Je ushawai kuwa kiongozi yoyote katika mazingira fulani

Je ushawai kuwa kiongozi yoyote katika mazingira fulani

Inategemea mkuu. Nimewahi kuwa kiongozi katika mazingira tofauti.
Mara ya mwisho fomu ya uongozi wa juu kabisa(kwenye taasisi hiyo) nilijaziwa na wenzangu baada ya kuona sina mpango wa kuomba.
Waliamini nafaa na kweli nilitenda kama matarajio yao. Changamoto kidogo zilikuwepo lakini hazikufanya mambo kuharibika.

Kama ilivyo ada, ukipendwa na kundi la walio chini utachukiwa na baadhi walio juu. Lakini hali ilikuwa tofauti, makundi yote yaliunganishwa kwa namna ya kipekee sana.

Sitosahau hotuba yangu ya kuaga ambayo Pr..... alishindwa kuvumilia na kutoa machozi kabla ya kuondoka ukumbuni.

Hakika uongozi mzuri huacha alama ya kumbukumbu nzuri.
uongozi ni kipaji kama huna uwezi kuwa kiongozi😁😁😁😁
 
hapana napinga kiongozi ni skills kama huna uwezi kuwa
Skills ndo anakuwa nazo huyo asiyetaka na mpaka apewe (alazimishwe) ndipo zitakapojionesha hizo skills zake...

Anyway, nimewahi kuwa monitor ordinary level halafu nikajiuzulu (kipindi kile bado kuna jotojoto la mheshimiwa waziri mkuu kujiuzulu) basi nikaitwa Lowassa!
 
hongera mrembo je challenge gani asa ulizipata kama head girl[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]unaonekana una uwezo
Challenge nilipata nikiwa monitress dalasa la nne shule nzima kulikua kuchafu madarasa machafu tuko assemble mwalim akasema vilanja WOTE na mamonita wapite mbele watu wakapita mi nikauchuna na mwalim alikua ananijua vzr akauliza monitress wa dls la nne yuko wapi? Watu wakasema huyu huku[emoji849][emoji849][emoji849] nilikakana cheo mchana kweupeee japo leaders WOTE tulichapwa huko kwingine mtelemko tu mkaka ukinizingua nakuvaa mwalim akija namwambia ananidharau kisa mimi ni wakike so ana anachapwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Challenge nilipata nikiwa monitress dalasa la nne shule nzima kulikua kuchafu madarasa machafu tuko assemble mwalim akasema vilanja WOTE na mamonita wapite mbele watu wakapita mi nikauchuna na mwalim alikua ananijua vzr akauliza monitress wa dls la nne yuko wapi? Watu wakasema huyu huku[emoji849][emoji849][emoji849] nilikakana cheo mchana kweupeee japo leaders WOTE tulichapwa huko kwingine mtelemko tu mkaka ukinizingua nakuvaa mwalim akija namwambia ananidharau kisa mimi ni wakike so ana anachapwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
hahahahahahahhhaha sema nyinyi viongozi wa shule ya msingi mlikuwa mnajidai sana kwa vile watu akili zilikuwa chenga basi mlikuwa mnabua tu upuuzi😂😂😂😂😂😂sema kuwa kiongozi rahaa ufanyi usafi vipi kuusu kuhesabu number
 
Skills ndo anakuwa nazo huyo asiyetaka na mpaka apewe (alazimishwe) ndipo zitakapojionesha hizo skills zake...

Anyway, nimewahi kuwa monitor ordinary level halafu nikajiuzulu (kipindi kile bado kuna jotojoto la mheshimiwa waziri mkuu kujiuzulu) basi nikaitwa Lowassa!
hahahhahahhahahah mimi mwenyewe nishawai kataaa umonitor kuongoza watu kunaitaji moyo
 
hahahahahahahhhaha sema nyinyi viongozi wa shule ya msingi mlikuwa mnajidai sana kwa vile watu akili zilikuwa chenga basi mlikuwa mnabua tu upuuzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sema kuwa kiongozi rahaa ufanyi usafi vipi kuusu kuhesabu number
Me hata O level nimeupeta sana nilikua leader girl mtata [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
hahahahahahahhhaha sema nyinyi viongozi wa shule ya msingi mlikuwa mnajidai sana kwa vile watu akili zilikuwa chenga basi mlikuwa mnabua tu upuuzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sema kuwa kiongozi rahaa ufanyi usafi vipi kuusu kuhesabu number
Me shule zijafanya kazi yoyote
 
Sijawahi kupenda wala kutamani kuwa kiongozi wa mtu: Kwasbabu binafsi napenda kufanya mambo yangu bila kuingiliwa wala kupangiwa na mtu yoyote yule.

Mbali na Mwenyezi Mungu, huwa siamini kabisa kwamba kuna mwanadamu ameumbwa ili kutawala na kuwapangia wenzake jinsi ya kuishi.
 
Binafsi ordinary level nilikuwa Waziri wa Elimu na Taaluma

Advanced level nikawa President wa shule(Head Bwoy)
 
Binafsi ordinary level nilikuwa Waziri wa Elimu na Taaluma

Advanced level nikawa President wa shule(Head Bwoy)
Ongera sana kuwa kiongozi ni nyota mkuu vip experience maana advance mambo mengi
 
Sijawahi kupenda wala kutamani kuwa kiongozi wa mtu: Kwasbabu binafsi napenda kufanya mambo yangu bila kuingiliwa wala kupangiwa na mtu yoyote yule.

Mbali na Mwenyezi Mungu, huwa siamini kabisa kwamba kuna mwanadamu ameumbwa ili kutawala na kuwapangia wenzake jinsi ya kuishi.
Kiongozi ni kipawa lazime kuwe na wito kama una uwezi kuwa kiongozi
 
Ongera sana kuwa kiongozi ni nyota mkuu vip experience maana advance mambo mengi
Ni changamoto sana kuongoza watu wazima hasa ktk small group of people ambao kila siku mnaonana na kulala pamoja

Ilitokea niliongoza migomo 2 pale shule kutokana na changamoto mbalimbali hasa Ubabe wa walimu ktk uonevu wa kutoa adhabu kali za suspension kwa kila kosa dogo

Mgomo wa pili, huu ulitokana na kuvurugwa kwa ratiba za kula wali pale shule, huu ndo mgomo huwa nikikumbuka najiona mjinga sana, sometimes najisemea it was full childish

Ila yote kwa yote ilibaki kidogo nifukuzwe shule ila nakumbuka mkuu wa wilaya kipindi hicho alinikingia kifua kwa uongozi wa shule
 
Ni changamoto sana kuongoza watu wazima hasa ktk small group of people ambao kila siku mnaonana na kulala pamoja

Ilitokea niliongoza migomo 2 pale shule kutokana na changamoto mbalimbali hasa Ubabe wa walimu ktk uonevu wa kutoa adhabu kali za suspension kwa kila kosa dogo

Mgomo wa pili, huu ulitokana na kuvurugwa kwa ratiba za kula wali pale shule, huu ndo mgomo huwa nikikumbuka najiona mjinga sana, sometimes najisemea it was full childish

Ila yote kwa yote ilibaki kidogo nifukuzwe shule ila nakumbuka mkuu wa wilaya kipindi hicho alinikingia kifua kwa uongozi wa shule
hahahahahha mkuu advance kiukweli ukitaka mambo yasiende ni ishu za msosi😁😁😁😁😁😁kama kiongozi aupo makini lazima migomo itokee sababu wote wanasoma sana na pia kula hivyo ni vitu muhimu kwa wanafunzi wa advance
 
Back
Top Bottom