Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Nabii wa shetani
Magu Alikuwa Nabii wa Mungu,

Amekufa akiuambia ulimwengu mzima urudi Kumwamini na kumtegemea Mungu wa Kweli.

Misimamo yake ndo chanzo Cha kifo chake.

Baada ya kifo chake, Dunia nzima na miungu yake inaendelea kupigwa na kuzivunja pembeni zote za miungu ya Dunia nzima,

Amefungua lock ya ADHABU Kwa Dunia nzima Baada ya Dunia kumkataa Mungu.

Asante Mungu Kwa zawadi ya Magu.

Amen
 
Mimi kwangu huyu mzee alikuwa 50%50%. Alikuwa mchapakazi mzur na mthubutu mzur ila kwenye uchumi 0. Hashauriki na alikuwa mbaguz hasa hili ndio lilimletea shida zaidi. Aliruhusu wezi kuibia watu kwa kisingizio cha uhujum uchumi hasa hela za maduka ya kubadilishia hela. Kama Mungu wake angemjalia kutokuwa mbaguz au huo wiz au angekuwa anashaurika angekuwa bonge la rais. Cntakaa nisahau cku moja natoa container la viatu mimi najiran yangu nae alikuwa anatoa the same container. Baada ya kumaliza kila kitu mzigo ilivyoruhusiwa tu ikakamatwa tena siijui hamkukadiriwa kihalali. Mi nikapigwa faini million 22 jamaa yeye jina lake la kisukuma akaulizwa we ni msukuma kasema ndio. Wakamwambia bahati yako wakampiga faini ya milion 2. Mind u mshikaji duka lake na langu ni pua na mdomo. The same product.na hiyo ndio sababu ya mimi kufungua duka lusaka na Lubumbashi. Ila yote na yote Mungu wake amsamehe makosa yake ampe pumziko la amani. Kwangu mimi kila kitu hutokea ni la kujifunza.
Wewe ni mbuzi kweli,wakamataji walikuwa wasukuma? Unajua kuna watu wengine ni wajinga mpk mnapuitiliza,
 
Nitakumbuka maneno yake uasiyoendana na umri na wadhifa wake kama pale alipomwambia bwana mmoja abaki na mavi yake nyumbani na pale aliposema tanesco wayakojolee mabwawa ya kuzalisha umeme kuyajaza kama yana upungufu wa maji
 
Hasa wanyonge wa mikoa ya kusini aliwasaidia mno Kwa kuwapora fedha zao za korosho na kuwanyang'anya korosho zao Kwa kutumia magari ya jeshi halafu wabunge wao walipohoji wakaambiwa watapigwa wao na shangazi zao

Hzo korosho hyo miaka miwili umezisikia?? mkuu mbona kama huelewi hii nchi inaendaje
 
Nulipoanza kujitegemea niliwahi kudate na binti kwao ni washirikina na wachawi ila sikurogwa sababu maombi ya mama yangu mzazi yalizidi tunguli za kwao na yule binti.

Baada tu ya kubreakup na huyo binti akaanza kudate na kijana mmoja ninaemfahamu,yule kijana alijikuta anamhonga binti gari yeyeanapanda daladala,akamhonga laptop,akamlipia kodi,akachukua mkopo akamjengea nyumba wakati yeye hata kiwanja hana.

Nguvu ya mama kwa mtoto wake ni kubwa sana,ukiwa na mama mchawi au mwanamaombi hakuna wa kukugusa.

Mwalimu Nyerere alitegemea ulinzi wa nguvu ya mama yake,baada ya bi Christina Mugaya Burito Nyerere kufariki mwaka 1997 ,mwalimu hakumaliza miaka miwili,mshika mikoba hayupo utaishije.

Hayati Magufuli alikuwa na bond kali na mama yake,yule mama wa watu alipoanza kuugua tu baasi Magufuli hakakosa ulinzi wa kiroho mpaka mauti ,naam mauti.

Usidharau nguvu ya mama
 
Nulipoanza kujitegemea niliwahi kudate na binti kwao ni washirikina nawachawi,ila sikurogwa sababu maombi ya mana yangu mzazi yalizidi tunguli za kwao ba yule binti.

Baada tu ya kubreakup na huyo binti akaanza kudate na kijana mmoja ninaemfahamu,yule kijana alijikuta anamhonga binti gari yeyeanapanfa daladala,akamhonga laptop,akamlipia kodi,akachukua mkopo akamjengea nyumba wakati yeye hata kiwanja hana.

Nguvu ya mama kwa mtoto wake ni kubwa sana,ukiwa na mama mchawi au mwanamaombi hakuna wa kukugusa.

Mwalimu Nyerere alitegemea ulinzi wa nguvu ya mama yake,baada ya bi Christina Mugaya Burito Nyerere kufariki mwaka 1997 ,mwalimu hakumaliza miaka miwili,mshika mikoba hayupo utaishije.

Hayati Magufuli alikuwa na bond kali na mama yake,yule mama wa watu alipoanza kuugua tu baasi Magufuli hakakosa ulinzi wa kiroho moaka mauti ,naam mauti.

