Je, uongozi wa Roman Catholic ni 'ndumilakuwili' au huyu Papa tumepandikiziwa? Tutegemee nini?

Je, uongozi wa Roman Catholic ni 'ndumilakuwili' au huyu Papa tumepandikiziwa? Tutegemee nini?

Papa ni kiongozi TU na sio mkubwa kuliko kanisa
Mbona kanisa halipingi maagizo yake kama lina ukubwa?

Kwa nini kila akisemacho papa kina tekelezwa na waamini wote katika kanisa pasipo kuhoji au kupinga?

Yule Askofu wa Marekani aliyepinga mtazamo wa papa kuhusu kubariki mashoga mbona uteuzi wake ulitenguliwa?

Nakwambia hivi, Kanisa sio kubwa ila lina waumini wajinga na wapumbavu walio aminishwa kuto kuhoji maagizo ya huyo Papa.
 
Mbona kanisa halipingi maagizo yake kama lina ukubwa?

Kwa nini kila akisemacho papa kina tekelezwa na waamini wote katika kanisa pasipo kuhoji au kupinga?

Yule Askofu wa Marekani aliyepinga mtazamo wa papa kuhusu kubariki mashoga mbona uteuzi wake ulitenguliwa?

Nakwambia hivi, Kanisa sio kubwa ila lina waumini wajinga na wapumbavu walio aminishwa kuto kuhoji maagizo ya huyo Papa.
Maamuzi ni mtu kufuata maandiko au mtu
 
Huyu wa sasa ni pandikizi la wazee wa suti,thus ana mambo ya kijinga.
Yule aliyekufa aliona hatia na anamkosea Mungu kuliingiza kanisa kwenye ushetani akatumia trik ya matatizo ya kiafaya akajiuzulu ili kuwakacha wajenzi huru.
Huyu chenga inatakiwa kanisa limuondoe haraka.
.
Tatizo ni kwamba papa hajaamua mwenyewe, unafikiri papa peke yake anaweza kulisemea jambo nyeti kama hili bila msimamo wa kanisa? Think again.
 
Uongozi wa Roman Catholic kwa miaka 15 iliopita umekua na changamoto sana hasa hasa kuhusu mambo ya ubakaji, rushwa na ushoga.

Miaka ilopita tulishuhudia Papa Benedict anajiondoa kwenye kile kiti, kitendo ambacho kilizua maswali mengi sana. Japo baadhi ya watu wanadai Papa Bemedict alikua anasukumwa na baraza lake kuidhinisha vitendo vya 'laana' ikiwemo ndoa za jinsia moja - ushoga. Hivyo ili kulinda agano lake kwa Mungu na mtangulizi wake (pope John Paul II) ikabidi aachie kiti kuliko kufanya maamuzi yanayoruhusu kuingiza laana kwenye kanisa.

Kwa hali inayoendelea kwa sasa kuna maswali mengi yanajitokeza.

kwa nini Roman Catholic wasiruhusu kubariki ndoa za wake wengi waje kuruhusu kubariki ushoga?

Kwa nn wasiruhusu na kubariki utumiaji wa njia za uzazi wa mpango waje waruhusu ushoga?

Kwa nn wasiwaruhusu makasisi kuoa waje waruhusu kubariki wanaume kuoana wao kwa wao?

Nimesoma huo waraka ulotolewa unadai haujaruhusu ndoa za jinsia moja ila umeruhusu 'kubariki' mahusiano ya jinsia moja. Kitendo cha kuruhusu kubariki haya mahusiano ya kishoga si ndio hukohuko kutoa go-ahead watu wafanyiane mambo ya sodoma na gomorra.

Je, sisi wazazi tutawaambia nn watoti wetu tunaowakataza kuangalia tamthilia za kifilipino na kizungu zinazoonesha ushoga lakini tunawaruhusu kwenda kanisani ambapo viongozi eake wameambiwa wabariki ushoga? Kwa maneno mengine Roman Catholic imeruhusu mashoga kwenda kanisani wameshikana kama couple za kawaida.

Tumaini pekee la kuokoa kanisa dhidi ya huu ufilauni ni hawa 'Conservative Cardinals' na hata wakiweza wamuondoe huyu Papa kwemye hicho kiti maana kwenye uongozi wake hakuna kikubwa alichofanya kwenye kanisa zaidi ya kuharibu miiko iliopo toka zama na zama.

