Mi ni mtu smart sanaHatuna tatizo la akili kama la kwako.
[emoji23][emoji23]Kwani kumtongoza mwanamke siku hizi ni kosa la jinai? jibu ni rahisi sana, akiulizwa anasema tu alikuwa ana-test uaminifu wake kwa mmewe... ni hayo tu...
Konyola Kwa kinyakyusa ni vunja....Ajibadili kuwa shoga ndo atapona
Hakuna mtu anayeendekeza tamaa awe smart. Watu smart wanajua kudhibiti mipaka ya tamaa zao.
Huyo jamaa ni wewe!!!...pole sanaWakulungwa..... habari Gani
Huku kimeumana Kuna jamaa yangu ameyatimba Baada ya kumtongoza shemeji ake ( mke wa rafiki yake) na huyo mke wa rafiki yake ametolea uvivu Kwa kumtukana
Jamaa angu amechanganyikiwa hajui la kufanya kama habari zitafika Kwa mwenye Mali ..
Je mshkaji atumie njia Gani ku escape hili Soo..... only legend have to answer this.....
Najua vijana wa hovyo mtasema ni Mimi???
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ila mwanamke ana nguvu ya kuaminika zaidiKwani kuna ushahidi?
Hakufanya feasibility study (Upembuzi yakinifu).
Momumo.
Utani kama upi mkuuMsipende kutongoza kuanzia miguu yote au kuingia mzima mzima,,,, unatakiwa uanze kama utan utan uku wa pima upepo.
[emoji23][emoji23] kwaniniSimple, amsingizie shetani, ila kuna watu ni wapumbavu sana
Hapo kitaumanaMwambie mkeo akuombee msamaha kwa shoga ake.Hapo umemaliza kesi milele
Genye mbaya sana [emoji23]Hakufanya feasibility study (Upembuzi yakinifu).