Nabii wa shetani
Magu Alikuwa Nabii wa Mungu,

Amekufa akiuambia ulimwengu mzima urudi Kumwamini na kumtegemea Mungu wa Kweli.

Misimamo yake ndo chanzo Cha kifo chake.

Baada ya kifo chake, Dunia nzima na miungu yake inaendelea kupigwa na kuzivunja pembeni zote za miungu ya Dunia nzima,

Amefungua lock ya ADHABU Kwa Dunia nzima Baada ya Dunia kumkataa Mungu.

Asante Mungu Kwa zawadi ya Magu.

Amen
 
Wewe ni mbuzi kweli,wakamataji walikuwa wasukuma? Unajua kuna watu wengine ni wajinga mpk mnapuitiliza,
 
Nitakumbuka maneno yake uasiyoendana na umri na wadhifa wake kama pale alipomwambia bwana mmoja abaki na mavi yake nyumbani na pale aliposema tanesco wayakojolee mabwawa ya kuzalisha umeme kuyajaza kama yana upungufu wa maji
 
Hasa wanyonge wa mikoa ya kusini aliwasaidia mno Kwa kuwapora fedha zao za korosho na kuwanyang'anya korosho zao Kwa kutumia magari ya jeshi halafu wabunge wao walipohoji wakaambiwa watapigwa wao na shangazi zao

Hzo korosho hyo miaka miwili umezisikia?? mkuu mbona kama huelewi hii nchi inaendaje
 
Nulipoanza kujitegemea niliwahi kudate na binti kwao ni washirikina na wachawi ila sikurogwa sababu maombi ya mama yangu mzazi yalizidi tunguli za kwao na yule binti.

Baada tu ya kubreakup na huyo binti akaanza kudate na kijana mmoja ninaemfahamu,yule kijana alijikuta anamhonga binti gari yeyeanapanda daladala,akamhonga laptop,akamlipia kodi,akachukua mkopo akamjengea nyumba wakati yeye hata kiwanja hana.

Nguvu ya mama kwa mtoto wake ni kubwa sana,ukiwa na mama mchawi au mwanamaombi hakuna wa kukugusa.

Mwalimu Nyerere alitegemea ulinzi wa nguvu ya mama yake,baada ya bi Christina Mugaya Burito Nyerere kufariki mwaka 1997 ,mwalimu hakumaliza miaka miwili,mshika mikoba hayupo utaishije.

Hayati Magufuli alikuwa na bond kali na mama yake,yule mama wa watu alipoanza kuugua tu baasi Magufuli hakakosa ulinzi wa kiroho mpaka mauti ,naam mauti.

Usidharau nguvu ya mama
 
Mh πŸ€”
 
Yaweza kuwa ni ndoto zako au imani ndani ya familia yako, πŸ€”
 
Corona ni hatari, na ile betri kwenye moyo server yake IPO ulaya, wakizima tu huku mtu anazimika.
 
Una mawazo ya kimaskini sana!
 
Ndumba πŸ”₯πŸ”₯
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…