Je, ushawahi kukutana na mwanamke anaeteseka na sonona kwa sababu amekeketwa bila hiari yake?

Je, ushawahi kukutana na mwanamke anaeteseka na sonona kwa sababu amekeketwa bila hiari yake?

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Tuanze na wanawake wa Mikoa kama Manyara, Singida, Mara, Kilimanjaro, Arusha na Dodoma.

Makabila
Wambulu, Wamangha'ti, wagogo, wanyaturu, wakurya, wajaluo wajita, wanyiramba, wapare, wachagga, wamaasai, Wambugwe, Wadatoga, wasonjo etc.

Karibu kwa wenye visa kadhaa kuhusu kadhia ya sonona za kukeketwa kwa wanawake wa hayo makabila.

Ni hayo mengine mtaongezea

Pang Fung Mi
 
Screenshot_20250111_153618_Gallery.jpg
 
Ni kabila gani huyo anayepata sonona baada ya kukeketwa bila hiari yake? Makabila yanayoketa wanawake wake hupenda kufanyiwa hivyo, ndio mila na desturi zao. Usipokeketwa utaonekana hujakamilika kuwa mwanamke mwenye heshima, utajisikia vibaya mpaka utake kujikeketa mwenyewe
 
Tuanze na wanawake wa Mikoa kama Manyara, Singida, Mara, Kilimanjaro, Arusha na Dodoma.

Makabila
Wambulu, Wamangha'ti, wagogo, wanyaturu, wakurya, wajita, wanyiramba, wapare, wachagga, wamaasai, Wambugwe, Wadatoga, wasonjo etc.

Karibu kwa wenye visa kadhaa kuhusu kadhia ya sonona za kukeketwa kwa wanawake wa hayo makabila.

Ni hayo mengine mtaongezea

Pang Fung Mi
Wewe ACHA UPUUZI.
MJITA LINI AKAJIHUSISHA NA UPUUZI HUO WAKATI HIYO PEKEE ILIFANYA MJITA ASIPENDE KUINGIA KWENYE MAHUSIANO YA MAPENZI NA MWANAMKE ANAYE TOKEA JAMII ZINAZO KEKETA?

KAFANYE UTAFITI WAKO UPYA.
 
Nje ya mada ,mim nilishawah kukutana na wadada wanaosikitika kuzaliwa wa kike,wanaamin wanaume tuna fursa nyingi
 
Back
Top Bottom