Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hali ilivyo, si mkulima wala mfanya kazi mwenye ndoto ya kuondokana na umasikini, isipokuwa ni ule ubishi tu usiosaidia chochote, hasa wafanya kazi wanaubishi usiowasaidia hata wao,
Lakini kwa hali ya sasa, baadhi ya wafanya kazi wengi, wamejaa madeni na hawajui watayalipa lini na kwa kutumia nini! Wamejaa madeni ili tu waweze kukidhi maisha yao ya sasa na siyo ya badaye! Je baadaye yao ni nini? Ni umasikini tu uliokosa njia ya kuondokana nao
Ufutwaji wa tozo na kodi zisizo na umhimu na zilizokuwa kandamizi kwa maendeleo hasa kwa walala hoi, ni moja ya mpango wa serikali ya JPM kuwaondoa wananchi wengi kwenye umasikini wao!
Udhibiti wa bei bidhaa muhimu, ni mwendelezo wa kumrahisishia mwananchi aondokane na umasikini.
Utoaji wa huduma bora kwenye Taasisi za Serikali, ushindani wa kibiashara na kuruhusu kila mwananchi afanye kazi aitajayo na mahali popote bila kubughudhiwa, ilikuwa ni njia bora kumleta mwananchi mlala hoi kwenye unafuu wa maisha!
Kuwaacha huru wamachinga, wa mama ntilie wafanye biashara popote, hii ilikuwa pia ni njia na mpango mzuri wa kuwafanya watanzania wengi wajikomboe na umasikini.
Kufuta kodi kwa wakulima wadogo wadogo na kodi ya mazao yao, wafugaji, bodaboda kufutiwa faini zilizokuwa ni kero na ni wizi kwao n.k, bado hii iliwafanya wengi wawe na ndoto za kuondokana na umasikini.
Kwa sasa hata haieleweki ni nani tena mwenye uwezo wa kujikomboa na umasikini hasa wananchi wa kawaida.
Wanakamliwa hata kile kidogo cha kwao. Kwa hali hii, Kifo cha Magufuli kimefanya jamii kubwa kukata tamaa na kuondokana na ndoto ya kuondokana na umasikini wao!
Bidhaa bei ghali, wamama ntilie wametupwa kule, wamachinga hawatakiwi kuonekana mijini! Bodaboda kadhalika!
Faza katafute mishemishe upate ugali wako hakuna serikali itakayo kuondolea umasikini.Kwa hali ilivyo, si mkulima wala mfanya kazi mwenye ndoto ya kuondokana na umasikini, isipokuwa ni ule ubishi tu usiosaidia chochote, hasa wafanya kazi wanaubishi usiowasaidia hata wao,
Lakini kwa hali ya sasa, baadhi ya wafanya kazi wengi, wamejaa madeni na hawajui watayalipa lini na kwa kutumia nini! Wamejaa madeni ili tu waweze kukidhi maisha yao ya sasa na siyo ya badaye! Je baadaye yao ni nini? Ni umasikini tu uliokosa njia ya kuondokana nao
Ufutwaji wa tozo na kodi zisizo na umhimu na zilizokuwa kandamizi kwa maendeleo hasa kwa walala hoi, ni moja ya mpango wa serikali ya JPM kuwaondoa wananchi wengi kwenye umasikini wao!
Udhibiti wa bei bidhaa muhimu, ni mwendelezo wa kumrahisishia mwananchi aondokane na umasikini.
Utoaji wa huduma bora kwenye Taasisi za Serikali, ushindani wa kibiashara na kuruhusu kila mwananchi afanye kazi aitajayo na mahali popote bila kubughudhiwa, ilikuwa ni njia bora kumleta mwananchi mlala hoi kwenye unafuu wa maisha!
Kuwaacha huru wamachinga, wa mama ntilie wafanye biashara popote, hii ilikuwa pia ni njia na mpango mzuri wa kuwafanya watanzania wengi wajikomboe na umasikini.
Kufuta kodi kwa wakulima wadogo wadogo na kodi ya mazao yao, wafugaji, bodaboda kufutiwa faini zilizokuwa ni kero na ni wizi kwao n.k, bado hii iliwafanya wengi wawe na ndoto za kuondokana na umasikini.
Kwa sasa hata haieleweki ni nani tena mwenye uwezo wa kujikomboa na umasikini hasa wananchi wa kawaida.
