Mi nilikua nawakumbusha tu kutumia wingi kunaleta mkanganyiko ni kama vile unatuwakilisha which is not true kwasababu sio wote tunao mkumbuka
Sawa ila maandishi yako hayaonyeshi kuwa umemsahau...ndio maana nikakwambia we mkumbuke kwa mabaya (yaani jifanye humkumbuki) si tunamkumbuka kwa mema.

Mafuta tulinunua mpaka 1500-1800 leo 2280-2406.
Fly overs zinaendelea kujengwa... Tume ya madini inakusanya maduhuli ilianzishwa 2017.., TARULA inaendelea kutujengea barabara vijiji, sasa hivi TRA wanakusanya 390bln kutoka 1.3Tln ...makodi ya kinyonyaji yalitupiliwa mbali... Raslimali zetu walau zililindwa kwa mtutu wa bunduki... Walau kina Saniniu walikula keki ya taifa.. highway ya Morogoro tunaiona... Mikoani kila mkoa kunaujenzi wa maana wa miradi ya kimkakati... We fumba macho, masikio na ubongo sie tuko na JPM moyoni kwa mema. Mabaya we komaa nayo.
 
Yaani vistory vya kubumba unavitumia kama reference ya kuhalalisha uongo... Vodacom wachotewe 26b bila sababu wakae kimya?🤔 Unahatari sana kichwani.

Vodacom Tanzania Annual report-31 March 2020 (ipo mtandaoni) hakuna hata ukurasa mmoja kati ya 145 ulionyesha wameporwa fedha na serikali.. muwe mnasema ukweli kupinga mema ya JPM. Kweli nimesahau wewe humkumbuki kwa mema sorry.
 
Story za kubumba wakati zipo kwenye disclosure ya Financial report yao ya 2020 ambayo ni published
 
Hii ni kauli ya the late sir John Pombe Magufuri ambayo aliipenda sana kuitumia, nakiri binafsi sikuwah kuielewa ila sasa ndio nimepata kuielewa vizuri

RIP Jembe!! Hakika tutakukumbuka sana.
Aliwahi kusema siku mimi nikifa nitarudi...leo ndii nami namuelewa
 
Sukari na mafuta ya kupikia mlikuwa mnanua shilingi ngapi October 2015 na mlikuwa mnanua shilingi ngapi March 2021?
 
Hiyo inamaanisha hakuwa na msaada wowote kwa maisha ya mlalahoi. Kuondoka kwake hakupunguzi wala kuongeza mkate mezani kwa mnyonge.
Na leo tunanunua shilingi ngapi baada ya kufa kwake?
 
Hiyo inamaanisha hakuwa na msaada wowote kwa maisha ya mlalahoi. Kuondoka kwake hakupunguzi wala kuongeza mkate mezani kwa mnyonge.
Kwa tafsiri yako ila yetu the Honorable was the best President Tanzania ever had.
 
Alifanya makosa makubwa sana kuteua Mawaziri wale wale wa mwendazake.

Aliowaamini akawapa nafasi wamsaidie kazi ndiyo wanaommaliza, ndiyo wanaotengeneza mbinu chafu za kumwangusha, ila sidhani kama yeye ameliona hilo
 
Kwa kunivunjia nyumba zangu zikizikua mita 100 kutoka katikati ya barabara halafu lile eneo hajalifanyia lolote.
 
He is My sons's legacy

Amenisaidia Mambo mengi.

JPM kafanya mengi makubwa kuliko Rais yeyote aliwewahi pita nakosa la kuandika kabisa vidole vinatetemeka, Nimelia Mimi leo

Naogopa nchi yetu inarudi shimoni

MUNGU TUANGALIE TENA WAJA WAKO
Eti mengi makubwa! Yepi? Chanya au Hasi?? Wapi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…