Job ndugai alivyo kiroporopo

Anakwambia Magufuli atake au hasitake lazima aongezewe muda wa kuwalimisha wananchi kwa meno.
 

Kufilisika ktk utawala wake
 
"Hands on manager" aliyefuatilia ahadi zake kwa watendaji wake. Utendaji huu ndio umesababisha kuwa karibu na wananchi wake. Uzembe kazini ulipungua sana kipindi chake.
 
1.Chato International Airport
2.Chato National Park
3.Trafic light Chato
4.3 star hotel Chato (TANAPA)
5.Bohari ya kanda madawa Chato
6.Hospital ya rufaa Chato
7.Stadium (proposa)
8.CRDB Chato
hiyo ni njia moja wapo ya maendeleo ya nchi, vip tukipata tena mwingine akajenga Kama hivi sehemu mbalimbali nchini
 
mama yako alishaenda jehanamu?
 
Mama yako alishaenda jehanamu?
 
Kila nionapo kifaranga cha kuku, huwa na imagine kama vifaranga viliwekwa jehanamu kwenye tanuru la moto je sisi binadamu tutapelekwa wapi


Ni mtazamo tu..
 
Kwa kumuenzi jemedari wetu ni muhimu tukiaanzisha tuzo ya uwajibikaji na ufuatiliaji ya Mh .Dr John Pombe Magufuli ili tulinde heshima aliyotuleta Magufuli.
 
Kwa kumuenzi jemedari wetu ni muhimu tuiaanzisha tuzo ya uwajibikaji na ufuatiliaji ya Mh .Dr John Pombe Magufuli ili tulinde heshima aliyotuleta Magufuli.
Naunga mkono hoja, tumpe na tuzo kwa kuanzisha kundi la watu wasiojulikana walioua watu na kuwaweka kwenye viroba, waliompiga risasi TAL, waliomuua Ben Saanane, Alfonsi Mawazo, Azori Gwanda et la. Kilangila.
 
Kwa kumuenzi jemedari wetu ni muhimu tuiaanzisha tuzo ya uwajibikaji na ufuatiliaji ya Mh .Dr John Pombe Magufuli ili tulinde heshima aliyotuleta Magufuli.
Pigwa kishenzi, acha uyu aitwe Mungu@. Hakuna heshima yoyote, tunataka ku document atrocities/devastation committed for the past 5 yrs to have excellent record
 
Naunga mkono hoja, tumpe na tuzo kwa kuanzisha kundi la watu wasiojulikana walioua watu na kuwaweka kwenye viroba, waliompiga risasi TAL, waliomuua Ben Saanane, Alfonsi Mawazo, Azori Gwanda et la. Kilangila.
Hahahahahaa jamani kuna watu ni maexpert wa kukwaza na kukera watu hahahaa nimelipukwa kicheko balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…