Mwamba apumzike kwa amani!
mkuu sasa mwamposa kaingia hapa ?Wafuasi wa Magufuli ni kama watuasi wa Mwamposa, wapo wengi wa kujaza uwanja wa taifa kwa Mkapa, ila kichwani hamna kitu
Imejaa mihemko tu
Nenda chato Acha kutujazia server kwa mambo ya kikumbafu kabisa! Kumbafu, kumbafu, kumbafu kabisaTUNAKUKUMBUKA BABA
KILA siku ulinena na nasi wanao kua tutakukumbuka Tena tutakukumbuka kwa mazuri siyo kwa mabaya Leo tumeanza kukukumbuka baba yetu mzazi.
Leo wale uliotoa uhai wako kisa wao kwa damu YAKO wamekataa hata lile jina lako la wanyonge Baba wamekataa.
Siyo kwakua haliwafai la hasha bali wamelandikizwa chuki baba wamepandikizwa.
Leo eti Yale mazuri YAKO baba yamegeuka ufisadi Baba kwanini wakuonee hivi ingali wenye akili wapo na wanatambua?
Ulitamani kuiona tanzania ya pekee Baba isiokua tegemezi Baba Leo tunarudishwa tulikotoka ten kwa gari ambayo imekatika breki. Wale wote waliokua wanataja sifa zako kumbe walikua wanafiki Baba walikua wanafiki kweli.
Baba unakumbuka yule mtani wako agwee uliemlinda na kumkingia kifua siku zote Leo ameguka mkosoaji Baba amegeuka. Wale wazalendo wachache uliotuacha bado tungali na akili na mafikirio tunashuhudia mengi BABANGU.
Najua umelala ila roho YAKO IPO na sisi babayetu fanya Jambo fanya baba
Baba Leo ile SGR uliojenga kwa gharama leo tunaambiwa eti ni hasara baba Bora ungejenga bandari ya BAGAMOYO.
Na mshauri Ni yule mtani wako uliekesha kuhakikisha anakua mkuu wa mjengoni pale Dodoma. Baba eti hata ile stendi tunayojivunia na iliyobaki Kama mwili wako kwetu wanasema inasabisha foleni baba na wanaweza hata kuivunja ili sisi tukupendao na kukujua wewe kama shujaa na mtetezi wetu ukiondoka mawazoni mwetu.
Lile shirika ulilolifufua kwa uchungu na kununua ndege mpya nyingi leo wamesema limesababisha hasara na ndege zile zinaweza kuuzwa baba kweli baba muulize mama anajua mbona.
Baba yule kitumbo uliemteua ndo amekua msaliti wako wa KWANZA baba kwani humjui Ni yule uliempa awe anahesabu mahesabu na kwa bawabu
Baba hata Bwawa la Nyerere hdropower eti tunaambiwa kua litakua halileti faida eti litatia hasara.
Jamani baba ungekuepo ungeona Baba. Sahivi kila ulichofanya kwetu kimegeuka hasara kweli Baba?
Wameshindwa hata kuficha makucha yao babangu wametuonyesha wazi wazi kua wapoje ndani yao.
Baba tumeambiwa eti leo akija mchina kujenga kiwanda ruksa kuja hata na meli nzima ya wafanyakazi asizuiwe Wala kuwekewa mipaka.
Baba kweli ulikua unatupenda wanao ila Sasa umetuacha mbele ya mbwamwitu wakali waliokua wamevaa ngozi ya kondoo wakati wa uhai wako.
Baba wanao hatukujua pale ulipotupa fumbo la maneno YAKO Kila siku uliposema "TUKUOMBEE"
Kumbe uliijua vita YAKO pumzika baba ila wazalendo wapo ambao wataandika mazuri daima bila kupepesa mkono na macho yao wakisema kua WEWE no shujaa wa kweli.
Sasa ndo tunaona baba kua hata Yale machozi yao mbele ya jeneza lako yaliku ya furaha siyo huzuni kama tulivyodhani. Baba walikupeleka mikoa mingi kumbe ilikua ili waamini Kama kweli umeondoka kikwazo chao.
Baba tumebaki na mtu mmoja pekee MAJALIWA ambae atafata nyayo zako ila Sasa wameanza kumslzushia na kumuharibia baba Kaka MAJALIWA yupo Kimya anatunga sheria na majonzi ya kuondoka kwako ila bado wanamuandama eti mara kafanya mabaya mtandaoni Baba tusamehe.
Baba ule ukuta uliojenga pale mirerani eti unabezwa na kuambiwa hauna faida baba tena ndo anasema baba tunatamani hata uamke Leo uone udhalimu huu.
KILA kilichofanywa na WEWE kimegeuka hasara baba wanakupaka matope wazi huku wapumbavu wakipiga makofi na vigeregere ila malipo yao yapo kwa mungu mwenyezi
Baba kama ungekua na simu ungempihia Kaka JOSE angekuambia kwa masikitiko sana Baba angekuambia.
