Kazee kalikuwa kajinga sana kale!
 
Mleta mada, ninachokumbuka kabla Magufuli haijaingia madarakani ni kwamba hayo yote uliyoyaorodhesha yalikuwa yakipigiwa kelele sana na Chadema na vyama vingine vya upinzani

Wakasema Serikali ya JK inadili na vidagaa ktk ishu ya rushwa, ufisadi na uhujumu uchumi ila mapapa wanaachwa wanadunda mtaani

Ila Magu alipoingia Ikulu na kuanza kuchukua hatua, Chadema wakasema jamaa anaiga yaliyo katika Ilani yetu

Alipoanza kudili na mapapa kama kina Habinder Seth na wengne ktk rushwa, ufisadi na uhujumu uchumi Chadema wakasema Jpm anabambikia watu kesi na kandamiza haki za watu

Kwa kifupi, kuna baadhi ya vyama vya siasa na wananchi ni kama vinyonga au mbayuwayu
 
mbona yeye alikuw na vyeo vingi Rais ,Mwkt wa Ccm ,Amir jeshi mkuu na mwekiti wa EAC. kwann asingeachia kimoja hapo.
 
Chato siyo mji wa wasukuma
............Vyovyote ilivyo cha kujiuliza alifikiria nini kwenda kujenga international airport sehemu ambayo hata miaka 300 ijayo mbele hakuna uhakika kwamba ingehitajika uwepo wake pale?
 
Kutuletea watu wasiojulikana
 
Kuiba Pesa za watu napo kumechangia kumpoteza.Unakula vipi pesa ya mtu pesa zingine za majini mtu kaingia mkataba na shetani pesa zimetoka kwenye benk za majini,wanakushtakia direct kwa shetani umemzulumu pesa zake hapa unategemea nn utaponea wapi.Umepora pesa za mikataba.
 
Nitamkumbuka kwa:
1. Wasiojulikana
2. Ukabila
3. Kutoheshimu katiba
4. Kuwatesa wakosoaji wake na hata kuwapoteza au kuwaua.
5. Kujimilikisha mamlaka yote ya nchi. Kila kitu ni mpaka aseme yeye.
6. Unyama kwa majirani mfano kuchoma vifaranga vya Kenya na kuuza mifugo yao.
7. Ushamba wa kutozingatia weledi katika teuzi zake
8. Kujenga nchi ie barabara, madaraja, ununuzi wa ndege japo zimeleta hasara kubwa kwa Taifa, upanuzi wa bandari, viwanja vya ndege, SGR, Stiglers Gorge nk
9. Upendeleo wa Chato.
10. Kuwachukulia wanawake kama watu hafifu, vyombo vya starehe (rejea kauli zake kuhusu wanawake)
11. Kutojali maumivu ya anaowaongoza (kuongoza kwa kuburuza watu)
12. Unafiki mfano alikuwa anasema maendeleo hayana Vyama wakati mkichagua upinzani anawatisha hadharani kuwa hataleta mradi wowote wa maendeleo.
13. Hofu ya kupinduliwa.
14. Double standards kwa wateule wake. Wengine wakikosea kidogo tu wanatumbuliwa, wakikosea wapendwa wake anawatetea.
15. Kuwajengea ujasiri Wananchi kipindi cha Korona
16. Misimamo isiyoyumba hata kama ni ya kijinga.
17. Kufilisi wafanyabiashara.
18. Kutumia dola kuvuruga uchaguzi mkuu wa 2020 na ule wa serikali za mitaa 2019.
19. Kuiba rambirambi na michango ya maafa.
20. Kutunga sheria kandamizi zinazokinzana na katiba ya nchi.
21. Kulinda raslimali za nchi.
 

Angalia list ya mabaya ya magufuli uliyoolozesha na angalia likes ulizopata
 
Angalia list ya mabaya ya magufuli uliyoolozesha na angalia likes ulizopata
Magufuli alikuwa wa HOVYO tu wala usihesabu likes za wasomaji. Mungu ameipenda nchi yetu akasitisha maisha yake kwa kuwa alitaka kutugeuza Burundi.
Huyu Pimbi tuliyemfukia Chato amewajaza propaganda za kijinga za upande mmoja na wapumbavu mumeingia kingi.
 
Sawa kabudi
 
Mchaka mchaka wa maendeleo aliyokimbiza within 5yrs more than 50yrs
Kufanya nchi kuweza kujiamulia mambo yake yenyewe huu Ndio uhuru wakweli against Neo Colonialism
Akiongea dunia nzima inamjadili
Hotuba zake anavojua kuji connect na hadhira yake popote pale daah
Ukitoa mapungufu yake the guy was iron man !
Maamuzi magumu !nk
Rip legend!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…