moodykabwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 625
- 602
Kipa bora msimu uliopita (Aishi Manula) amesajiliwa Simba, Mchezaji bora wa kigeni msimu uliopita (Haruna Niyonzima) amesajiliwa Simba, Mchezaji bora ligi kuu msimu (Mohamed Hussein 'Tshabalala') uliopita yupo Simba.
Je, hii inatosha kuamini kuwa Simba ndio mabingwa msimu ujao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Je, hii inatosha kuamini kuwa Simba ndio mabingwa msimu ujao?
Sent using Jamii Forums mobile app