Machozi yanatutoka sisi wazalendo wa taifa hili teule baba tunaumia kwanini umewaachia wakushinde.
Daaaah UMELALA UMELALA UMELALA UMELALA UMELALA UMELALA UMELALA UMELALA UMELALA UMELALA shujaa umelala jemedari wetu UMELALA shujaa WETU
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji898][emoji898][emoji898][emoji898][emoji125][emoji125][emoji125][emoji705][emoji705][emoji705]
Kunywa maji usukumizie!Jibadili jina ujiandike kipara cha zamani
Ndicho ulichocopy kwenye hayo makamasi ya ubongo wako huna heshima!Magufuli ameacha nini? Ameacha wizi wa Tsh 2.4 Trilion, chuki dhidi ya upinzani, ubaguzi wa maendeleo kwa kupendelea Chato, umalaya kwa akina Jokate , matusi kwenye majukwaa, kuropoka, ubishi wa Corona mpaka imemuua, uuaji wa akina Ben Saanane na Azory Gwanda, utekaji wa akina MoDewji, maonezi kwa akina Eric Kabendera na Tito Magoti na dharau kwa wanawake tu.
Atakumbukwa kwa UDIKTETA, kukandamiza Demokrasia, Wizi wa uchaguzi Serikali za Mitaa 2019, wizi wa kura uchaguzi Mkuu 2020, kuvunja Katiba, kudhibiti Bunge na kuitishia Mahakama. Vilevile kuminya uhuru wa kujieleza na kuitishia vyombo vya habari.
Nani atanikamata leo nikisema Magufuli alikuwa muuaji? Hakuna kwa vile Rais SSH anakubali kukosolewa kwa misingi ya Sheria. Ila wapumbavu kama wewe Story za nguate wanafikiria alikuwa mtu wa maana
Ungeandikiwa weye ulivyoandika ungejiliza kwamba unatukanwa.Ng'ombe kama ng'ombe!Ndicho ulichocopy kwenye hayo makamasi ya ubongo wako huna heshima!
Pumzika kwa amani mpendwa uliyekuwa Rais, Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu, Dk. JPM. Msaidizi wako ambaye sasa ni Mkuu wa Nchi, Rais na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dk. Samia; anaendeleza SGR kwa viwango, alishabonyeza kitufe kujaza maji Bwawa la JNHP, Bararabara ulizoziacha ktk feasibility study zimekamilishwa na zinakamilishwa, njia sita Dar-Chalinze awamu ya kwanza safi.TUNAKUKUMBUKA BABA
KILA siku ulinena na nasi wanao kua tutakukumbuka Tena tutakukumbuka kwa mazuri siyo kwa mabaya Leo tumeanza kukukumbuka baba yetu mzazi.
Leo wale uliotoa uhai wako kisa wao kwa damu YAKO wamekataa hata lile jina lako la wanyonge Baba wamekataa.
Siyo kwakua haliwafai la hasha bali wamelandikizwa chuki baba wamepandikizwa.
Leo eti Yale mazuri YAKO baba yamegeuka ufisadi Baba kwanini wakuonee hivi ingali wenye akili wapo na wanatambua?
Ulitamani kuiona tanzania ya pekee Baba isiokua tegemezi Baba Leo tunarudishwa tulikotoka ten kwa gari ambayo imekatika breki. Wale wote waliokua wanataja sifa zako kumbe walikua wanafiki Baba walikua wanafiki kweli.
Baba unakumbuka yule mtani wako agwee uliemlinda na kumkingia kifua siku zote Leo ameguka mkosoaji Baba amegeuka. Wale wazalendo wachache uliotuacha bado tungali na akili na mafikirio tunashuhudia mengi BABANGU.
Najua umelala ila roho YAKO IPO na sisi babayetu fanya Jambo fanya baba
Baba Leo ile SGR uliojenga kwa gharama leo tunaambiwa eti ni hasara baba Bora ungejenga bandari ya BAGAMOYO.
Na mshauri Ni yule mtani wako uliekesha kuhakikisha anakua mkuu wa mjengoni pale Dodoma. Baba eti hata ile stendi tunayojivunia na iliyobaki Kama mwili wako kwetu wanasema inasabisha foleni baba na wanaweza hata kuivunja ili sisi tukupendao na kukujua wewe kama shujaa na mtetezi wetu ukiondoka mawazoni mwetu.
Lile shirika ulilolifufua kwa uchungu na kununua ndege mpya nyingi leo wamesema limesababisha hasara na ndege zile zinaweza kuuzwa baba kweli baba muulize mama anajua mbona.
Baba yule kitumbo uliemteua ndo amekua msaliti wako wa KWANZA baba kwani humjui Ni yule uliempa awe anahesabu mahesabu na kwa bawabu
Baba hata Bwawa la Nyerere hdropower eti tunaambiwa kua litakua halileti faida eti litatia hasara.
Jamani baba ungekuepo ungeona Baba. Sahivi kila ulichofanya kwetu kimegeuka hasara kweli Baba?
Wameshindwa hata kuficha makucha yao babangu wametuonyesha wazi wazi kua wapoje ndani yao.
