Acha upuuz kuwaita binadamu wenzako carcass ingekuwa Ni Bab ako huuyo carcassAmekufa kifo cha kitandani? Kama hujui Kaa kimya. Magufuli kuanzia 1992 alikuwa anapumua kwa betri (defibrillator), pili aliukwaa UKIMWI miaka ya mwisho wa 1990s.
Kama ulimuona vizuri kipindi cha kampeni alikuwa anawekewa Air Conditioner kwenye mikutano ya kampeni (ukibisha picha zipo).
Halafu ule mwezi wa mwisho alikuwa anatembea na catheter (kifaa cha kuunganisha mirija ya sindano za drip)
Yule alikuwa ni walking carcass tu
Nenda kachimbe kaburi lako pembeni na Magufuli huko Chato ili aendelee kukutawala wewe na familia yakoNinbora magufuli angetawala maisha kuliko huu utopolo wa sasa HV tulionao na Wal Hakuna mpinnzan wa maana wa kupewa nnchi hi Ni Mara Mia magu angebaki kulikoni huu urojo uliopo Sasa hv
Ndiyo nilishasema sasa na narudia "he was a dead man walking"Acha upuuz kuwaita binadamu wenzako carcass ingekuwa Ni Bab ako huuyo carcass
Nimekuchukia san
Nani unamuambia hvyo mjinga kweli wew unaweza mfananisha magufuli na utopolo gani sas hvNenda kachimbe kaburi lako pembeni na Magufuli huko Chato ili aendelee kukutawala wewe na familia yako
Kiongozi ndo anabeba responsibility zote , ipo hivo duniani kote ,Kuna watu hawajui majukumu ya Raisi, Waziri, taasisi husika(Tanroads) or Mkandarasi...
wanatoa lawama utadhani yy ndo alikua Fundi, Engineer, Supervisor, Site manager, Project manager, Quality manager or Consultant.
Wanahisi kujenga barabara or daraja ni km kufasakafia vyoo vyao vya shimo kwamba kila kitu ni mtu mmoja anafanya.
Kuna haja ya JF kuanza kuchuja members wake, limeibuka wimbi kubwa sana la vilaza, wanakurupuka kunzisha nyuzi zisizokua na kichwa wala miguu kwakua tu wana bundle.
Nitamfananisha Magufuli na maDIKTETA wenzie akina Mobutu, Nguema, Bokassa na iddi Amini.Nani unamuambia hvyo mjinga kweli wew unaweza mfananisha magufuli na utopolo gani sas hv
Jiwe alikuwa anataka kufanya kazi na watu wenye ueledi mdogo sana kama Bashite na SaambayaSio kwamba ni fisadi, huyo ni kijana Muhuni Mmoja mjanja mjanja alizoea Maisha ya ujanjaujanja sana, Sasa Kwa Uongozi wa JPM ,watu wenye matope vichwan ,midomo mirefu, walikua hawatoboi !!
JPM aliwapa shida sana sana !!.
Kuna yule Jiwe alimuua mtu baada ya hugo mtu kufatilia Elimu yakeHii inchi ina tatzo kubwa sana la Elimu.
Kuna watu uelewa wao ni mdogo sana na hawa ndio wanaojifanya much know kumbe kichwani weupe tu.
Lakini kikubwa dhalimu yule kafa,basi inatoshaMatako wewe na wewe kesho unakufa kwa kuvimbiwa makande.
Lile lilikuwa zimwi.1)Kumaliza tatizo la kuchelewa magali kutoka bandarini sasa hivi bandari kavu za mafisadi wanalala panya na paka
2) Kuhakikisha Umeme wa rea unawaka katika vijiji vyote Tanzania
3) Kudhibiti ujambaazi
4) Malipo ya serikali kufanyika kwa control namba
5) Elimu bure kuanzia chekechea hadi kidato cha sita
6) Reli ya mwendo kasi
7) Bwawa la Umeme
8) Mwendokasi kutoka mbagala hadi kariakoo na kutoka JKT hadi magomeni
9) Ndege za kisasa Dream liner, Airbus na Bombadia
10) Mirahaba ya madini kutoka.Barick na Arcacia
11) Muhimbiri mashine za Citiscan na MRI hazijaharibika mika yote 5 uliyokaa madarakani
12) kuwatoa hofu watanzania kuhusu ugonjwa wa COVID tukawa tunadunda tu mitaa ya Msimbazi na Kongo na visantaiza vyetu mfukoni
13) Kuvunja mkataba wa IPTL
14) Kuwatumbua watumishi wasiokuwa waadalifu
15) Kuwashughulikia mafisadi wengine walikimbilia nje ya nchi na wengine kuwekwa mahabusu kama yule singasinga wa IPTL
Na mengine mengi tu ambayo sijayaandika R.I.P jembe
Kiswahili chako kigumu sana sijui ni mtu wa wapi wewe....ila umeongea points kabisaa wala hujakosea...Magufuli alikula habembelezi hakuwa na simile kwa wanafiki aliwanyoosha kama pasi na walinyooka hakulea wanafiki hakula nao meza moja aliwafyekelea mbali hawakuthubutu hata kumsogelea Samia alizani hii nchi ni nyepesi alikosea Sana ni lazima awe katili Sana kwa wanafiki wachache kuwalinda wema wengi
Makaa ya Mawe na Uji wa volcano Mungu na Makatli mbali mbaliMagufuli alikula habembelezi hakuwa na simile kwa wanafiki aliwanyoosha kama pasi na walinyooka hakulea wanafiki hakula nao meza moja aliwafyekelea mbali hawakuthubutu hata kumsogelea Samia alizani hii nchi ni nyepesi alikosea Sana ni lazima awe katili Sana kwa wanafiki wachache kuwalinda wema wengi