Je unazijua sura za wanaume?

Je unazijua sura za wanaume?

Tambara Bovu

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2007
Posts
585
Reaction score
141
Kuna maneno nimeyasikia kwa wasichana na wanawake wengi juu ya aina za sura za wanaume na nayaleta kwenu wanajamvi kunisaidia kutambua ukweli zaid.
Nimesikia sura za wanaume zimegawanyika katika makundi mbalimbali ambayo ni :-
wenye sura nzito,sura kavu,sura chachu,sura ngumu, sura chungu na wachache sura telezi.
kwa anayefahamu zaidi naomba anisaidie kunielewesha kwani natamani kujua zaidi juu ya hizi sura za hawa wenzetu maana nimesikia sura zao hujengeka kutokana na tabia za mazoea kama ukali, ubabe,hasira n.k na kamwe hazihusiani na uumbaji wa Muumba.
 
Kuna maneno nimeyasikia kwa wasichana na wanawake wengi juu ya aina za sura za wanaume na nayaleta kwenu wanajamvi kunisaidia kutambua ukweli zaid.
Nimesikia sura za wanaume zimegawanyika katika makundi mbalimbali ambayo ni :-
wenye sura nzito,sura kavu,sura chachu,sura ngumu, sura chungu na wachache sura telezi.
kwa anayefahamu zaidi naomba anisaidie kunielewesha kwani natamani kujua zaidi juu ya hizi sura za hawa wenzetu maana nimesikia sura zao hujengeka kutokana na tabia za mazoea kama ukali, ubabe,hasira n.k na kamwe hazihusiani na uumbaji wa Muumba.

me wangu ana sura mlegezo.
 
hahahahahahahahah lol
Sura Chachu, Sura Chungu, sura kavu,sura ngumu
hahahahha dahh umenichekesha kwa kweli
 
hahahahahahahahah lol
Sura Chachu, Sura Chungu, sura kavu,sura ngumu
hahahahha dahh umenichekesha kwa kweli
Unajua maana ya kila sura? Tufafanulieni jinsi kila sura hiyo ilivyo ili tujue tuna sura gani.
 
Kuna maneno nimeyasikia kwa wasichana na wanawake wengi juu ya aina za sura za wanaume na nayaleta kwenu wanajamvi kunisaidia kutambua ukweli zaid.
Nimesikia sura za wanaume zimegawanyika katika makundi mbalimbali ambayo ni :-
wenye sura nzito,sura kavu,sura chachu,sura ngumu, sura chungu na wachache sura telezi.
kwa anayefahamu zaidi naomba anisaidie kunielewesha kwani natamani kujua zaidi juu ya hizi sura za hawa wenzetu maana nimesikia sura zao hujengeka kutokana na tabia za mazoea kama ukali, ubabe,hasira n.k na kamwe hazihusiani na uumbaji wa Muumba.
Unafanya nini hadi saa 2:23AM? Kwani President yuko kundi lipi?
 
Kuna maneno nimeyasikia kwa wasichana na wanawake wengi juu ya aina za sura za wanaume na nayaleta kwenu wanajamvi kunisaidia kutambua ukweli zaid.
Nimesikia sura za wanaume zimegawanyika katika makundi mbalimbali ambayo ni :-
wenye sura nzito,sura kavu,sura chachu,sura ngumu, sura chungu na wachache sura telezi.
kwa anayefahamu zaidi naomba anisaidie kunielewesha kwani natamani kujua zaidi juu ya hizi sura za hawa wenzetu maana nimesikia sura zao hujengeka kutokana na tabia za mazoea kama ukali, ubabe,hasira n.k na kamwe hazihusiani na uumbaji wa Muumba.

Orite....ulikua unatafiti sura?

!.........NEVER TRUST A MAN EVEN A DEAD ONE........!
 
ah ah ah very true kabisaaa,ungekuwa karibu ningekupa..............,lol kweli they say man are dogs to me some are bull dogs and some are very swty and clean puppy!
Orite....ulikua unatafiti sura?

!.........NEVER TRUST A MAN EVEN A DEAD ONE........!
 

Kwamba huniamini?
ah ah ah very true kabisaaa,ungekuwa karibu ningekupa..............,lol kweli they say man are dogs to me some are bull dogs and some are very swty and clean puppy!

Nafanya logistics za kuwa karibu nawe.....
BTW: Hiyo ni siginecha ya mtoa mada....mimi nimenukuu....
 
Mbona kuna wanawake wanasura chachu,sura ngumu sura mbaya km ww unaesoma hap sshv ee ww ndio!
 
Kuna maneno nimeyasikia kwa wasichana na wanawake wengi juu ya aina za sura za wanaume na nayaleta kwenu wanajamvi kunisaidia kutambua ukweli zaid.
Nimesikia sura za wanaume zimegawanyika katika makundi mbalimbali ambayo ni :-
wenye sura nzito,sura kavu,sura chachu,sura ngumu, sura chungu na wachache sura telezi.
kwa anayefahamu zaidi naomba anisaidie kunielewesha kwani natamani kujua zaidi juu ya hizi sura za hawa wenzetu maana nimesikia sura zao hujengeka kutokana na tabia za mazoea kama ukali, ubabe,hasira n.k na kamwe hazihusiani na uumbaji wa Muumba.

Kuna sura ya mbuzi
 
Back
Top Bottom