Baba tumeambiwa eti leo akija mchina kujenga kiwanda ruksa kuja hata na meli nzima ya wafanyakazi asizuiwe Wala kuwekewa mipaka.
Baba kweli ulikua unatupenda wanao ila Sasa umetuacha mbele ya mbwamwitu wakali waliokua wamevaa ngozi ya kondoo wakati wa uhai wako.
Baba wanao hatukujua pale ulipotupa fumbo la maneno YAKO Kila siku uliposema "TUKUOMBEE"
Kumbe uliijua vita YAKO pumzika baba ila wazalendo wapo ambao wataandika mazuri daima bila kupepesa mkono na macho yao wakisema kua WEWE no shujaa wa kweli.
Sasa ndo tunaona baba kua hata Yale machozi yao mbele ya jeneza lako yaliku ya furaha siyo huzuni kama tulivyodhani. Baba walikupeleka mikoa mingi kumbe ilikua ili waamini Kama kweli umeondoka kikwazo chao.
Baba tumebaki na mtu mmoja pekee MAJALIWA ambae atafata nyayo zako ila Sasa wameanza kumslzushia na kumuharibia baba Kaka MAJALIWA yupo Kimya anatunga sheria na majonzi ya kuondoka kwako ila bado wanamuandama eti mara kafanya mabaya mtandaoni Baba tusamehe.
Baba ule ukuta uliojenga pale mirerani eti unabezwa na kuambiwa hauna faida baba tena ndo anasema baba tunatamani hata uamke Leo uone udhalimu huu.
KILA kilichofanywa na WEWE kimegeuka hasara baba wanakupaka matope wazi huku wapumbavu wakipiga makofi na vigeregere ila malipo yao yapo kwa mungu mwenyezi
Baba kama ungekua na simu ungempihia Kaka JOSE angekuambia kwa masikitiko sana Baba angekuambia.
Machozi yanatutoka sisi wazalendo wa taifa hili teule baba tunaumia kwanini umewaachia wakushinde.
Daaaah UMELALA UMELALA UMELALA UMELALA UMELALA UMELALA UMELALA UMELALA UMELALA UMELALA shujaa umelala jemedari wetu UMELALA shujaa WETU
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji898][emoji898][emoji898][emoji898][emoji125][emoji125][emoji125][emoji705][emoji705][emoji705]
Huna adabu kama chama ndio misingi yao wanayoitegemea aah chadema imedumaa!Ungeandikiwa weye ulivyoandika ungejiliza kwamba unatukanwa.Ng'ombe kama ng'ombe!
Mpaka uwe na akili za ziada ndio utaliona hili!Tanzania ilihitaji Raisi kama Magufuli, ili nchi iende mbele na iponyeke.
Magufuli hakuwa Raisi kwa bahati mbaya, pumzika kwa amani Baba.
Nae ana misukule inayomuona kuwa mkombozi waomkuu sasa mwamposa kaingia hapa ?
Wenye adabu wanakulipa aftatu?πππHuna adabu kama chama ndio misingi yao wanayoitegemea aah chadema imedumaa!
Na mwanga wa milele umwangazieJOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, hakuna Mzalendo hata mmoja atakayekuja kumsahau.
Upekee wa JPM ni pale alipojua kabisa kwamba, Kiongozi yeyote wa Afrika kujaribu kutetea Rasilimali za Nchi yake ni sawa kabisa na kuvaa kitanzi shingoni mwake.
Hivyo, JPM kwa kutetea na kulinda rasilimali za Nchi hii ikikuwa ni sawa kabisa na kuvaa kitanzi shingoni mwake.
Pamoja na kujua fika kwamba nini kingemtokea, alikomaa mwanzo mpaka mwisho bila kusalimu amri.
Kwa kuthibitisha hayo, alikuwa mara nyingi akituambia " Nimetoa sadaka maisha yangu kwa ajili ya Watanzania"
Mungu aipokee roho ya JPM katika Nuru ya ufalme wake. Amina.
Amina.Na mwanga wa milele umwangazie
Alikuwa muigizaji mzuri, na hadhira yake majitu mapumbavu na mazezetaJOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, hakuna Mzalendo hata mmoja atakayekuja kumsahau.
Upekee wa JPM ni pale alipojua kabisa kwamba, Kiongozi yeyote wa Afrika kujaribu kutetea Rasilimali za Nchi yake ni sawa kabisa na kuvaa kitanzi shingoni mwake.
Hivyo, JPM kwa kutetea na kulinda rasilimali za Nchi hii ikikuwa ni sawa kabisa na kuvaa kitanzi shingoni mwake.
Pamoja na kujua fika kwamba nini kingemtokea, alikomaa mwanzo mpaka mwisho bila kusalimu amri.
Kwa kuthibitisha hayo, alikuwa mara nyingi akituambia " Nimetoa sadaka maisha yangu kwa ajili ya Watanzania"
Mungu aipokee roho ya JPM katika Nuru ya ufalme wake. Amina.