Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Mama kaamua kutupora nchi nzima huu ujambazi hakika ni zaidi ya kufungia account.. anaporwa mgonjwa anaporwa mstaafu, anaporwa aliekopa kulipia ada, anaporwa mkulima yaani kila mtu anaporwa... Wenye kuingiza makontena wanakunywa chai mguu juu zamu ya mlalahoi kunyooshwa...ndio hii. Bi mkubwa anaomba ya asprin kabla haijamfikia imeliwa ..ikifikia tena inaliwa...na kuna minyumbu imashangilia... Mbwa kabisa.
 
Hata wewe unamkumbuka kwa mabaya wengine kwa mema we baki ulipo nasi tulipo. Usilazimishe chuki zako ziwe zetu.
Mi nilikua nawakumbusha tu kutumia wingi kunaleta mkanganyiko ni kama vile unatuwakilisha which is not true kwasababu sio wote tunao mkumbuka
 
UPUUZI MTUPU!!!

Hakika tutakukumbuka milele daima najua ulifanya mambo mabaya mengi lakini mema yako yalikuwa mengi zaidi kwa sababu uliwekeza kwenye watu wa hali ya chini.

Magufuli popote ulipo mimi kama nilikukosea kwa vyovyote naomba unisamehe

Magufuli naomba utuombee kwa Mungu atupiganie maana mabepari yamechukua tena nchi yetu.

Watu wa chini sisi walala hoi tutakukumbuka milele

Bei ya mafuta Leo bukoba 2800 wakati Rwanda 2000

Bei ya mafuta Tunduma 2650 wakati Zambia 2100

Tozo za simu ndio usiseme, watu hawaishi tena Dodoma kutwa kupishana air port na mabarakoa na morogoro road na maviete hakika nitakukumbuka.

R.I.P
 
Mtu anaimbwa kuwa aliwekeza kwa watu wa chini huku hata kusaidia kuajiri hao watoto wa wakulima kidogo wasaidie familia zao alishindwa.

Aliwasaidia kivipi hao watu wa hali ya chini?..ni bima ya bure alitoa au ni nini?
Hukuona bima ya NHIF inamuwezesha Mwananchi wa kawaida kabisa kutibiwa mpaka Aga Khan Hosp ilhali miaka ile ilikuwa ni inaishia kwenye Hosp za Serikali tu

Aliondoa kutokulipa kodi kwa wafanyabiashara wenye mitaji pungufu ya 4ml, ambao wengi wetu ndio kundi kubwa la wenye kipato cha chini

Pia, Kundi hili la wafanyabiashara JPM alitoa maagizo kutokubughudhiwa na wana mgambo tofauti na miaka ya nyuma ilivyokuwa wakikamatwa na kufilisiwa mali zao

Alihakikisha nidhamu ya watumishi Serikalini ktk kuhudumia wananchi inakuwa yenye kiwango kizuri, hvyo wananchi wa hali ya chini tumeyashuhudia haya ktk maeneo mbalimbali ya kwenye Majengo ya Serikali kuanzia mahospitalini, manispaa, wizarani nk

Pamoja na mapungufu yake machache lakini Kwa haya mazuri aliyoyafanya, hakika tutamkumbuka sana JPM, Mwenyezi Mungu ampe pumziko la milele..... amiiiiin
 
Tutaimba nyimbo zote lakini lazima kodi ilipwe na kila mtu. Lazima dawa imuingie kila mmoja wetu na ndo tutakuwa na uchungu na miundombinu yote.
 