Usidharau nguvu ya mamq
Mh 🤔
 
Nulipoanza kujitegemea niliwahi kudate na binti kwao ni washirikina nawachawi,ila sikurogwa sababu maombi ya mana yangu mzazi yalizidi tunguli za kwao ba yule binti.

Baada tu ya kubreakup na huyo binti akaanza kudate na kijana mmoja ninaemfahamu,yule kijana alijikuta anamhonga binti gari yeyeanapanfa daladala,akamhonga laptop,akamlipia kodi,akachukua mkopo akamjengea nyumba wakati yeye hata kiwanja hana.

Nguvu ya mama kwa mtoto wake ni kubwa sana,ukiwa na mama mchawi au mwanamaombi hakuna wa kukugusa.

Mwalimu Nyerere alitegemea ulinzi wa nguvu ya mama yake,baada ya bi Christina Mugaya Burito Nyerere kufariki mwaka 1997 ,mwalimu hakumaliza miaka miwili,mshika mikoba hayupo utaishije.

Hayati Magufuli alikuwa na bond kali na mama yake,yule mama wa watu alipoanza kuugua tu baasi Magufuli hakakosa ulinzi wa kiroho moaka mauti ,naam mauti.

Usidharau nguvu ya mamq
Yaweza kuwa ni ndoto zako au imani ndani ya familia yako, 🤔
 
Nulipoanza kujitegemea niliwahi kudate na binti kwao ni washirikina nawachawi,ila sikurogwa sababu maombi ya mana yangu mzazi yalizidi tunguli za kwao ba yule binti.

Baada tu ya kubreakup na huyo binti akaanza kudate na kijana mmoja ninaemfahamu,yule kijana alijikuta anamhonga binti gari yeyeanapanfa daladala,akamhonga laptop,akamlipia kodi,akachukua mkopo akamjengea nyumba wakati yeye hata kiwanja hana.

Nguvu ya mama kwa mtoto wake ni kubwa sana,ukiwa na mama mchawi au mwanamaombi hakuna wa kukugusa.

Mwalimu Nyerere alitegemea ulinzi wa nguvu ya mama yake,baada ya bi Christina Mugaya Burito Nyerere kufariki mwaka 1997 ,mwalimu hakumaliza miaka miwili,mshika mikoba hayupo utaishije.

Hayati Magufuli alikuwa na bond kali na mama yake,yule mama wa watu alipoanza kuugua tu baasi Magufuli hakakosa ulinzi wa kiroho moaka mauti ,naam mauti.

Usidharau nguvu ya mamq
Corona ni hatari, na ile betri kwenye moyo server yake IPO ulaya, wakizima tu huku mtu anazimika.
 
Nulipoanza kujitegemea niliwahi kudate na binti kwao ni washirikina nawachawi,ila sikurogwa sababu maombi ya mana yangu mzazi yalizidi tunguli za kwao ba yule binti.

Baada tu ya kubreakup na huyo binti akaanza kudate na kijana mmoja ninaemfahamu,yule kijana alijikuta anamhonga binti gari yeyeanapanfa daladala,akamhonga laptop,akamlipia kodi,akachukua mkopo akamjengea nyumba wakati yeye hata kiwanja hana.

Nguvu ya mama kwa mtoto wake ni kubwa sana,ukiwa na mama mchawi au mwanamaombi hakuna wa kukugusa.

Mwalimu Nyerere alitegemea ulinzi wa nguvu ya mama yake,baada ya bi Christina Mugaya Burito Nyerere kufariki mwaka 1997 ,mwalimu hakumaliza miaka miwili,mshika mikoba hayupo utaishije.

Hayati Magufuli alikuwa na bond kali na mama yake,yule mama wa watu alipoanza kuugua tu baasi Magufuli hakakosa ulinzi wa kiroho moaka mauti ,naam mauti.

Usidharau nguvu ya mamq
Una mawazo ya kimaskini sana!
 
Nulipoanza kujitegemea niliwahi kudate na binti kwao ni washirikina na wachawi ila sikurogwa sababu maombi ya mama yangu mzazi yalizidi tunguli za kwao na yule binti.

Baada tu ya kubreakup na huyo binti akaanza kudate na kijana mmoja ninaemfahamu,yule kijana alijikuta anamhonga binti gari yeyeanapanda daladala,akamhonga laptop,akamlipia kodi,akachukua mkopo akamjengea nyumba wakati yeye hata kiwanja hana.

Nguvu ya mama kwa mtoto wake ni kubwa sana,ukiwa na mama mchawi au mwanamaombi hakuna wa kukugusa.

Mwalimu Nyerere alitegemea ulinzi wa nguvu ya mama yake,baada ya bi Christina Mugaya Burito Nyerere kufariki mwaka 1997 ,mwalimu hakumaliza miaka miwili,mshika mikoba hayupo utaishije.

Hayati Magufuli alikuwa na bond kali na mama yake,yule mama wa watu alipoanza kuugua tu baasi Magufuli hakakosa ulinzi wa kiroho mpaka mauti ,naam mauti.

Usidharau nguvu ya mama
Ndumba 🔥🔥
 
Back
Top Bottom