Mtakatifu Yohanna Paulo wa pili, Utuombee. Amen
Kanisa la matapeli Toka kitambo ila maskini hawajui hiki
 
Hili limenisikitisha sana kwa kweli japo nilikuwa najua litatokea siku sio nyingi baada ya kauli zake zenye utata, kuwa ushoga sio kosa
Pengine huu ndio ukawa mwanzo wa mwisho wa Kanisa Katoliki
Kanisa katoliki halitakufa. Ni suala la muda tu madhehebu mengine yataunga mkono hoja wewe subiri utaona.
Anglikana siku nyingi walishahalalisha ushoga, hata maaskofu wao baadhi ni mashoga.
 
Uongozi wa Roman Catholic kwa miaka 15 iliopita umekua na changamoto sana hasa hasa kuhusu mambo ya ubakaji, rushwa na ushoga.

Miaka ilopita tulishuhudia Papa Benedict anajiondoa kwenye kile kiti, kitendo ambacho kilizua maswali mengi sana. Japo baadhi ya watu wanadai Papa Bemedict alikua anasukumwa na baraza lake kuidhinisha vitendo vya 'laana' ikiwemo ndoa za jinsia moja - ushoga. Hivyo ili kulinda agano lake kwa Mungu na mtangulizi wake (pope John Paul II) ikabidi aachie kiti kuliko kufanya maamuzi yanayoruhusu kuingiza laana kwenye kanisa.

Kwa hali inayoendelea kwa sasa kuna maswali mengi yanajitokeza.

kwa nini Roman Catholic wasiruhusu kubariki ndoa za wake wengi waje kuruhusu kubariki ushoga?

Kwa nn wasiruhusu na kubariki utumiaji wa njia za uzazi wa mpango waje waruhusu ushoga?

Kwa nn wasiwaruhusu makasisi kuoa waje waruhusu kubariki wanaume kuoana wao kwa wao?

Nimesoma huo waraka ulotolewa unadai haujaruhusu ndoa za jinsia moja ila umeruhusu 'kubariki' mahusiano ya jinsia moja. Kitendo cha kuruhusu kubariki haya mahusiano ya kishoga si ndio hukohuko kutoa go-ahead watu wafanyiane mambo ya sodoma na gomorra.

Je, sisi wazazi tutawaambia nn watoti wetu tunaowakataza kuangalia tamthilia za kifilipino na kizungu zinazoonesha ushoga lakini tunawaruhusu kwenda kanisani ambapo viongozi eake wameambiwa wabariki ushoga? Kwa maneno mengine Roman Catholic imeruhusu mashoga kwenda kanisani wameshikana kama couple za kawaida.

Tumaini pekee la kuokoa kanisa dhidi ya huu ufilauni ni hawa 'Conservative Cardinals' na hata wakiweza wamuondoe huyu Papa kwemye hicho kiti maana kwenye uongozi wake hakuna kikubwa alichofanya kwenye kanisa zaidi ya kuharibu miiko iliopo toka zama na zama.

Mtakatifu Yohanna Paulo wa pili, Utuombee. Amen
huyu papa ni C.I.A agent na wakala wa freemanson!!
 
Hili ni tatizo kwa kanisa katoliki.
Haliwezi kupita hivi hivi lazima lilete mpasuko mkubwa sana.
Wapo watakaohamia madhehebu mbalimbali.
Pia wapo wengi watakaokata tamaa nakuachana kabisa na mambo ya ibada za makanisani.
.
Nikushangaze? Watakaohama ni wachache mnoo kuliko unavyotegemea. Wengi watalalama tu lakini wataendelea kwenda huko kama kawaida.
 
Kanisa katoliki halitakufa. Ni suala la muda tu madhehebu mengine yataunga mkono hoja wewe subiri utaona.
Anglikana siku nyingi walishahalalisha ushoga, hata maaskofu wao baadhi ni mashoga.
Utakua ndio mwisho wa Ukristo huo.....Yatatamba haya makanisa ya akina Mwamposa na Gwajima
Ukristo umebaki Afrika, na hili ndio litakuwa pigo la mwisho
 
Utakua ndio mwisho wa Ukristo huo.....Yatatamba haya makanisa ya akina Mwamposa na Gwajima
Ukristo umebaki Afrika, na hili ndio litakuwa pigo la mwisho
Ukristo ndo wao wameuleta sisi tumeupokea tu. Sasa hivi wanaboresha ukristo wao sisi tunalalamika😀😀
Waachieni dini yao.
Dini ni utapeli tu kama ilivyo ndoa.
 
Back
Top Bottom