Digging deeper
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 787
- 512
- Thread starter
-
- #21
hongera tupe experience mkuu
mkuu huku si sehemu ya siasa wengine hayo mambo atu deal nayo sanaMimi ni IGP kiukweli najua kubambikia watu kesii na hakuna wakunifanya kitu
mkuu huku si sehemu ya siasa wengine hayo mambo atu deal nayo sana
Inategemea mkuu. Nimewahi kuwa kiongozi katika mazingira tofauti.Uzoefu kawaida tu nimenufaika kdg
Changamoto Ni skuli kuonekana una kiherehere yaani snitch
sawa mkuu vip tabia yako umeacha[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
hongera sana labda unaonekana mhaminifu kwenye maswala ya pesaππππMimi ninanyota ya Uongozi Kamati za Harusi...
hongera mrembo je challenge gani asa ulizipata kama head girlππππππunaonekana una uwezoLeader girl O level na primary pia monitress la pili mpaka la tano huku kwingine nipo nipo tu
hahahahhahahhahha wewe ni ke afu ulikuwa msumbufu whyNdio!!! ila kiongozi wa kelele darasani.
ππππππππsawa mkuu avatar inasadifu tabia yakojichanganye !
Basi tu hahaahahahahhahahhahha wewe ni ke afu ulikuwa msumbufu why
ayo maswali ya kuongerea viongozi unatoka nje ya lengo la uziKwani wp kuna siasa hapo?
ki nini kilikufanya uwe hivyo mpendwaπππBasi tu hahaa
πππππhongera sana mkuu ulikuwa kipanga wa shule nini
Hapana mkuuπππππhongera sana mkuu ulikuwa kipanga wa shule nini