Je, uongozi wa Roman Catholic ni 'ndumilakuwili' au huyu Papa tumepandikiziwa? Tutegemee nini?

Je, uongozi wa Roman Catholic ni 'ndumilakuwili' au huyu Papa tumepandikiziwa? Tutegemee nini?

Haya , leo mtanielewa, narudia tena.

IMANI NDIO UGONJWA MBAYA KABISA WA AKILI KUWAHI KUIKUMBA HII DUNIA.
 
Uongozi wa Roman Catholic kwa miaka 15 iliopita umekua na changamoto sana hasa hasa kuhusu mambo ya ubakaji, rushwa na ushoga.

Miaka ilopita tulishuhudia Papa Benedict anajiondoa kwenye kile kiti, kitendo ambacho kilizua maswali mengi sana. Japo baadhi ya watu wanadai Papa Bemedict alikua anasukumwa na baraza lake kuidhinisha vitendo vya 'laana' ikiwemo ndoa za jinsia moja - ushoga. Hivyo ili kulinda agano lake kwa Mungu na mtangulizi wake (pope John Paul II) ikabidi aachie kiti kuliko kufanya maamuzi yanayoruhusu kuingiza laana kwenye kanisa.

Kwa hali inayoendelea kwa sasa kuna maswali mengi yanajitokeza.

kwa nini Roman Catholic wasiruhusu kubariki ndoa za wake wengi waje kuruhusu kubariki ushoga?

Kwa nn wasiruhusu na kubariki utumiaji wa njia za uzazi wa mpango waje waruhusu ushoga?

Kwa nn wasiwaruhusu makasisi kuoa waje waruhusu kubariki wanaume kuoana wao kwa wao?

Nimesoma huo waraka ulotolewa unadai haujaruhusu ndoa za jinsia moja ila umeruhusu 'kubariki' mahusiano ya jinsia moja. Kitendo cha kuruhusu kubariki haya mahusiano ya kishoga si ndio hukohuko kutoa go-ahead watu wafanyiane mambo ya sodoma na gomorra.

Je, sisi wazazi tutawaambia nn watoti wetu tunaowakataza kuangalia tamthilia za kifilipino na kizungu zinazoonesha ushoga lakini tunawaruhusu kwenda kanisani ambapo viongozi eake wameambiwa wabariki ushoga? Kwa maneno mengine Roman Catholic imeruhusu mashoga kwenda kanisani wameshikana kama couple za kawaida.

Tumaini pekee la kuokoa kanisa dhidi ya huu ufilauni ni hawa 'Conservative Cardinals' na hata wakiweza wamuondoe huyu Papa kwemye hicho kiti maana kwenye uongozi wake hakuna kikubwa alichofanya kwenye kanisa zaidi ya kuharibu miiko iliopo toka zama na zama.

Mtakatifu Yohanna Paulo wa pili, Utuombee. Amen
Papa ni sauti ya Mungu!!
 
Uongozi wa Roman Catholic kwa miaka 15 iliopita umekua na changamoto sana hasa hasa kuhusu mambo ya ubakaji, rushwa na ushoga.

Miaka ilopita tulishuhudia Papa Benedict anajiondoa kwenye kile kiti, kitendo ambacho kilizua maswali mengi sana. Japo baadhi ya watu wanadai Papa Bemedict alikua anasukumwa na baraza lake kuidhinisha vitendo vya 'laana' ikiwemo ndoa za jinsia moja - ushoga. Hivyo ili kulinda agano lake kwa Mungu na mtangulizi wake (pope John Paul II) ikabidi aachie kiti kuliko kufanya maamuzi yanayoruhusu kuingiza laana kwenye kanisa.

Kwa hali inayoendelea kwa sasa kuna maswali mengi yanajitokeza.

kwa nini Roman Catholic wasiruhusu kubariki ndoa za wake wengi waje kuruhusu kubariki ushoga?

