Inaonekana bado akili yako nyembamba.Mnaangaika na jitu mfu!
Kiongozi huwa hafi bila kuacha kumbukumbu, ndo maana kila mwaka huwa kunakuwa na siku ya kumbukumbu yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana bado akili yako nyembamba.Mnaangaika na jitu mfu!
Kabla yake, kipindi chake na baada ya yeye kuondoka kuna tofauti kubwa sana! Wengine mpaka ganzi imeisha ndio tumeanza kusikia maumivu[emoji24]National hero ni Hamza pekeee yake aliyesimamia kidete kupinga unyanyasaji.
Kumbukumbu ya kupora watu na kuwabambikia makesi na roho mbaya iliyopitiliza.Inaonekana bado akili yako nyembamba.
Kiongozi huwa hafi bila kuacha kumbukumbu, ndo maana kila mwaka huwa kunakuwa na siku ya kumbukumbu yao.
Hawezi kuwa katili kama jangili,uwe unaelewa maneno ya Waswahili unaweza kutukanwa huku unafurahi.Unakumbuka yeye mwenyewe kwa kinywa chake alisema kuwa, viatu vya JPM havimtoshi kabisa?
Deal zako Sasa zimefunguka,mnapiga tu kama hakuna Serekali vile,utaacha kunenepa Mwana!!??[emoji23][emoji23]John Pombe kaniachia tatizo kubwa
SIKUJUA NI VIGUMU KIASI GANI KUPAMBANA NA UNENE....hata nisipokula nanenepa, juisi wiki nzima nanenepa kila nikukumbuka siko chini yake...mwili unaongezeka tu.
Dah: Sijui afufuke ili nikondeane kama mwanzo....unene unanipotezea shape yangu jaman
Huwezi amini yaani! Mpaka unasisimka kutaka kuendelea kujua na vingine umeviacha!Magufuli hakuwahi kusafiri nje ya Africa na wala hakupandisha gharama za maisha lakini alifanya yafuatayo.............[emoji116]
1. JPM anajenga Reli ya Mwendo kasi – SGR.
2. JPM anajenga Bwawa la Umeme – Nyerere HydroPower.
3. JPM amenunua Ndege 13 aina tofautitofauti.
4. JPM amejenga Ikulu kule Dodoma na yale Magorofa ya Wizara kule Mji wa Serikali Dodoma ( Mtumba) Magufuli City
5. JPM amehamisha Makao Makuu ya Serikali na ameijenga Dodoma imekuwa Jiji
6. JPM amejenga FlyOver Dar es Salaam pale Ubungo na TAZARA.
7. JPM amejenga daraja la Tanzanite pale Selander.
8. JPM ametengeneza huu Mfumo wa Kompyuta wa Malipo ya Serikali.
9. JPM alikuwa anaweka umeme hadi Vijijini (kwa Tsh. 27,000/= tu.)
10. JPM ameshawishi Bomba la Mafuta kutoka Uganda lipite Tanzania.
11. JPM anajenga daraja la Kingongo Ferry Busisi kule ziwa Victoria.
12. JPM amejenga Meli kubwa mbili mbili kila ziwa, yaani Ziwa Victoria 2, Ziwa Tanganyika 2 na Ziwa Nyasa 2.
13. JPM amejenga Hospital za Kanda kubwa nne… Dodoma, Mara, Mtwara, Geita na Songea
14. JPM amejenga Hospitali za Wilaya Zaidi ya 70
15. JPM amejenga Mradi Mkubwa wa Maji ya Victoria kule Tabora
16. JPM amejenga Mradi wa Maji Mkubwa Arusha
17. JPM amejenga Barabara ya Njia Nane Dar es Salaam hadi Kibaha
18. JPM alikuwa anajenga Mizani za Kisasa kabisa Kwenye Barabara zote kubwa
19. JPM amejenga Vituo vya Afya Zaidi ya 500
20. JPM amejenga na Kununua Rada 4 za AirPort
21. JPM amejenga Viwanja vya Ndege Mara, Iringa, Mbeya, Chato, Songea na Rukwa
22. JPM amejenga Masoko ya Madini kila Mikoa yenye migodi ya madini
23. JPM amejenga ukuta wa Mirerani na kuweka Camera za Ulinzi
24. JPM amejenga Bandari Kilwa, na kuzipanua Bandari Mtwara, Tanga na Dar es Salaam
25. JPM amejenga Masoko ya Kisasa zaidi, ya maana kama Dodoma, Morogoro, Dar es Salaam
26. JPM amejenga Bus Stand za Kisasa Zaidi mikoani kama Dodoma, Morogoro, Dar es Salaam
27. JPM amenunua Vifaa Tiba kama MRI, CT Scan, Vifaa vya Kufanyia Oparations za Moyo pale JKCI Wagonjwa wanatoka nchi jirani kuja kutibiwa.
