Nikweli mengi mazuei kayafanya.. yotebhayo nami naunga mkono. Ila pia sitamsahau wakati wa utawala wake kumpoteza mdogo wangu...
 
Nakumbuka na
Maneno kuntu.
 
Rais wa ovyo, mbinafsi aliyependa kutukuzwa... Wajanja wakamjulia... wakamtanguliza...
Alitaka kwenda haraka haraka mwenyewe badala ya kuunganisha wengine na kuwa imara zaidi ili kwa pamoja tufike mbali zaidi...
Yako wapi sasa...
Ila wajinga wataona yeye ndo yeye...
 
Daah, umesahau dharau zake kuhusu korona ambayo imemfyeka
 
Asante sana Mkuu.
 
Mweee. Ulitaka uchapwe bakora jichoni???
1. Ajira za walimu na madaktari zilikuwa zinatoka kila mwaka lkn awamu hii.
2. Hakuna nyongeza ya mshahara
3. Ukichelewa kwenye kituo cha kazi, unaweza kushangaa unawekwa lock up au afisa elimu akakuchapa viboko vya makalio
 
E government ni project ilianza toka enzi za kikwete , awamu ya 5 imekuja kuwa implemented tu.
Ni kweli lakini wakati wa JK waliihujumu lakini wakati wa Magu waliogopa maana Magu angewafukuza kazi
 
1.Mi namkumbuka Ubaguzi wake wa kidini Tanzania bara wakuu wa mikoa waislam hawafiki sita.
2.viongozi wa Ccm waliweza kuifanya kazi bila mipaka anaweza akamsweka Sello Daktari kisa yeye ni katika wa ccm wilaya.
 
KWELI KUFA UWE MZURI humu jf tumetukana,sana matendo yaliyokuwa yakifanywa na serikali kiasi kwamba hada uongozi wa JF ulikuwa bize ukifuta THREAD za matusi.
 
Kuminya uhuru wa habari mf: alizuia binge live kwa madai wananchi hawapati muda kufanya kazi cha ajabu akawa anaonekana yeye live kila anapoenda
 
Ukwepaji kodi ulipungua kwa kasi sana na janja janja zote za kukwepa zilitiwa kapuni. Aliinyoosha sana
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ambayo kimsingi ilikuwa imeoza na kufifia kiutendaji. Kwa hili nampa big up maana huu ndiyo umekuwa msingi wa sasa kutamba kwa nchi yetu.
Japo hajaiboresha sana Mamlaka (to world class standards) lakini amejitahidi kuboresha baadhi ya vitu
 
Kuwaweka wafanyakazi wa Uma miaka 7 bila nyongeza ya mshahara wala kupanda daraja. Hili haliwezi kusahaulika

Huu ni uongo wa jumla, mimi na wenzangu tumepanda madaraja na kupata increments zetu kama kawaida.
Matatizo mengine ya kiutendaji na taratibu za utumishi zisikufanye ujumuishe hapo
 
Nashukuru sana
 
Unaposema hujafurahishwa na kifo chake kwahiyo unamtuhumu Muumba aliyemtwaa! unamtunishia msuli Mungu! unasema kakosea! kwamba angemchukua nani! kwahiyo Mungu amekuudhi! we fanya tu ku celebrate kifo cha hayati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…