Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Mimi Nangu nyau nilikataa unafiki duniani hapa.
Akiwa madaraka kwa miaka mitano tu, JPM amevunja records tangu nchi hii ipate uhuru kwa kufanya meeengi kwa wakati mfupi sana.
Kuanzisha bila woga ujenzi wa Hydropower plant ya zaidi 2000MW.
Kuanzisha ujenzi wa Reli ya SGR zaidi ya 1000km.
Kujenga Daraja pale Mwanza Busisi.
Kuanzisha ujenzi wa njia sita Dar - Kibaha.
Kuondoa woote wenye vyeti feki na wafanyakazi hewa serikalini.
Kuja na idea ya elimu bure msingi mpaka sekondari (Wazo tu kwangu linatosha kabisa).
Kulifufua shirika la ndege lililokufa kabisa na watu kula hela za bure za walipa kodi.
Kuanza kulifufua shirika la reli TRC kwa kulipa nguvu baada ya kuanza kufufua miundo mbinu yake ya reli.
Kuondo janja janja za wafanyabiashara wakwepa kodi na wezi waliozoea kuifanya nchi shamba la bibi.
Kuwatia adabu wafanyakazi wazembe wazembe wa serikalini na wezi.
Kurudisha adabu kwa raia na wanasiasa wajinga wajinga.
Kuwafanya watu kuiogopa serikali na rushwa.
nk, nk, nk, nk kila mwenye akili timamu ameona na anaendelea kuona.
HAKUNA MAENDELEO YASIYO NA MAUMIVU, MAENDELEO HAYAJI KWA KURIDHISHA KILA MTU NA KUCHEKA CHEKA KIFALA FALA NA WAPUMBAVU. MAENDELEO YANATAKA WATU KUFANYA KAZI KWA BIDII NA VIONGOZI WENYE MAAMUZI MAGUMU.
TANZANIA ILI ITOKE HAPA INAHITAJI VIONGOZI WAGUMU WENYE MISIMAMO MIKALI, ROHO MBAYA, UKATILI NA WASIO WAOGA.
PUMZIKA KWA AMANI JPM, MWENYEZI MUNGU AKUSAMEHE DHAMBI ZAKO, AKUONDOLEE ADHABU KABURI NA KUKUFANYIA KILA LILILO JEPESI HUKO ULIKO.
Akiwa madaraka kwa miaka mitano tu, JPM amevunja records tangu nchi hii ipate uhuru kwa kufanya meeengi kwa wakati mfupi sana.
Kuanzisha bila woga ujenzi wa Hydropower plant ya zaidi 2000MW.
Kuanzisha ujenzi wa Reli ya SGR zaidi ya 1000km.
Kujenga Daraja pale Mwanza Busisi.
Kuanzisha ujenzi wa njia sita Dar - Kibaha.
Kuondoa woote wenye vyeti feki na wafanyakazi hewa serikalini.
Kuja na idea ya elimu bure msingi mpaka sekondari (Wazo tu kwangu linatosha kabisa).
Kulifufua shirika la ndege lililokufa kabisa na watu kula hela za bure za walipa kodi.
Kuanza kulifufua shirika la reli TRC kwa kulipa nguvu baada ya kuanza kufufua miundo mbinu yake ya reli.
Kuondo janja janja za wafanyabiashara wakwepa kodi na wezi waliozoea kuifanya nchi shamba la bibi.
Kuwatia adabu wafanyakazi wazembe wazembe wa serikalini na wezi.
Kurudisha adabu kwa raia na wanasiasa wajinga wajinga.
Kuwafanya watu kuiogopa serikali na rushwa.
nk, nk, nk, nk kila mwenye akili timamu ameona na anaendelea kuona.
HAKUNA MAENDELEO YASIYO NA MAUMIVU, MAENDELEO HAYAJI KWA KURIDHISHA KILA MTU NA KUCHEKA CHEKA KIFALA FALA NA WAPUMBAVU. MAENDELEO YANATAKA WATU KUFANYA KAZI KWA BIDII NA VIONGOZI WENYE MAAMUZI MAGUMU.
TANZANIA ILI ITOKE HAPA INAHITAJI VIONGOZI WAGUMU WENYE MISIMAMO MIKALI, ROHO MBAYA, UKATILI NA WASIO WAOGA.
PUMZIKA KWA AMANI JPM, MWENYEZI MUNGU AKUSAMEHE DHAMBI ZAKO, AKUONDOLEE ADHABU KABURI NA KUKUFANYIA KILA LILILO JEPESI HUKO ULIKO.