Je Utajuaje Idea Yako Ya Biashara Haitafanikiwa?

Je Utajuaje Idea Yako Ya Biashara Haitafanikiwa?

Mwelewa

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2011
Posts
2,343
Reaction score
3,284
Habari bosses!

Leo napenda ni-share na wajasiriamali wenzangu MBINU chache zitakazo saidia kufahamu Kwanini idea yako ya biashara HAITAFANIKIWA.

Nimeona niliweke hili kinamna hii kwasababu watu wanaongelea tu jinsi wazo la biashara linavyoweza fanikiwa.

Leo ngoja tuangalie upande wa pili wa shilingi.

Kwanza niseme tu few years ago I was part of business start-up that failed. Tuliwekeza more than 15M for building product and launching the product.

Kumbe tuliwekeza kwenye product/service ambayo hakuna anayeihitaji.

Well, that was a good medicine and I guess I needed it.

Nilijifunza makosa mengi tuliyofanya yangeweza kuepukwa kama tungekuwa makini.

Na hayo makosa yalinifunza kugundua idea ya biashara ambayo haitafanikiwa.

Sasa tuanze ya kwanza hadi ya 4.

1. Wazo/Biashara inayoanzishwa bila kuwa na wateja tayari.

- ukianzisha biashara bila kuwa na wateja ambao wameshakuhakikishia kununua product/service yako biashara ita-strungle mwisho itakufa. Probality ya hii ipo juu sana.

2. Wazo/Biashara inayowazia financial support kabla ya kutoa huduma.

- biashara inatakiwa iweze kugenerate faida kupitia potential clients bila kuhangaika kutafuta financial support.

3. Wazo/Biashara isiyo add value kwenye maisha ya kila siku ya watu.

- wajasiriamali wapya mara nyingi wanafikiri kwasababu wazo fulani ni bora kwao basi automatically atapata wateja. This is BIG mistake.

4. Biashara kushindwa kutumia Law of Attraction.

- mfanyabiashara asipokuwa na communication skills nzuri biashara ita-strungle kutengeneza wateja wapya na wale wazamani watakimbia. Mwisho itakufa.

Jaribu kuelewa hizo tips kuepuka kuanzisha biashara/wazo litakalo kufa baada ya miezi michache.

Nipe maoni yako.
 
Hakuna bishara isiyp lipa.
Hata wauza cheni za mitumba mitaana wana savaive
Biashara nyingi hadi kufikia 80% zinazoanzishwa zinakufa.

Hili wala si lakuuliza.

Ipo wazi kama pua kwenye uso.

Nikwambie tu it takes a genius to build successful brand.

Wewe acha utani. Hapa nazungumzia wajasiriamali wanao-build brand siyo hizo biashara za kuuza cheap jewelry au mitumba.

Got my point?
 
Njia pekee ya kujua wazo halitafanikiwa ni kulifanyia kazi. Unajua kabla ya YouTube kulikuwa na wazo kama hilo ambalo lili fail? Mda mwingine wazo kufanikiwa inatokana umejianda vipi kukabiliana na challenges
 
Njia pekee ya kujua wazo halitafanikiwa ni kulifanyia kazi. Unajua kabla ya YouTube kulikuwa na wazo kama hilo ambalo lili fail? Mda mwingine wazo kufanikiwa inatokana umejianda vipi kukabiliana na challenges
Mjasiriamali anapotaka kuanza biashara lazima aelewe what his potential clients need and discover best way to serve them.

In this case, YouTube understands best way to serve its clients.

Kujidanganya eti kwasababu umeona "problem" fulani kwenye jamii basi hiyo unaweza kuwa fursa ya biashara ni strategy DHAIFU sana.

Hebu tuongelee biashara ya maana. Na hapa tuongelee business inayo-generate revenue ya $5,000 - $10,000 a month.

Je una build vipi business brand kama hii?

Utahakikisha vipi hii biashara inaanza kwenye misingi sahihi na siyo kuwekeza hela itakayopotea bure?

Watu wanadhani biashara ni habati nasibu. Wanadhani ukiwa na mtaji na ukagundua "tatizo" basi kimbilia kutafuta solutions then utapiga hela. Hello.

Wapo watu wanafanya hivyo. And as matter of fact most of them struggle and fail.

Wakati naanza business zangu I had this limited view.

Au na kuwa very general. Kama wewe unavyojibainisha kwenye maelezo yako.

Kama unafanya biashara. Hapa nazungumzia brand yenye structure inayoeleweka.

Kama upo kwenye business na wewe ni mjasiriamali nionyeshe hapa step by step unayotumia kuunda business brand.
 
suala la kuad value ndio nini mbona kama theory mfano mimi hapa nawaza biashara ya kukodisha CD inaad value vipi mtaani.
 
suala la kuad value ndio nini mbona kama theory mfano mimi hapa nawaza biashara ya kukodisha CD inaad value vipi mtaani.
Kwanza unapaswa ufahamu value addition ni nini kwenye business.

