Je Usajili Huu Unampa Simba Ubingwa?

moodykabwe

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2015
Posts
625
Reaction score
602
Kipa bora msimu uliopita (Aishi Manula) amesajiliwa Simba, Mchezaji bora wa kigeni msimu uliopita (Haruna Niyonzima) amesajiliwa Simba, Mchezaji bora ligi kuu msimu (Mohamed Hussein 'Tshabalala') uliopita yupo Simba.

Je, hii inatosha kuamini kuwa Simba ndio mabingwa msimu ujao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo Yanga wamecheza na watoto wa mtaani wa Morogoro wa chini ya miaka ishirini (20) na wameshinda tano bila.
Yanga. 5 Moro under 20. O

Wanajipima na watoto.
 
Labda ubingwa kutoka FIFA kama wa msimu ulioisha.
 
Dah kama watajituma wakaepuka migogoro naamini Tim pinzani zitakua zinaingia uwanjani kupania kupunguza idadi ya mabao ubingwa watatangaza wakiwa bado wanamechi 5 mkononi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenye kujua duka la simba hapa dar anielekeze, nataka jezi
 
Usajili huo ni sawa na moto wa makaratasi...unaowaka fwaaaa kisha unazima baada ya sekunde chache.

Hii ni mara ya tatu nawaambia kuwa maneno matupu hayasaidii, ligi itaanza kesho kutwa...mtanyamaza tu ama mtanyamazishwa na Yanga.
 
Usajili huo ni sawa na moto wa makaratasi...unaowaka fwaaaa kisha unazima baada ya sekunde chache.

Hii ni mara ya tatu nawaambia kuwa maneno matupu hayasaidii, ligi itaanza kesho kutwa...mtanyamaza tu ama mtanyamazishwa na Yanga.
Kuna tofauti baina ya kitambaa na nguo, viungo na mchuzi.Kwenye Fainali za Kombe la Dunia zilizochezwa Korea ya Kusini na Japan, licha ya kuwa ni Bingwa Watetezi, Ufaransa ilikuwa na mwanasoka bora wa Dunia (Zidane) mfungaji bora wa Ligi ya Uingereza (Henry), Mfungaji bora wa Ligi ya Ufaransa (Djibril Cisse) na mfungaji bora wa Ligi ya Italia (Treziguet). Unakumbuka ilikuwaje? Walitolewa hatua ya awali ya makundi bila ya kuambulia hata goli!
 
Migogoro =Morogoro

kwa tafsiri yangu Team ya Yanga bingwa tena mwaka huu,acha tuendekeze upuuzi wa heshima ya kuifunga yanga huku ubingwa ukienda bwawani?
 
Usajili huo ni sawa na moto wa makaratasi...unaowaka fwaaaa kisha unazima baada ya sekunde chache.

Hii ni mara ya tatu nawaambia kuwa maneno matupu hayasaidii, ligi itaanza kesho kutwa...mtanyamaza tu ama mtanyamazishwa na Yanga.
Yanga bila Malinzi ni wepesi kuliko karatasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Utawasaidia kuifunga yanga na si ubingwa, ubingwa una wenyewe
 
Kwani malinzi ndio anaingia uwanjani kucheza?

Huwa mnaleta Mboyoyo miingi halafu mwisho mnabaki kulia na kutoa lawama hovyo.
Anatoa maelekezo toka juu na kupanga marefa wahaya wenzie ili kuamua matokeo sasa mtajua soka linachezwaje Chura Bakuli Fc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Well said. Hivi ni Mashkndano hayo ambayo waliumbuliwa na colony lao la zamani SENEGAL?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kelele nyingi ila mwisho wake FIFA. Hivi FIFA fc huko FIFA mlimkuta malinzi? Acheni kulaumu wakati uwanjani zero. Kagera kawapiga mnahangaika kuibia. Sasa huu mwaka kama mwaka uliopita tu. Mmesajili wazee alafu mnapiga kelele. Huyo manula Azam ilikuwa ya ngapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…