Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,285
- 2,636
Hivi ben saa nane huyu alikuwaga nani kwenye chama chenu,Mimi uwa nashangaa wabaki akina Mbowe,Lissu,Mnyika,lemma n.k alafu huyu beni ndo afariki tena mnasema aliuwawa akinanani walimua na kwanini,inamaa huyu jamaa alikuwa na influency kubwa kuliko hao wengine hapo juu?Kitatoa PhD feki.
R.I.P Ben Saanane
Kwa hiyo wewe ndio islaeli mtoa roho hadi unajipa mamlaka ya kumuita Kiongozi wa dini ya watu wanaomuheshimu kwamba unatamani afe hata leo je amekukosea nini?najua nitakufa xaxa ya nini nianze kulilia wafu ambao hawafai hata kuwa mizimu maana utaleta majanga
Ile maelezo yake yapo wazo co yule aliyejifanya kichwa kumbe nguchiro tu
Mzee wa kuunga mkono hoja, hivi huwa unamaanisha au unakuwa unakejeli?Naunga mkono hoja
P
🤣🤣🤣🤣🤣 Chuo cha sayansi Uganga, mazingaombwe na uchawiMagufuli alikuwa akiamini katika uganga zaidi
Landa chuo cha uganga wa kienyeji na tiba asili
Kukandamiza vyama vya upinzani wakati vipo kwa mujibu wa sheriaKukomesha MGAO WA UMEME. Sasa hivi maji yakipunga na kuzidi mabwawani ni mgao tu kwenda mbele.
Magufuli ni rais ambaye watz walimhitaji kwa miaka mingi sana. Ila mafisadi wa Ccm wakamzidi ujanja na kuamua kuumuua.Alafu ametawala awamu moja tu ambayo ni miaka 5, awamu ya pili baada ya kuapa ametawala roughly miezi 4 hajatawala miaka 7 labda umemaanisha na utawala wa mama maana ndio amefikisha 7 plus na ya JPM.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Mkuu ulisomaga shule au ilikupitia pembeni wakat unachunga mbuzi wa shemeji yako huko kijijin makutupora? wapi niliposema namuombea kiongoz wa dini afe?Kwa hiyo wewe ndio islaeli mtoa roho hadi unajipa mamlaka ya kumuita Kiongozi wa dini ya watu wanaomuheshimu kwamba unatamani afe hata leo je amekukosea nini?
Au kosa lake ni nini kwenye familia yenu
Vyama vingi vilivyopo Tanzania havina msaada wowote kwa taifa letu.Kukandamiza vyama vya upinzani wakati vipo kwa mujibu wa sheria
Hao wanyonge si uwatetee wewe? Mimi kesho ni kula bia tu na kufurahia uhuru wa miaka miwiliChadema amna Sera mpya nchi Ina shida kibao mnashindwa kuwatetea wanyonge kila siku mnamsema magufuli
Kesho ni kufanya sherehe tu, Mungu fundiJana 9t mida ya usiku nimepita pale daraja jipya la wami,yale mataa yanavyowaka usiku utapenda...aisee yule mzee hakuwa mbinafsi wala mchoyo kwa kuijali na kuipendezesha nchi na wananchi wake.
Rip John
Badala kutoa jibu kulingana na swali unaongea mambo ya kufikirikaMagufuli ndio rais baada ya mwalimu Nyerere alieifanyia hii nchi mambo makubwa kuliko kiongozi yoyote.
Na hapo kumbuka wapo maraisi wengi tu waliopita na walikuwa na mabaya yao lakini hakuna anayesema nenoKupitia uzi huu na comments zilizopo, nimejifunza kwamba tutumie vizuri madaraka tunayopewa na tutende wema katika uso huu wa dunia wakati tuko hai.
Ni jambo baya sana na lenye fedheha kwa binadamu kukumbukwa kwa mabaya akiwa amefariki, mazuri yako yanasahaulika HADI KUFIKIA KIWANGO CHA WATU KUTUMIA ULEVI ili kusherehekea kifo chako!!!.
Enyi wenye vyeo na mali jifunzeni kupitia Magufuli.
Mawazo ya kichawi unafurahia kifo Cha mwezakoHao wanyonge si uwatetee wewe? Mimi kesho ni kula bia tu na kufurahia uhuru wa miaka miwili