Mama Samia hataki kupora fedha za Matajiri kwny Accounts zao kwa kisingizio ha Uhujumu uchumi ili akamalizie miradi aliyopokea

Anataka kila Raia achangie Stiglers gauge na miradi mingine mikubwa

Ikibidi kodi ziongezeke kuliko kupora ma Bureade change za watu na kupora pesa za matajiri kwa 'task force'

Mambo ya kusema tunajenga miradi kwa 'fedha za ndani' iwe kweli kwa fedha za ndani za kodi stahiki
Kwahi unataka wakubwa wasilipe kodi na wawekezaji wa nje pia wawe huru kufanya wanachotaka katika nchi yetu. Hakuna aliyeporwa hela yake ishu kubwa ni malimbikizi ya kodi ndo ilikuwa inawasumbua kutokana na ukwepaji wa kodi
 
Mtu anaimbwa kuwa aliwekeza kwa watu wa chini huku hata kusaidia kuajiri hao watoto wa wakulima kidogo wasaidie familia zao alishindwa.

Aliwasaidia kivipi hao watu wa hali ya chini?..ni bima ya bure alitoa au ni nini?
Watu wa chini wengi walijiajiri katika kipindi chake, angalia bodaboda, machinga na mamantilie
 
Hakika tutakukumbuka milele daima najua ulifanya mambo mabaya mengi lakini mema yako yalikuwa mengi zaidi kwa sababu uliwekeza kwenye watu wa hali ya chini.

Magufuli popote ulipo mimi kama nilikukosea kwa vyovyote naomba unisamehe

Magufuli naomba utuombee kwa Mungu atupiganie maana mabepari yamechukua tena nchi yetu.

Watu wa chini sisi walala hoi tutakukumbuka milele

Bei ya mafuta Leo bukoba 2800 wakati Rwanda 2000

Bei ya mafuta Tunduma 2650 wakati Zambia 2100

Tozo za simu ndio usiseme, watu hawaishi tena Dodoma kutwa kupishana air port na mabarakoa na morogoro road na maviete hakika nitakukumbuka.

R.I.P
Mbowe anamlilia tayari
20210718_011757.jpg
 
Hakika tutakukumbuka milele daima najua ulifanya mambo mabaya mengi lakini mema yako yalikuwa mengi zaidi kwa sababu uliwekeza kwenye watu wa hali ya chini.

Magufuli popote ulipo mimi kama nilikukosea kwa vyovyote naomba unisamehe

Magufuli naomba utuombee kwa Mungu atupiganie maana mabepari yamechukua tena nchi yetu.

Watu wa chini sisi walala hoi tutakukumbuka milele

Bei ya mafuta Leo bukoba 2800 wakati Rwanda 2000

Bei ya mafuta Tunduma 2650 wakati Zambia 2100

Tozo za simu ndio usiseme, watu hawaishi tena Dodoma kutwa kupishana air port na mabarakoa na morogoro road na maviete hakika nitakukumbuka.

R.I.P

Utamkumbuka wewe na ukoo wako !! Akumbukwe Akumbukwe kwani AMEKUWA MTOTO WA DANDU?

 
Njia nzuri ya kumuenzi na kumkumbuka Magufuli ni kutokubali kuonewa kijingajinga na kujiamini.
Hakuogopa yeyote na alifanya mabadiliko alivyoona inafaa.
Hakuwa mtu wa maneno tu bali vitendo na uthubutu.
 
Acha ubishi wa jambo usilo na weledi nalo

Vodacom miaka yote wanapata Tax clearance toka TRA kuonesha hawana deni lakin katika reports zao z Finance za mwaka uliopita wame declare TRA wanechota 26 billion kutoka kwny Accounts zao bila ya maelezo yoyote

Sie Makabwela wa kwa Lulenge hatukuathirika na uporaji ule kwa kuwa hata Bank Accounts zenyewe hatuna sasa issue na maumivu ya ku freeze Accounts si unajikuta unaiskia kwa mbali kama story za slave trade ya karne ya 19!
Kwahi unataka wakubwa wasilipe kodi na wawekezaji wa nje pia wawe huru kufanya wanachotaka katika nchi yetu. Hakuna aliyeporwa hela yake ishu kubwa ni malimbikizi ya kodi ndo ilikuwa inawasumbua kutokana na ukwepaji wa kodi
 
Back
Top Bottom