Je, Utajuaje kuwa huyo ndiye mkeo? Mjue mkeo

Je, Utajuaje kuwa huyo ndiye mkeo? Mjue mkeo

Kwa ambao bado hawajaoa na wanaopitia changamoto katika ndoa ni SoMo zuri sana
 
Abraham alimletea mtoto wake Isaka mke, Naomi alimpeleka Ruth kwa Boazi ili amuoe, hata baadhi ya wazazi wetu walipendekezewa na wazazi wao wake wa kuwaoa UA familia za kuoa na ndoa zao zilidumu.
 
Mungu akikuletea wanawake maana yake atakupa na namna ya kuwa handle, ndio maana akasema mwanamke ishi nae kwa akili, na namna moja ya kum-handle mwanamke lazima mfanane tabia, kinyume na hapo ni kujiumiza tu kisaikolojia.

Kinyume na hapo naamini hata pendezo la Mungu kwa mwanaume ni kuwa na mke mmoja, ndio maana biblia inasema mwanamke ataachana na babaye na mamaye nae ataambatana na mumewe nao watakuwa mwili mmoja.

Haijasema wanawake wataachana na baba zao na mama zao nao wataambatana na mume wao nao watakuwa mwili mmoja, hili linathibitisha kumiliki wake wengi kunahitaji maarifa zaidi na lazima yatoke kwa Mungu, refer mfalme Suleiman.

Sasa wewe leo toka nenda bar chukua barmaid, then pitia Kwa macheni chukua mtoto, rudi kwa jirani yako chukua binti yake muimba kwaya, wachanganye wote hao halafu uone kama hiyo nyumba yako itakalika.
Yaani we hapo kama uwezo unao wa kuwatimizia mahitaji yao ya msing,uadilifu upo kwa wote,We waoe tu,Mke mmoja ni umaskini,
 
Uko vizuri mkuu

"Hakuna mwanaume timamu awezaye kuoa wake zaidi ya mmoja. Ni wanaume dhaifu peke yao ndio huweza kuoa wake wawili au zaidi. Ninaposema dhaifu namaanisha wanaume wenye kasoro au madhaifu ya kihisia, kimwili na kiakili ndio huweza kuoa wake wawili"



Kila la heri!
 
Jibu ni moja, Daudi na genge lake alikuwa mdhaifu, mlemavu hasa wa kihisia,

Yeye alishindwa kuzuia tamaa yake ya ngono, Daudi na wenzake wote bila kujali nafasi zao walikuwa na ulemavu wa kihisia.
Daudi akiwa mtoto wa miaka 14 aliua dubu, simba na Mfilisti Goliathi kwa ujasiri,
Utasemaje alikuwa ni mlemavu wa kihisia wakati taifa zima lilikuwa linamkimbia Goliathi kwa hofu ??
Wewe mwenzangu unajitutumua tu mtandaoni lakini ukute tu hata kibaka wa mtaani kwenu anakutoa balu.

Pia sijasema kuwa Adamu alichaguliwa Mke, ila kwa muktadha kila mtu anaweza kusema hivyo kwa sababu hakuletewa wanawake wengi achague,

Kama ilivyo Mama ni mmoja Baba ni mmoja, Mungu ni mmoja, basi kaa utambue hata mke uliyeumbiwa naye ni Mmoja. Hiyo ukubali ukatae.
Unajua maana ya neno "Parade" na lengo lake haswa ni nini ???
 
Daudi akiwa mtoto wa miaka 14 aliua dubu, simba na Mfilisti Goliathi kwa ujasiri,
Utasemaje alikuwa ni mlemavu wa kihisia wakati taifa zima lilikuwa linamkimbia Goliathi kwa hofu ??
Wewe mwenzangu unajitutumua tu mtandaoni lakini ukute tu hata kibaka wa mtaani kwenu anakutoa balu.


Unajua maana ya neno "Parade" na lengo lake haswa ni nini ???
Tofauti ni kwamba kasema udhaifu wa kihisia akimaanisha hisia na sio nguvu, hivyo mfano wako ni batili.
 
Mungu akikuletea wanawake maana yake atakupa na namna ya kuwa handle, ndio maana akasema mwanamke ishi nae kwa akili, na namna moja ya kum-handle mwanamke lazima mfanane tabia, kinyume na hapo ni kujiumiza tu kisaikolojia.

Kinyume na hapo naamini hata pendezo la Mungu kwa mwanaume ni kuwa na mke mmoja, ndio maana biblia inasema mwanamke ataachana na babaye na mamaye nae ataambatana na mumewe nao watakuwa mwili mmoja.
Sasa kwanini Mungu alimpa Yakobo wake wawili na masuria wawili ???
 
Well said & noted [emoji106][emoji109][emoji110][emoji115][emoji3578]
 
Sasa kwanini Mungu alimpa Yakobo wake wawili na masuria wawili ???
Yakobo alipata wake zake wawili baada ya kumtumikia mjomba wake Laban miaka 14.

Na hao masuria wawili walikuwa vijakazi wa hao wake zake wawili (yaani walimpa Yakobo azae nao)

Kwanini useme (andika) Mungu ndie aliyempa Yakobo wake na masuria?
 
Asante kwa somo ZURI.

Yote ya yote.
Wanaume tumekuwa na Imagination za Mwanamke wa kumuoa (wife material).

Haijawahi kutokea na haitakuja kutokea kumpata mwanamke wa ndoto zako.

NIMEKUELEWA SANA.
 
Umeandika vizuri sana lakini shida inakuja kwenye uhalisia na jinsi ya kutekeleza hiki ulichokiandika.
Mwanamke mwingine anaweza akakuigizia mpaka ukaenda kulipa shukrani kanisani.. Ila ukishamuweka ndani (ukifunga nae ndoa) ndio hapo unakuja kughutuka kua umeoa Van damme
 
kwani mtume mkuu kuliko mitume wote,kuliko hata Suleman,Daudi na Yesu.Si mwingine ni mtume muhammad anaongeleaje hili swala?
 
Duniani hakuna kitu kiitwacho "Soul Mate" , wanadamu huchagua wenyewe.
Pili, hata huo mfano wa Adam kuletewa Hawa nadhani nao hujauangalia vizuri.

Biblia ya Kihebrania inasema Mungu alimuumba Hawa akampitisha mbele ya Adamu,
Katika lugha ya Kiingereza neno hilo linatafsiriwa hivi "Paraded her", haijasema kwamba Adamu alichaguliwa mke.
Adamu mwenyewe baada ya kuona Hawa ni bonge la toto akajiongeza na kuanza kusema wewe ni mfupa wangu.

Kwenye kitabu cha Samweli, baada ya Daudi kumuua Uria aliambiwa na Mungu kwamba, nilikupa mali, ufalme hadi wake za Bwana wako Sauli, na ungetaka na wengine ningekuongezea. Sasa wewe mzee wa fasihi unapotuambia kwamba kuoa mke zaidi ya mmoja ni udhaifu unamaanisha nini ???
Hizi mada ni ngumu mnoo
 
Back
Top Bottom