Ajinyonge tu kabla hajatumiwa Wahuni wa kumshughulikia.Wakulungwa..... habari Gani
Huku kimeumana Kuna jamaa yangu ameyatimba Baada ya kumtongoza shemeji ake ( mke wa rafiki yake) na huyo mke wa rafiki yake ametolea uvivu Kwa kumtukana
Jamaa angu amechanganyikiwa hajui la kufanya kama habari zitafika Kwa mwenye Mali ..
Je mshkaji atumie njia Gani ku escape hili Soo..... only legend have to answer this.....
Najua vijana wa hovyo mtasema ni Mimi???
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Aaah hupaswi kuwa mshauriAnywe sumu tuu ndicho kilicho baki
Hii nzuri..japo ni ngumu kudefend uongoAmbadilishie case kuwa yeye ndo alimuanza.
Hapana mkuu ...sisi ni wanaume tupo the sameKama marafiki zako ni wa design hiyo, na wewe kuna walakini akili zinaweza kufanana.
Unprofessional ushauriAjinyonge tu kabla hajatumiwa Wahuni wa kumshughulikia.
We ni ndugu na lowasa??Avae viatu kichwani halafu kofia miguuni. Kesi inageuka