Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
1)Kumaliza tatizo la kuchelewa magali kutoka bandarini sasa hivi bandari kavu za mafisadi wanalala panya na paka

2) Kuhakikisha Umeme wa rea unawaka katika vijiji vyote Tanzania

3) Kudhibiti ujambaazi

4) Malipo ya serikali kufanyika kwa control namba

5) Elimu bure kuanzia chekechea hadi kidato cha sita

6) Reli ya mwendo kasi

7) Bwawa la Umeme

8) Mwendokasi kutoka mbagala hadi kariakoo na kutoka JKT hadi magomeni

9) Ndege za kisasa Dream liner, Airbus na Bombadia

10) Mirahaba ya madini kutoka.Barick na Arcacia

11) Muhimbiri mashine za Citiscan na MRI hazijaharibika mika yote 5 uliyokaa madarakani

12) kuwatoa hofu watanzania kuhusu ugonjwa wa COVID tukawa tunadunda tu mitaa ya Msimbazi na Kongo na visantaiza vyetu mfukoni

13) Kuvunja mkataba wa IPTL

14) Kuwatumbua watumishi wasiokuwa waadalifu

15) Kuwashughulikia mafisadi wengine walikimbilia nje ya nchi na wengine kuwekwa mahabusu kama yule singasinga wa IPTL

Na mengine mengi tu ambayo sijayaandika R.I.P jembe
Kwa namba 2 uongo mtu, 80%vijiji watu wako gizani
 
RAIS MAGUFULI.jpg
 
Bado tunamkumbuka sana Magufuli Sasa Nchi imekuwa shamba la bibi
 
Back
Top Bottom