Wanakamliwa hata kile kidogo cha kwao. Kwa hali hii, Kifo cha Magufuli kimefanya jamii kubwa kukata tamaa na kuondokana na ndoto ya kuondokana na umasikini wao!
Bidhaa bei ghali, wamama ntilie wametupwa kule, wamachinga hawatakiwi kuonekana mijini! Bodaboda kadhalika!
Wakati wake, tsh 100.000/ ilitosha kuanzishia biashara, Leo utafanyia niniHuyo jamaa unayemtetea kazima ndoto za vijana wengi sana Tanzania kuliko hata unavyofikiri , hakika kifo chake kimerudisha matumaini kwa vijana wengi wa nchi hiii najua hutokubaliana na mimi lakin ndyo ukweli huo.
Sawa mkuu, niko napambana ila ndo hivyoFaza katafute mishemishe upate ugali wako hakuna serikali itakayo kuondolea umasikini.
Hivi hiyo corona ili muacha salama?Mnamo mwishoni mwa mwaka 2019 Kulitokea janga la Corona.
Janga hili amabalo liliigubika Dunia nzima na kufanya Kila Mmoja kwuwa kwenye njiapanda bila kujua afanye nini.
Dunia iliamua kuacha shughuli zote za kibinadamu na kujifungia ndani.
Dunia iliamua kutelekeza uchumi wake na kujitenda.
So kitambo sana na naamini wengi wetu humu tulikua na umri wa kutambika kilichokua kinatokea Duniani. Hivyo sote ni mashahidi na ushuhuda tunapaswa kusema wazi.
Hii ilikua ni Vita kuu ya Dunia, na Sisi kama Taifa hii ilikua vita inayo TUHUSU. Hii haikua vita ya Urusi na Ukraine ambayo haituhusu.
Kidume Mmoja MWENYE akili na uthubutu. Mwanaume wa kweli mzalendo wa juu zaidi.
Alisimama kinyume na mwendo wa Dunia na kuamua kutuvusha pahala ambapo Dunia ilishindwa.
Leo tunatamba kuwa na Akiba ya pesa za kigeni.
Kwa kazi nzuri ya jarsiri muongoza Taifa, Leo tunaweza hata kuwananga majirani.
Hii haimaanishi kuwa sisi yunayo maajabu zaidi ya wao.
Ila tukubaliane tu kuwa haya ni matokeo ya Ushujaaa wa shujaaa wa mashujaa.
Haya hajakuja tu kama ndoto Bali ni Ushindi wa Vita vyetu.
Magufuli alituachia uchumi imara, mfumko wa Bei aliudhibiti ingawa Kwa Sasa tumeanguka
R.I.P JPM Simba wa Vita
Nchi ya wapumbavu lazima iibiwe, sawa?Alifanya nini kupunguza umasikini? Hakuna, zaidi ya kuiba Hela na kuficha china
Alikuwa mbwamwitu aliyejivika ngozi ya kondooKwa hali ilivyo, si mkulima wala mfanya kazi mwenye ndoto ya kuondokana na umasikini, isipokuwa ni ule ubishi tu usiosaidia chochote, hasa wafanya kazi wanaubishi usiowasaidia hata wao,
Lakini kwa hali ya sasa, baadhi ya wafanya kazi wengi, wamejaa madeni na hawajui watayalipa lini na kwa kutumia nini! Wamejaa madeni ili tu waweze kukidhi maisha yao ya sasa na siyo ya badaye! Je baadaye yao ni nini? Ni umasikini tu uliokosa njia ya kuondokana nao
Ufutwaji wa tozo na kodi zisizo na umhimu na zilizokuwa kandamizi kwa maendeleo hasa kwa walala hoi, ni moja ya mpango wa serikali ya JPM kuwaondoa wananchi wengi kwenye umasikini wao!
Udhibiti wa bei bidhaa muhimu, ni mwendelezo wa kumrahisishia mwananchi aondokane na umasikini.
Utoaji wa huduma bora kwenye Taasisi za Serikali, ushindani wa kibiashara na kuruhusu kila mwananchi afanye kazi aitajayo na mahali popote bila kubughudhiwa, ilikuwa ni njia bora kumleta mwananchi mlala hoi kwenye unafuu wa maisha!
Kuwaacha huru wamachinga, wa mama ntilie wafanye biashara popote, hii ilikuwa pia ni njia na mpango mzuri wa kuwafanya watanzania wengi wajikomboe na umasikini.