Maana yake ni kwamba wateja wako wanatatizo fulani na wewe unawapatia suluhisho kutatua hilo tatizo.

Kama biashara yako ni kukodisha CD inamaana umeona kuna watu wanachangamoto ya kupata CD za kukodi sasa kuwatatulia uliamua kuanzisha hiyo biashara kukodi CD.

Sijui biashara yako ni kubwa kiasi gani.

Hapa nazungumzia business inayojaribu kukuza brand.

Business inayoweza kukutengenezea faida kubwa up to $20k a month.

Ukianzisha business halafu hauna structure utashindwa ku-scale.

Na ukiangalia biashara nyingi zinazoanziswhwa na newbies nyingi zinakufa kwa makosa yanayofanana.

These mistakes are easily avoidable if you hire a good business couch to guide you.
 
Kwanza unapaswa ufahamu value addition ni nini kwenye business.

Maana yake ni kwamba wateja wako wanatatizo fulani na wewe unawapatia suluhisho kutatua hilo tatizo.

Kama biashara yako ni kukodisha CD inamaana umeona kuna watu wanachangamoto ya kupata CD za kukodi sasa kuwatatulia uliamua kuanzisha hiyo biashara kukodi CD.

Sijui biashara yako ni kubwa kiasi gani.

Hapa nazungumzia business inayojaribu kukuza brand.

Business inayoweza kukutengenezea faida kubwa up to $20k a month.

Ukianzisha business halafu hauna structure utashindwa ku-scale.

Na ukiangalia biashara nyingi zinazoanziswhwa na newbies nyingi zinakufa kwa makosa yanayofanana.

These mistakes are easily avoidable if you hire a good business couch to guide you.

mkuu nitajie mfano wa izo biashara kubwa unazoweza kutengeneza $20K kwa mwezi maana mimi nikiwazaga biashara kubwa naishiaga kuwa Restaurant, Kilimo bas.
 
Mjasiriamali anapotaka kuanza biashara lazima aelewe what his potential clients need and discover best way to serve them.

In this case, YouTube understands best way to serve its clients.

Kujidanganya eti kwasababu umeona "problem" fulani kwenye jamii basi hiyo unaweza kuwa fursa ya biashara ni strategy DHAIFU sana.

Hebu tuongelee biashara ya maana. Na hapa tuongelee business inayo-generate revenue ya $5,000 - $10,000 a month.

Je una build vipi business brand kama hii?

Utahakikisha vipi hii biashara inaanza kwenye misingi sahihi na siyo kuwekeza hela itakayopotea bure?

Watu wanadhani biashara ni habati nasibu. Wanadhani ukiwa na mtaji na ukagundua "tatizo" basi kimbilia kutafuta solutions then utapiga hela. Hello.

Wapo watu wanafanya hivyo. And as matter of fact most of them struggle and fail.

Wakati naanza business zangu I had this limited view.

Au na kuwa very general. Kama wewe unavyojibainisha kwenye maelezo yako.

Kama unafanya biashara. Hapa nazungumzia brand yenye structure inayoeleweka.

Kama upo kwenye business na wewe ni mjasiriamali nionyeshe hapa step by step unayotumia kuunda business brand.
Mkuu mm naomba kujua ntaelewaje au ntajuaje kama wateja wataikubali biashara yangu?
 
suala la kuad value ndio nini mbona kama theory mfano mimi hapa nawaza biashara ya kukodisha CD inaad value vipi mtaani.
Kuhusu ku-add value kuna kitabu kilichoandikwa na kim chan ameelezea kiundani kuhusu value re-innovation.

Kitabu kinaitwa blue ocean strategy

Kicheki hiko.kitabu kina mengi ya kuzingatia kwenye biz yako.
 
Kuhusu ku-add value kuna kitabu kilichoandikwa na kim chan ameelezea kiundani kuhusu value re-innovation.

Kitabu kinaitwa blue ocean strategy

Kicheki hiko.kitabu kina mengi ya kuzingatia kwenye biz yako.

ok ngoja nikicheki kama nishaanza elewa furani hivi unajua kwenye biashara ya CD niliwaza kitu kimoja kwamba
1) kila mteja nitampa Contact za WhatApp then nawaunga kwenye group ambalo nawapa update za CD mpya nilizonazo na kiwaaidisia CD nilizonazo ili kuwapa motisha ya kuiitaji CD ninayowapa hadithi kidogo kuhusu iyo CD.

