Kujiamulia mambo yapi wakati misaada ilikua pale pale?[emoji1787]
 
Ya kutopandisha watumishi mishahara na madaraja..muda wote wa utumishi wake,.japo alikuwaga mtumishi
 

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M
Mimi nitamkumbuka kama laana kubwa tuliopata watz haswa katika swala lauzulumati wa sisi wavuvi kata yakalya pamoja nakuwadhana zetu kuwa halali pamoja nakuwa naleseni jamaa alihitaji pesa za ziada ilimali yako aiache nakama haunapesa wanateketeza ulicho nacho na kuteka vingine mungu amlani kafiri yule kwakweli tamaa zake zimenifanya niangaike kupata mlo angalau mmoja kwasiku mungu amripue kwa moto mkali sana aamin
 
Dr Magufuli lanced the boil in the Government. I know our Senior Public Servants chafe at the use of such language. But they – and we – know the Executive has traditionally been aloof and marked by impropriety and illegality.

It’s that boil that Dr Magufuli will be remembered for lancing. But as I remarked to him recently, one or two things can happen when you lance a boil – you can either cure or kill the patient. The septic shock can be fatal. The body can also be cleansed and nursed to health. He brought service delivery closer to the people in the remotest reaches of the republic.He revolutionised the way the public service work, and brought technology and empiricism to tame corruption, incompetence, and laziness.

Finally, I believe there will never be another JPM. But whoever succeeds him is bound by the energies that he unleashed. Those who believe that we can go back to the pre-John Pombe Joseph Magufuli Executive are sadly mistaken.

You can’t un-ring a bell that’s been rang. The concept doesn’t exist in science. The poor soul who succeeds Dr Magufuli shouldn’t try to fill his shoes. Those are too large. She needs to cure the patient she think is sick while it is otherwise. I have never seen DOMO-CRACY on any dinner table.

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
 
Yaah huo wako ila mwamba alikuwa unique upande wa misimamo yake,wewe huona sikulaumu ila mimi nimeona kwenye madini,Corona,sekta ya ujenzi,Afya ndio uzuri wa demokrasia kila mmoja abaki na anacho kiamini na kuendelea KUKUBALI KUTO KUKUBALIANA.
Alidharau Corona ikamchukua
 
Habari za Asubuh waungwana..!
Leo tarehe Jun 25 ni siku ya 100 tangia Hayati Mh John Pombe Magufuli afariki Dunia, Kama Watanzania tuna nini chakukivunia kwa JPM?

Binafsi namuenzi Dr. John Magufuli kwa kufanya kazi nikiamini jitihada zangu ndiyo zitaniletea maendeleo yangu.

Pumzika Salama Magufuli
Nitakukumbuka Daima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatuna cha kujivunia zaidi ya kumwombea Kwa MUNGU amsamehe kwa Mengi Mabaya aliyotutendea na Machache Mazuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…