Je, Utajuaje kuwa huyo ndiye mkeo? Mjue mkeo

Je, Utajuaje kuwa huyo ndiye mkeo? Mjue mkeo

Somo zuri, lakini mtu asipo jua kujiconnect na Mungu hawezi Vuka hapo.

Tumeumbwa kutamani Kwa nje, hadi Mungu aingilie mawazo yetu ndio tunakaa sawa wakati mwingine.

Kwa wengine hadi wapitie darasa la majaribu hayo ndio watakuja kusema umeongea ukweli.

Cha kuomba Mungu afungue macho tuone, sabb Kuna wengine walihis kabisa hapa na mahali sahihi wakaishia kuumia , na Sio kuwa hawakupata red flag hapana, lakin Mapenzi yaliwazidi wakashindwa kujitoa, nafsi ilizidiwa nguvu na moyo.

Nimependa uliposema mtu anakuwa na imagination, hii ndio Ina ua wengi.

Lakin Mungu asipo ingilia kati, wengi tuna ana angukia ktk imagination hiyo,

Lakin ukikaa Kwa uaminifu Kwa Mungu , hawez ruhusu ukaingia Mahal sipo.
Patana na Mungu kwanza Kwa kumwambia, jifunge kwake na sadaka ili asirihuhusu uingie ndoa sio salama.
 
kwani mtume mkuu kuliko mitume wote,kuliko hata Suleman,Daudi na Yesu.Si mwingine ni mtume muhammad anaongeleaje hili swala?
Hao wote uliowataja, siyo mitume kwa mujibu wa maandiko matakatifu yaani "Biblia".
 
Somo zuri, lakini mtu asipo jua kujiconnect na Mungu hawezi Vuka hapo.

Tumeumbwa kutamani Kwa nje, hadi Mungu aingilie mawazo yetu ndio tunakaa sawa wakati mwingine.

Kwa wengine hadi wapitie darasa la majaribu hayo ndio watakuja kusema umeongea ukweli.

Cha kuomba Mungu afungue macho tuone, sabb Kuna wengine walihis kabisa hapa na mahali sahihi wakaishia kuumia , na Sio kuwa hawakupata red flag hapana, lakin Mapenzi yaliwazidi wakashindwa kujitoa, nafsi ilizidiwa nguvu na moyo.

Nimependa uliposema mtu anakuwa na imagination, hii ndio Ina ua wengi.

Lakin Mungu asipo ingilia kati, wengi tuna ana angukia ktk imagination hiyo,

Lakin ukikaa Kwa uaminifu Kwa Mungu , hawez ruhusu ukaingia Mahal sipo.
Patana na Mungu kwanza Kwa kumwambia, jifunge kwake na sadaka ili asirihuhusu uingie ndoa sio salama.

Barikiwa Sana Mkuu
 
Binafsi nimetosheka na andiko lako....nmeona ukweli sana kwenye andiko hili
Ulipozungumza namna mke anapatikana nimejiona mimi kabisa na kwa wakati ule sikuwa na tafsiri hii mimi niliona tu wakati umefika ila hapa naona kuwa nilikuwa nimechoka upweke😀, Dunia imenitenga🤔!
Mke ni msaada sana tangu wakati huo mpaka leo
Unaposema mke wangu ni kivuli changu ni kweli kabisa japo siwezi Sema yote hapa ila umeandika vizuri sana!
Nimeipenda na kuelewa sana hapo kwenye ufafanuzi wa kuwa na mke mmoja
Umesema

"Kama ilivyo Mama ni mmoja Baba ni mmoja, Mungu ni mmoja, basi kaa utambue hata mke uliyeumbiwa naye ni Mmoja. Hiyo ukubali ukatae.

Mungu ni Mmoja lakini ipo miungu ingine watu wamejifanyia
Mama ni mmoja ila watu huweza kujifanyia mama wengi
Baba ni mmoja ila watu huweza kujifanyia wababa wengi

Mke ni mmoja ila watu huweza kujifanyia wake wengi. "
 
Asante kwa somo ZURI.

Yote ya yote.
Wanaume tumekuwa na Imagination za Mwanamke wa kumuoa (wife material).

Haijawahi kutokea na haitakuja kutokea kumpata mwanamke wa ndoto zako.

NIMEKUELEWA SANA.
Ila wanawake kumpata mwanaume wa ndoto zao inawezekana
 
Ukiona Mwanamke uliyenaye anataka wewe ndiye umsaidie badala ya yeye akusaidie, Jua huyo sio mkeo.

Ukiona upo na mwanamke ambaye pesa yake ni yake, na yako ni yenu, basi jua yakuwa huyo sio Mke wako, kama unaweza fukuza, kama hujiamini mu
Hapa kuna kundi kubwa sana linapata shida hii
 
hili andiko nilikuwaga nalisoma kimchongo leo nime concentrate nimepata madini sana..
 
Back
Top Bottom