"No body new Magufuli was coming,and no body new Magufuli was going, Magufuli himself new he had little time,he did everything like he was in a rush to go somewhere,thank you President John Magufuli"[emoji848][emoji22][emoji22][emoji24][emoji24]ndani ya miaka mitano na miezi kidogo aliyokaa ikulu,Rais Magufuli alifanya Mambo makubwa ambayo Marais wa nne kabla yake walishindwa kufanya,kama Rais wa Malawi alivyosema siku ya msiba wake,"No body new Magufuli was coming,and no body new Magufuli was going, Magufuli himself new he had little time,he did everything like he was in a rush to go somewhere,thank you President John Magufuli"
Hakika Mungu alitupa zawadi,na sasa zawadi hiyo ameichukua mfano wa Musa na wana wa israel kutoka misri.
Katika harakati za Musa kumtafuta Mungu arekebishe mambo,Aliinuka Haruni,raia wakamzidi nguvu akawatengenezea ndama sawasawa na matakwa yao(Wengi wape)
Tunamsubiria Yoshua aendelee na kazi,mengine yote ni kipindi cha mpito.Kanaani ni lazima tufike.
Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.Atakayekulaani na kukudhihaki atalaaniwa kabisa na atakayekutetea wazi wazi atabarikiwa hakika.
Ndio ujiulize! Alikuja kutufungua macho na kutufanya tujielewe kua tuna nguvu gani, kumbe tuna nguvu tofauti na tunavyo jifahamuAliuza nini hadi akapate pesa zote hizo na je kodi iliyotozwa toka kwa Watanzania ilifanya kazi gani?
Atakayekulaani na kukudhihaki atalaaniwa kabisa na atakayekutetea wazi wazi atabarikiwa hakika.
Okay pamoja naye DAIMAAtakayekulaani na kukudhihaki atalaaniwa kabisa na atakayekutetea wazi wazi atabarikiwa hakika.
Kwani kumsema muuaji si jambo jema? Shetani tunamsema kila siku. Na huyu wakala wake atasemwa kila siku kwa maovu yake.mtu akivaa suti akaja kwenye tv akaanza kumsema makufuli huyo mtu huwa anaonekana yupo uchi ila yeye hajijui, kiongozi mwenye heshima akikosa ajenda akaanza kumsema makufuli huwa anaonekana kama mbeba magunia. chadema na vyama vya upinzani tangu mlipo ruhusiwa na mama kufanya mikutano ya hadhara mmeona sifa kumpa zawadi ya kumsema makufuli kila mnapoalikwa kwenye mahojiano kwenye media zote hamtaki kuongelea vyama vyenu vitaifanyia nini tanzania mmekaa kumsema jpm mwanzo wa kipindi mpaka mwisho sasa nawaambieni majukwaa yenu baada ya muda mtakosa watu watabaki manyumbu kama nyinyi na huyo nabii wenu lisu ndio anakuja yeye hana jipya ataanza kumsema jpm mwanzo mwisho utafikiri aliwachukulia wake zenu
Mimi jkinishauri, ndiyo umeharibu. Sishauriwi, mimi ni jiwe.1. "Hawa wanaoropoka ropoka huko bungeni wafukuze watoke huko na wakija huku nje 'I will deal' with them...
Kuna laana zingine mtu anajilaani mwenyewe!Atakayekulaani na kukudhihaki atalaaniwa kabisa na atakayekutetea wazi wazi atabarikiwa hakika.
Alikuwa mpiga dili tu,alianzisha miradi mingi kwa gharama za juu apate kuiba.Ndio ujiulize! Alikuja kutufungua macho na kutufanya tujielewe kua tuna nguvu gani, kumbe tuna nguvu tofauti na tunavyo jifahamu
Nafikiri wewe ndio ulitakiwa ulirax kwa kupita kimyakimyaHivi kwanini mnalazimisha sana huu utukufu wakuu?
Uliwahi kuona mahali watu wanashupaa kumpigia debe Nyerere...
Unam-beep God, unataka afunge kitabu chako ndio ujue kinafungwaga. Hiyo kumbukumbu unayoisema wewe, ni historia ndio iliobaki. Kile chenyewe ni bye bye hakuna kurasa mpya zitakazojitokezaMkuu, kitabu huwa hakifungwi, ndo maana huwa kuna tarehe kila mwaka kuwakumbuka Viongozi.
Mfano, tarehe 14, October nk.