyewe nuruni,hizo dawa zake mpaka nimeogopa bora niendelee kuwa mnunuzi nikipata 10,000 naenda kupata huduma maisha yanaendelea.
 
Ukiwapitia gizani watajileta wenyewe nuruni,hizo dawa zake mpaka nimeogopa bora niendelee kuwa mnunuzi nikipata 10,000 naenda kupata huduma maisha yanaendelea.
Kumbe utelezi unapata sasa shida ya nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, unaingizwa cha kike!! Hiyo dawa kijijini kwetu ipo, kinachofanyika ni kuwa unalala na mizimu (roho za wafu wa jinsia tofauti na yako) sema wao wanachukua sura za yule unaemtaka! Na huyo halisi unaemtaka anatengenezewa ndoto tu ya ushahidi lakini haathiriki kwa chochote!
Hata wewe unaeenda kula hiyo mizimu unatengenezewa kitu kinaitwa false awakening, yaani unaamka kwenye ndoto ila wewe unajiona kama umeamka kweli, kisha unamfuata huyo msichana unaemtaka kwao, unabisha hodi anakufungulia, unamla hapohapo!! Unaweza kumpeleka hata masaa 6 hivi!! Ila in reality unakuwa una sex na roho za wafu (mizimu) hata huko unakokwenda ni makaburini, wala sio kwao na huyo msichana!! Msichana anatengenezewa ushahidi tu, nao ni wa ndoto!!
Kama ukihitaji hiyo dawa nishtue tuifuate Pemba, nauli juu yako!!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ikishakuwa hivyo je huyo aliyetengenezewa ndoto ya kuwa na mimi hawezi kunitafuta ili tufanye kweli?
 
Ikishakuwa hivyo je huyo aliyetengenezewa ndoto ya kuwa na mimi hawezi kunitafuta ili tufanye kweli?
Inategemeana na msichana mwenyewe!! Kwa kuwa kwenye ndoto anayotennezewa, hakuna raha au maumivu anayoyapata, all in all ni ndoto kwake!! Hata kuchoka haipo iyo!!
Wewe ndo unakuwa unahisi kila kitu kuhusu kufanya mapenzi!! Sema tu ni mzimu unaofanya nao!! Ukizoea lakini unahama level ya mizimu unaanza kula majini!!
Sasa ukiskia mwanaume hana hisia na watoto wa kike ndo inaanzia level hii, level 7.
Hapo ndo utakuta unapata familia kwenye ndoto!!
Na mtoto juu!!!
 
Inategemeana na msichana mwenyewe!! Kwa kuwa kwenye ndoto anayotennezewa, hakuna raha au maumivu anayoyapata, all in all ni ndoto kwake!! Hata kuchoka haipo iyo!!
Wewe ndo unakuwa unahisi kila kitu kuhusu kufanya mapenzi!! Sema tu ni mzimu unaofanya nao!! Ukizoea lakini unahama level ya mizimu unaanza kula majini!!
Sasa ukiskia mwanaume hana hisia na watoto wa kike ndo inaanzia level hii, level 7.
Hapo ndo utakuta unapata familia kwenye ndoto!!
Na mtoto juu!!!
Ohoooo basi nimeshaghaili ,nitaendelea kuwa mwanachama hai wa chama kile
 
Daaa!Hizo zingine sasa hata hazifai
Nasikia ipo ya kuwatafuna kwa kutumia nguvu za giza (uchawi)wakiwa usingizini,halafu mhusika akiamka anajua kabisa fulani kanitafuna,nataka niwatafune wote walionikataa.
Ulifanikiwa kuwatafuna mkuu pilato?
 
Kuna jamaa tulisoma nae chuo nazan alikuwa na dawa unayoisema wewe.

Maana kuna mademu kibao walikuwa wanasema jamaa anakuwa anawagonga usiku,kuna kibinti kimoja kiliwahi muwakia asubuhi kikimtuhumu kuwa kakiingilia usiku

Na wanadai walikuwa wanajikuta wamechafuka kabisa sehemu za siri

Jamaa alikuwa kilema ila anaweza kutembea,ni mkazi wa shinyanga
Hahahah hatari sana
 
Mkuu, unaingizwa cha kike!! Hiyo dawa kijijini kwetu ipo, kinachofanyika ni kuwa unalala na mizimu (roho za wafu wa jinsia tofauti na yako) sema wao wanachukua sura za yule unaemtaka! Na huyo halisi unaemtaka anatengenezewa ndoto tu ya ushahidi lakini haathiriki kwa chochote!
Hata wewe unaeenda kula hiyo mizimu unatengenezewa kitu kinaitwa false awakening, yaani unaamka kwenye ndoto ila wewe unajiona kama umeamka kweli, kisha unamfuata huyo msichana unaemtaka kwao, unabisha hodi anakufungulia, unamla hapohapo!! Unaweza kumpeleka hata masaa 6 hivi!! Ila in reality unakuwa una sex na roho za wafu (mizimu) hata huko unakokwenda ni makaburini, wala sio kwao na huyo msichana!! Msichana anatengenezewa ushahidi tu, nao ni wa ndoto!!
Kama ukihitaji hiyo dawa nishtue tuifuate Pemba, nauli juu yako!!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Duuh dunia ina mambo
 
Back
Top Bottom