Kwa nn wasiruhusu na kubariki utumiaji wa njia za uzazi wa mpango waje waruhusu ushoga?

Kwa nn wasiwaruhusu makasisi kuoa waje waruhusu kubariki wanaume kuoana wao kwa wao?

Nimesoma huo waraka ulotolewa unadai haujaruhusu ndoa za jinsia moja ila umeruhusu 'kubariki' mahusiano ya jinsia moja. Kitendo cha kuruhusu kubariki haya mahusiano ya kishoga si ndio hukohuko kutoa go-ahead watu wafanyiane mambo ya sodoma na gomorra.

Je, sisi wazazi tutawaambia nn watoti wetu tunaowakataza kuangalia tamthilia za kifilipino na kizungu zinazoonesha ushoga lakini tunawaruhusu kwenda kanisani ambapo viongozi eake wameambiwa wabariki ushoga? Kwa maneno mengine Roman Catholic imeruhusu mashoga kwenda kanisani wameshikana kama couple za kawaida.

Tumaini pekee la kuokoa kanisa dhidi ya huu ufilauni ni hawa 'Conservative Cardinals' na hata wakiweza wamuondoe huyu Papa kwemye hicho kiti maana kwenye uongozi wake hakuna kikubwa alichofanya kwenye kanisa zaidi ya kuharibu miiko iliopo toka zama na zama.

Mtakatifu Yohanna Paulo wa pili, Utuombee. Amen
Wafuasi wa Roma, umefungwa huko? Ulikuwa hujaielewa kanisa la watu. Tunawaambia hilo ni kikundi cha wajanja hamuelewagi. Nyie wajinga endeleeni kuliwa na wajanja
 
waroma 1:26 Ndiyo sababu Mungu aliwaacha katika hamu isiyodhibitiwa ya ngono, kwa maana wanawake wao walibadili matumizi yao ya asili kuwa kinyume cha asili; 27 vivyo hivyo pia wanaume waliacha matumizi ya asili ya mwanamke na kuwakiana tamaa kali za uchu wao kwa wao, wanaume kwa wanaume, wakitenda mambo machafu na kupokea ndani yao wenyewe adhabu kamili, kwa sababu ya kosa lao.

Mambo ya walawi 20:
13 “‘Mwanamume akilala na mwanamume mwenzake kama vile mwanamume anavyolala na mwanamke, wote wawili wamefanya jambo linalochukiza. Ni lazima wauawe. Watakuwa na hatia kwa sababu ya vifo vyao wenyewe.

Yuda 7 Vivyo hivyo, watu wa Sodoma na Gomora na majiji ya karibu walifanya uasherati wa kupindukia na kufuatilia tamaa za mwili zilizo kinyume cha maumbile; wamewekwa mbele yetu kama onyo kwa sababu walihukumiwa adhabu ya moto wa milele.

Biblia iko wazi na ni wazi katoliki haifuati wala haina nia ya kuheshimu Biblia na hawakuanza leo tangu zamani walipinga Biblia
 
Duuh ko hapa tz kina aunt ruu wanasubr tuu kuidhinishwa[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km ni catholic bas mtawaona wakiwa na shela wakipata baraka altareni mbele ya askofu

Watu weuweeeee
 
[emoji38][emoji38][emoji23][emoji23] Papa kachafua Hali ya hewa kuelekea x-mass! Kazi ipo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanaoteseka ni waumini uchwara wa Bongo land, mbna mataifa mengine wako kimya na wanaona poa tyuuh.
 
Naamini hili nalo litapita, Mwenyezi Mungu yu pamoja nasi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km ni catholic bas mtawaona wakiwa na shela wakipata baraka altareni mbele ya askofu

Watu weuweeeee
Ila halii so nzurii mtaani kabisaa sema ndo hivo ata huyo papa kusema bdo lkn km watu wanawaza huo mchezo ndo ttzo
 
Back
Top Bottom