Mkuu usizunguke kwa ajili ya kujitahidi kuuremba uongo kuwa ukweli.
Magufuli alifuata haki alichukuwa Kodi kwa usawa kwa wote. Tofauti na malalamiko ya sasa ambapo matajiri wanakwepa Kodi na masikini wanakamuliwa zaidi, sababu masikini hawezi kukwepa Kodi, hana ujanja huo.
Kosa la Magufuli ni kuanza kuchukua Kodi kwa Wakubwa ambao hawajazoea kulipa Kodi, hii ikawastua na kuanza kupiga mayowe.
 
Simba wa yuda hapana kabisa kwani hakuwa kiongozi bali alikuwa mtawala na laiti kama angefika mwisho wa uongozi wake hali ingekuwa tete sana.Na mbaya zaidi u-rais aliufanya ni wake na sio taasisi kama ilivyo sasa chini ya jemedari wetu Mh SSH.Simba kila kitu alifanya mwenyewe yaani dereva yeye,konda yeye na fundi yeye pia na mbaya zaidi hakuwaamini wateule wake na mbaya zaidi hadi kufikia kusema"I WISH I COULD BE IGP"
 
SASA HIVI MATAJIRI WANA KWEPA KODI, WANAFANYA MAGENDO .
 
..Kwa hiyo Mkuu Hawa wanaofuata Sheria na Kukutoza ovyo Tozo ndio Viongozi Wazuri? Hawa wasiotaka Katiba Mpya??
Mada hii inamhusu magufuli.. hata hivyo ajenda ya tozo na kupandisha bei za vifurushi zilianzia kipindi kile magufuli akiwepo.

Nataka viongozi na wananchi wote tuheshimu katiba na sheria.

Kwani magufuli aliitaka katiba mpya?
 
Wala leo sisalimiii, maana najuaa kichwa cha thread hii ni salamu toshaa

Wazalendo wakweli embu njoeni tuweke mafanikio ya JPM,

Mimi naanza na KUHESHIMIANA kwa watanzania bila kujali cheo, kabila, fedhaa na zingine kedekede.

Miundombinu alizoasisi na zingine nyingi ujenzi unaendelea wala sihitaji kujua maana wewe unayesoma unajua,

Kulinda RASILIMALI ZA NCHII HADI CEO wa BARRICK kufunga safari hadi Dar es salam

Tafadhalii kama huna cha kukoment usitie neno humu
 
USILOLIJUA SAWA NA USIKU WA GIZA , INAONEKANA WALA HUWAJUI VIONGOZI ULIOWATAJA. KASOME TENA HISTORIA ZAO NA WALIYOFANYA UJIONGEZEE UELEWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…