akili akili
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 1,737
- 1,102
Haiwezi kuwa kauli yake tu, ni kauli ya kanisa..kazi kweli kweliPapa ameenda kuliua kanisa Katoliki, kitu pekee kitakacholiokoa ni aje Papa mwingine afute hii kauli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haiwezi kuwa kauli yake tu, ni kauli ya kanisa..kazi kweli kweliPapa ameenda kuliua kanisa Katoliki, kitu pekee kitakacholiokoa ni aje Papa mwingine afute hii kauli
Papa ni sauti ya Mungu!!Uongozi wa Roman Catholic kwa miaka 15 iliopita umekua na changamoto sana hasa hasa kuhusu mambo ya ubakaji, rushwa na ushoga.
Miaka ilopita tulishuhudia Papa Benedict anajiondoa kwenye kile kiti, kitendo ambacho kilizua maswali mengi sana. Japo baadhi ya watu wanadai Papa Bemedict alikua anasukumwa na baraza lake kuidhinisha vitendo vya 'laana' ikiwemo ndoa za jinsia moja - ushoga. Hivyo ili kulinda agano lake kwa Mungu na mtangulizi wake (pope John Paul II) ikabidi aachie kiti kuliko kufanya maamuzi yanayoruhusu kuingiza laana kwenye kanisa.
Kwa hali inayoendelea kwa sasa kuna maswali mengi yanajitokeza.
kwa nini Roman Catholic wasiruhusu kubariki ndoa za wake wengi waje kuruhusu kubariki ushoga?
Kwa nn wasiruhusu na kubariki utumiaji wa njia za uzazi wa mpango waje waruhusu ushoga?
Kwa nn wasiwaruhusu makasisi kuoa waje waruhusu kubariki wanaume kuoana wao kwa wao?
Nimesoma huo waraka ulotolewa unadai haujaruhusu ndoa za jinsia moja ila umeruhusu 'kubariki' mahusiano ya jinsia moja. Kitendo cha kuruhusu kubariki haya mahusiano ya kishoga si ndio hukohuko kutoa go-ahead watu wafanyiane mambo ya sodoma na gomorra.
Je, sisi wazazi tutawaambia nn watoti wetu tunaowakataza kuangalia tamthilia za kifilipino na kizungu zinazoonesha ushoga lakini tunawaruhusu kwenda kanisani ambapo viongozi eake wameambiwa wabariki ushoga? Kwa maneno mengine Roman Catholic imeruhusu mashoga kwenda kanisani wameshikana kama couple za kawaida.
Tumaini pekee la kuokoa kanisa dhidi ya huu ufilauni ni hawa 'Conservative Cardinals' na hata wakiweza wamuondoe huyu Papa kwemye hicho kiti maana kwenye uongozi wake hakuna kikubwa alichofanya kwenye kanisa zaidi ya kuharibu miiko iliopo toka zama na zama.
Mtakatifu Yohanna Paulo wa pili, Utuombee. Amen
Wafuasi wa Roma, umefungwa huko? Ulikuwa hujaielewa kanisa la watu. Tunawaambia hilo ni kikundi cha wajanja hamuelewagi. Nyie wajinga endeleeni kuliwa na wajanjaUongozi wa Roman Catholic kwa miaka 15 iliopita umekua na changamoto sana hasa hasa kuhusu mambo ya ubakaji, rushwa na ushoga.
Miaka ilopita tulishuhudia Papa Benedict anajiondoa kwenye kile kiti, kitendo ambacho kilizua maswali mengi sana. Japo baadhi ya watu wanadai Papa Bemedict alikua anasukumwa na baraza lake kuidhinisha vitendo vya 'laana' ikiwemo ndoa za jinsia moja - ushoga. Hivyo ili kulinda agano lake kwa Mungu na mtangulizi wake (pope John Paul II) ikabidi aachie kiti kuliko kufanya maamuzi yanayoruhusu kuingiza laana kwenye kanisa.
Kwa hali inayoendelea kwa sasa kuna maswali mengi yanajitokeza.
kwa nini Roman Catholic wasiruhusu kubariki ndoa za wake wengi waje kuruhusu kubariki ushoga?
Kwa nn wasiruhusu na kubariki utumiaji wa njia za uzazi wa mpango waje waruhusu ushoga?
Kwa nn wasiwaruhusu makasisi kuoa waje waruhusu kubariki wanaume kuoana wao kwa wao?
Nimesoma huo waraka ulotolewa unadai haujaruhusu ndoa za jinsia moja ila umeruhusu 'kubariki' mahusiano ya jinsia moja. Kitendo cha kuruhusu kubariki haya mahusiano ya kishoga si ndio hukohuko kutoa go-ahead watu wafanyiane mambo ya sodoma na gomorra.
Je, sisi wazazi tutawaambia nn watoti wetu tunaowakataza kuangalia tamthilia za kifilipino na kizungu zinazoonesha ushoga lakini tunawaruhusu kwenda kanisani ambapo viongozi eake wameambiwa wabariki ushoga? Kwa maneno mengine Roman Catholic imeruhusu mashoga kwenda kanisani wameshikana kama couple za kawaida.
Tumaini pekee la kuokoa kanisa dhidi ya huu ufilauni ni hawa 'Conservative Cardinals' na hata wakiweza wamuondoe huyu Papa kwemye hicho kiti maana kwenye uongozi wake hakuna kikubwa alichofanya kwenye kanisa zaidi ya kuharibu miiko iliopo toka zama na zama.
Mtakatifu Yohanna Paulo wa pili, Utuombee. Amen
Unajitoaje kwa mfano!Ha haaa mi simooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km ni catholic bas mtawaona wakiwa na shela wakipata baraka altareni mbele ya askofuDuuh ko hapa tz kina aunt ruu wanasubr tuu kuidhinishwa[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanaoteseka ni waumini uchwara wa Bongo land, mbna mataifa mengine wako kimya na wanaona poa tyuuh.[emoji38][emoji38][emoji23][emoji23] Papa kachafua Hali ya hewa kuelekea x-mass! Kazi ipo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya , leo mtanielewa, narudia tena.
IMANI NDIO UGONJWA MBAYA KABISA WA AKILI KUWAHI KUIKUMBA HII DUNIA.
Na mimi hivyo hivuo kama vip tuungane tuNipo nateseka nayo, mambo si mambo...kutoka sitoki bado nipo nipo sana tu😅
Tuungane tena wapi jamani😅Na mimi hivyo hivuo kama vip tuungane tu
Ila halii so nzurii mtaani kabisaa sema ndo hivo ata huyo papa kusema bdo lkn km watu wanawaza huo mchezo ndo ttzo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km ni catholic bas mtawaona wakiwa na shela wakipata baraka altareni mbele ya askofu
Watu weuweeeee
Kiti kinakaliwa na nani?Yeye sio mtakatifu. Kiti chake ndicho kitakatifu.
Mmh kwan ujaelewa hapoTuungane tena wapi jamani😅
Sijaelewa tuungane wakatoliki wa tanzania prke yake au dunia nzima.Mmh kwan ujaelewa hapo
Tuungane mimi na wewe😅Sijaelewa tuungane wakatoliki wa tanzania prke yake au dunia nzima.
Dini yao wazungu unataka kupingana nao who are you?
Aku mi staki muunganiko😀Tuungane mimi na wewe😅