R.I.P CHUMA JPM, tangu aondoke migao ya maji na umeme kila siku, ujinga ujinga kazini kila mahali!ovyo kabisaa!Na GENTAMYCINE ninavyojua Maendeleo ya sasa ambayo Wengine ( Wademaji ) wanajivunia nayo huku Wakikudhalilisha na Kukupenda pamoja na Kukusifia Kinafiki ni yako ( yalitokana na Wewe ulipokuwa ) na hawa Wengine ( Wademaji ) Kazi yao tutaanza Kuipima kuanzia mwaka 2025 kwa Kudra zake Mwenyezi Mungu ( Allah )
KWANI UTAISHI MILELE UTAKUFA SISI SOTE SAFARI YETU NI MOJA ACHA KUJIONA WEWE UTAISHI MILELE.AU NYIE NDIO WALE WATU WAZURI MSIOKUFA?Yuko anafanya maendeleo mengne huko ya kuongoza malaika waliofanana na wachina, zumarid akienda tena mbingun atakuta maendeleo zaida ya yale magorofa ya dhahabu xaxa atakuta ya tanzanite kabsa chini ya kiongozi wa malaika mwamba shujaa mwenyew JPM, mkuu kama vip tujiue tu tukafaid uongozi wake huko mbinguni.
Kwa hiyo wewe apo ulipo unaakili🤣🤣🤣Viatu vyenyewe vibovu, vibayaa. Wasio na akili ndio walimuelewa kichaa mwenzao. Sisi tunaendelea kushukuru utukufu mkuu.
Kama unauchungu kaijenge familia yakoHakuna taifa linaweza kuendelea kwa kucheka cheka na watu wenye mizaha mizaha, wajinga wajinga na wanaofikilia utani kila panapohitaji umakini na akili.
Ulaya na Marekani ili kuendelea wapunbavu na wajinga wajinga walikufa sana, kikabaki kizazi kilichojitoa kwa kufanya kazi kwa bidii na kuyafia mataifa yao.
AmenSiku kama ya leo miaka miwil iyopita MUNGU aliamua kuwafuta MACHOZI WATANZANIA baada ya MATESO ya miaka 7. Ukawa mwisho wa wasiojulikana, Kutekwa, kubambikiwa kesi, kufilisiwa na MAITI kukutwa kwenye VIROBA ufukweni. Mliopo sasa, tambueni Wenye NCHI ni WANANCHI. Na pia MUNGU yupo.View attachment 2554952
Katika kumuenzi Baba Dr Mheshimiwa Comrade John Pombe Magufuli PhD inafaa paanzishwe Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia. Ili legacy ibaki Kwa vizazi na vizazi
Kama ile aliyonayo SSH?
The guy was against science how can you say that science is what killed him he was fighting against science and he forgot you can not compete with science and science won hallelujahKatika kumuenzi Baba Dr Mheshimiwa Comrade John Pombe Magufuli PhD inafaa paanzishwe Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia. Ili legacy ibaki Kwa vizazi na vizazi
Jambo jemaKatika kumuenzi Baba Dr Mheshimiwa Comrade John Pombe Magufuli PhD inafaa paanzishwe Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia. Ili legacy ibaki Kwa vizazi na vizazi
najua nitakufa xaxa ya nini nianze kulilia wafu ambao hawafai hata kuwa mizimu maana utaleta majangaKWANI UTAISHI MILELE UTAKUFA SISI SOTE SAFARI YETU NI MOJA ACHA KUJIONA WEWE UTAISHI MILELE.AU NYIE NDIO WALE WATU WAZURI MSIOKUFA?
Kukomesha MGAO WA UMEME. Sasa hivi maji yakipunga na kuzidi mabwawani ni mgao tu kwenda mbele.View attachment 1734652
Picha: Hayati Rais Magufuli enzi uhai wake
This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.
Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti (Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.
Hakika tutammiss, kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo.
Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J. P. M (R. I. P).
1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.
2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje, kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).
3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu, S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.
4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.
5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.
6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.
7.
Itaendelea...
PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar