Hapo hakuna kupenda wala kupendwa wala nini, hao jamaa waendelee na uchunguzi huo, ili tuone kwa nini Hamza aliwatageti polisi tuuuuuuu, na wala si raia wa kawaida!??? Hao wasingoje mpaka sisi tupende; wafanye kazi yao kwa weledi na uzalendo na utu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.