Je, utafanyaje kama umemtongoza mke wa rafiki Yako na amekukataa?

Je, utafanyaje kama umemtongoza mke wa rafiki Yako na amekukataa?

Kwani kumtongoza mwanamke siku hizi ni kosa la jinai? jibu ni rahisi sana, akiulizwa anasema tu alikuwa ana-test uaminifu wake kwa mmewe... ni hayo tu...
 
Wakulungwa..... habari Gani

Huku kimeumana Kuna jamaa yangu ameyatimba Baada ya kumtongoza shemeji ake ( mke wa rafiki yake) na huyo mke wa rafiki yake ametolea uvivu Kwa kumtukana

Jamaa angu amechanganyikiwa hajui la kufanya kama habari zitafika Kwa mwenye Mali ..

Je mshkaji atumie njia Gani ku escape hili Soo..... only legend have to answer this.....
Najua vijana wa hovyo mtasema ni Mimi???

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Huyo jamaa ni wewe!!!...pole sana


Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Msipende kutongoza kuanzia miguu yote au kuingia mzima mzima,,,, unatakiwa uanze kama utan utan uku wa pima upepo.
 
Back
Top Bottom