2)Kuwatangazia Ofeer mbalimbali kwakipindi furani akikodi CD

Namengine hii nikuweka utofauti tu na Library zingine

Hii sindo maana halisi ya kuadd value au.
 
ok ngoja nikicheki kama nishaanza elewa furani hivi unajua kwenye biashara ya CD niliwaza kitu kimoja kwamba
1) kila mteja nitampa Contact za WhatApp then nawaunga kwenye group ambalo nawapa update za CD mpya nilizonazo na kiwaaidisia CD nilizonazo ili kuwapa motisha ya kuiitaji CD ninayowapa hadithi kidogo kuhusu iyo CD.

2)Kuwatangazia Ofeer mbalimbali kwakipindi furani akikodi CD

Namengine hii nikuweka utofauti tu na Library zingine

Hii sindo maana halisi ya kuadd value au.
Hiyo iko vizuri pia,

Mi kwa upande ningejaribu kutengeneza demand nyingine hasa kwa watu wanaozunguka library

So ningeanzisha huduma ya livestreaming kwa kutumia simu zao, hili ningefanikisha kwa kutumia VLC media player au google chrome browser na WiFi network.

Kwa hiyo hata wafanya bisashara na watu wengine wasio na tv ila wana simu wangekuwa wateja wangu kwa hiyo hapo unakuwa umeshatengeza blue ocean.

Kikubwa unatakiwa u-redefine tatizo , hiko kitabu nilichokuwekea kinaweza kikakupa mwangaza na kuanza kufikiri tofauti.
 
Hiyo iko vizuri pia,

Mi kwa upande ningejaribu kutengeneza demand nyingine hasa kwa watu wanaozunguka library

So ningeanzisha huduma ya livestreaming kwa kutumia simu zao, hili ningefanikisha kwa kutumia VLC media player au google chrome browser na WiFi network.

Kwa hiyo hata wafanya bisashara na watu wengine wasio na tv ila wana simu wangekuwa wateja wangu kwa hiyo hapo unakuwa umeshatengeza blue ocean.

Kikubwa unatakiwa u-redefine tatizo , hiko kitabu nilichokuwekea kinaweza kikakupa mwangaza na kuanza kufikiri tofauti.

iko vizuri mkuu
 
Namna nyingine ya kufeli fasta ni ile kasumba ya: Anzisha biashara ya kitu "unachopenda". So, anayependa pombe anakimbilia kufungua bar. Sasa unajiuliza, hv wanaoanzisha toilets mjini, au wanaomiliki sewerage trucks na kupiga mpunga wa maana, wanapenda sana kujisaidia??

Kinachotakiwa ni kupenda fedha, then unakuwa tayari kufanya chochote halali chenye uhakika wa kuingiza fedha vizuri kwny mazingira husika.

Kama huwezi kuwa na msukumo wa kufanya jambo la kuingiza fedha mpaka uwe na mapenzi nalo kwanza, then ww siyo mjariamali wa kweli, katafute ajira tu
 
Mkuu mm naomba kujua ntaelewaje au ntajuaje kama wateja wataikubali biashara yangu?
Swali zuri.

Iliujue iwapo wateja wata-support biashara yako lazima kwanza UJUE WATEJA WANATAKA NINI.

Baada ya kufahamu hili sasa unaweza kujua namna bora yakuwasaidia kutatua changamoto inayowakabili.

Sasa unaweza kujiuliza nitajuaje mteja anachotaka?

Jibu rahisi ni kuongea na watu unaolenga kuwauzia bidhaa zako.

Waulize namna gani unavyoweza kuwasaidia kutatua changamoto inayowakabili na kuanzia hapo utafahamu namna bora yakuwahudumia.

Never ever start a business bila kufahamu wateja wako wanataka uwahudumie vipi.

Kamwe usijidanganye kuwa unajua zaidi ya wateja wako.

If you are struggling to developed business idea lets talk.

Unaweza nitumia email through wiserastarising@gmail.com
 
Swali zuri.

Iliujue iwapo wateja wata-support biashara yako lazima kwanza UJUE WATEJA WANATAKA NINI.

Baada ya kufahamu hili sasa unaweza kujua namna bora yakuwasaidia kutatua changamoto inayowakabili.

Sasa unaweza kujiuliza nitajuaje mteja anachotaka?

Jibu rahisi ni kuongea na watu unaolenga kuwauzia bidhaa zako.

Waulize namna gani unavyoweza kuwasaidia kutatua changamoto inayowakabili na kuanzia hapo utafahamu namna bora yakuwahudumia.

Never ever start a business bila kufahamu wateja wako wanataka uwahudumie vipi.

Kamwe usijidanganye kuwa unajua zaidi ya wateja wako.

If you are struggling to developed business idea lets talk.

Unaweza nitumia email through wiserastarising@gmail.com
Poa mkuu, lkn usiaze kusema tena nitume advance
 
Back
Top Bottom