Kufuta kodi kwa wakulima wadogo wadogo na kodi ya mazao yao, wafugaji, bodaboda kufutiwa faini zilizokuwa ni kero na ni wizi kwao n.k, bado hii iliwafanya wengi wawe na ndoto za kuondokana na umasikini.
Kwa sasa hata haieleweki ni nani tena mwenye uwezo wa kujikomboa na umasikini hasa wananchi wa kawaida.
Wanakamliwa hata kile kidogo cha kwao. Kwa hali hii, Kifo cha Magufuli kimefanya jamii kubwa kukata tamaa na kuondokana na ndoto ya kuondokana na umasikini wao!
Bidhaa bei ghali, wamama ntilie wametupwa kule, wamachinga hawatakiwi kuonekana mijini! Bodaboda kadhalika!
Nafurahia hili kwa sababu halina mwenyewe! Wewe na yeyote yule kwa wakati wake ataondoka!Kufa umfuate
Nitakufa kifo kizuri bila kuumiza mtu yoyoteNafurahia hili kwa sababu halina mwenyewe! Wewe na yeyote yule kwa wakati wake ataondoka!
Ila ni vyema kufahamu vema na kuwa na uhakika wa huko uendako baada ya maisha haya ya udanganyifu
Hizo hela mnazosema kaficha China si mshazijua, sasa kwanini hamuendi kuzichukua?Alifanya nini kupunguza umasikini? Hakuna, zaidi ya kuiba Hela na kuficha china
Mnaendelea kuwa mafukara sababu ndoto zenu mmezijenga kwa watu, mbaya zaidi ndoto zako za mafanikio unazijengaje kwa mwanasiasa?Kwa hali ilivyo, si mkulima wala mfanya kazi mwenye ndoto ya kuondokana na umasikini, isipokuwa ni ule ubishi tu usiosaidia chochote, hasa wafanya kazi wanaubishi usiowasaidia hata wao,
Lakini kwa hali ya sasa, baadhi ya wafanya kazi wengi, wamejaa madeni na hawajui watayalipa lini na kwa kutumia nini! Wamejaa madeni ili tu waweze kukidhi maisha yao ya sasa na siyo ya badaye! Je baadaye yao ni nini? Ni umasikini tu uliokosa njia ya kuondokana nao
Ufutwaji wa tozo na kodi zisizo na umhimu na zilizokuwa kandamizi kwa maendeleo hasa kwa walala hoi, ni moja ya mpango wa serikali ya JPM kuwaondoa wananchi wengi kwenye umasikini wao!
Udhibiti wa bei bidhaa muhimu, ni mwendelezo wa kumrahisishia mwananchi aondokane na umasikini.
Utoaji wa huduma bora kwenye Taasisi za Serikali, ushindani wa kibiashara na kuruhusu kila mwananchi afanye kazi aitajayo na mahali popote bila kubughudhiwa, ilikuwa ni njia bora kumleta mwananchi mlala hoi kwenye unafuu wa maisha!
Kuwaacha huru wamachinga, wa mama ntilie wafanye biashara popote, hii ilikuwa pia ni njia na mpango mzuri wa kuwafanya watanzania wengi wajikomboe na umasikini.
Kufuta kodi kwa wakulima wadogo wadogo na kodi ya mazao yao, wafugaji, bodaboda kufutiwa faini zilizokuwa ni kero na ni wizi kwao n.k, bado hii iliwafanya wengi wawe na ndoto za kuondokana na umasikini.
Kwa sasa hata haieleweki ni nani tena mwenye uwezo wa kujikomboa na umasikini hasa wananchi wa kawaida.
Wanakamliwa hata kile kidogo cha kwao. Kwa hali hii, Kifo cha Magufuli kimefanya jamii kubwa kukata tamaa na kuondokana na ndoto ya kuondokana na umasikini wao!
Bidhaa bei ghali, wamama ntilie wametupwa kule, wamachinga hawatakiwi kuonekana mijini! Bodaboda kadhalika!
Tutazichukua, lakini lazima tumkaange wananchi wamjue alivyokuwa, na tunamkaanga kwa mafuta yake.Hizo hela mnazosema kaficha China si mshazijua, sasa kwanini hamuendi kuzichukua?
Nitakufa kifo kizuri bila kuumiza mtu yoyote
Biashara gani mkuu hiyo 100000? Hata sasa 50,000 inatosha kuanzisha biashara lakini biashara gani ndio hoja.Wakati wake, tsh 100.000/ ilitosha kuanzishia biashara, Leo utafanyia nini