Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
-Ben Saanane.
-Azory Gwanda
-Rujwabe
-Kanguye
Kwaiyo kama wewe una mchukia kisa wakina beni nawote wa mchukie sizani ata kuna anaewajua ao wanafahamika mtandaoni tu.ata Mungu aliangamiza sodoma na gomola ili vizazi vingne vipone.
 
Tatizo alitengeneza matabaka kati maskini na matajiri , alitamka waz waz nataka matajiri waishi kama mashetani ...... kumtamkia mwenzako awe kama shetani daaah aiseee ....Ina maana Sisi wote tuwe maskini ??? Big nooo
 
Kwaiyo kama wewe una mchukia kisa wakina beni nawote wa mchukie sizani ata kuna anaewajua ao wanafahamika mtandaoni tu.ata Mungu aliangamiza sodoma na gomola ili vizazi vingne vipone.

Wapi nimesema namchukia? Kawaulize familia zao hao watu uchungu waliokuwa nao kuondokewa na wapendwa wao!! Kwahiyo ni sawa kwa hao watu kuuliwa? Ulifatilia kwanini waliuliwa?
 
This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti ( Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.

Hakika tutammiss , kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo..

Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J.. P. M (R. I. P).

1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.

2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje , kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).

3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu , S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.

4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.

5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.

6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.

7.


Itaendelea...
12. Kupoteza, kutesa na kujeruhi watu !!
 
Kuwaweka wafanyakazi wa Uma miaka 7 bila nyongeza ya mshahara wala kupanda daraja. Hili haliwezi kusahaulika
Ha ha ha!!! Nina kilio cha increment lakini kaiuma sana sana!!! Naomboleza.
 
This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti ( Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.

Hakika tutammiss , kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo..

Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J.. P. M (R. I. P).

1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.

2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje , kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).

3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu , S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.

4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.

5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.

6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.

7.


Itaendelea...
Rushwa kutamalaki kwa kisingizio cha hapa kazi tu.
 
John Pombe Magufuli. An African nationalist. So upright they named him "Chuma", a Swahilimeaning for a piece of iron. The bulldozer. We remember him for declaring the nation of Tanzania a sovereign country with its own values and belief systems. His radical approach to bureaucracy, firing Ministers who and officials who mistook funds meant for development. A former school teacher, who later graduated with a PhD in Chemistry. Successor to Jakaya Kikwete. Magufuli has never travelled to any European country nor attended any UN General Assembly since coming to power. He revived the use of Swahili word "beberu" which means male goat which was used by Socialist whilst Tanganyika was struggling for independence with a Zanzibar which was also an imperialist playground. Tanganyika and Zanzibar merged to have what today is called Tanzania.


However his biggest anger to the West was taking 60% stake in three major Tanzanian gold mines. After doing so, the devout nationalist cancelled a deal with China to build Tanzania's first electric railway line linking the commercial Dar es Salaam to the main capital Dodoma. He also cancelled a deal with China to build the biggest port in East Africa in the city of Bagamoyo. A striking similarity to Nkrumah's industrial plan of electrifying Ghana, a deal which the West compromised which ultimately led to his coup in Ghana. These are deals signed by Jakaya Kikwete his predecessor, he reversed them all and accused the West of exploiting the resources of Tanzania.
1616589823547.jpeg
 

Attachments

  • 1616589823416.jpeg
    1616589823416.jpeg
    688 bytes · Views: 2
My condolences to the late President Dr. John Pombe Magufuli.

Miaka ya 2000's Nilipata kusikiliza miziki ya kina Ngusa Babu Seya na mwanaye Papi Kocha aisee miziki yao haichuji ukikaa mahali ukiisikiliza mpaka sasa kutokana na mipangiliyo mizuri na kujipanga kisha kutoa wimbo, ikumbukwe ile enzi ukiweza toa wimbo ujue una kipaji.

yaani mtoko kipindi cha disco vumbi na disco toto zilipendwa sana na kuwakosha vijana wa zamani, niseme tu mpaka sasa naburudika na ngoma ya seya Papii Kocha akiimba, inanoga sana kwa wale wa mitoko wa kuburudika na live band.

Kipindi cha awamu kadha nyuma Ngusa na mwanaye Kocha walipatikana na hatia na kupelekea kwenda gerezani na wametumikia miaka zaidi ya kumi (10) huko.
lakini The late JPM alipata huruma ya kuwatoa kitu kinachofanya kuona kuwa alikuwa ameguswa na kifungo chao, watanzani wengi walijawa na furaha kwa ujio wao mtaani na Hayati JPM alionekana ni mtu mwenye uungwana na kupewa pongezi nyingi kuwa atabaki kuwa raisi wa wanyonge siku zote.

kiukweli moments are the nice time to be in our memory with strong and deep feelings.

Rest easy beloved President Dr. John Pombe Magufuli.
 
Baba na Mwana tunaimba na kucheza eeeh baba na mwana aah
 
Huyo wa kwanza aliitusi taasisi ya urais kuwa kafoji cheti.....

Sijui walimpeleka wapi huyo jamaa

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Kusema mtu kafoji cheti siyo tusi. Infact ukimwambia mtu msomi wa kweli kweli kuwa kafoji cheti anakupuuza tu wala hatakuwa na muda na wewe. Imagine leo uanze kuandika kuwa Pro Shivji au Jaji Warioba siyo wasomi na elimu yao ni ya kuunga unga. Sana sana utakayesema hivyo utaonekana kichaa mbele ya jamii. Chema chajiuza kibaya chajitembeza. Sasa kila mtu anashangaa ilikuwa tuhuma za kijinga namna hiyo zichukuliwe serious na wenyewe? Magufuli alisoma chuo kikuu na kila mtu anajua. Kwa nini wamuue mtoto wa watu kwa jambo la kijinga kama hilo? Au kuna ukweli? Nachoweza kuhisi ni kuwa baada ya Magufuli kuingia madarakani aliingiza kikundi cha washamba idara ya usalama ambao walilewa madaraka wakaona kama rais hawezi kusemwa kwa chochote hivyo wakaamua kumuua. Au pengine kuna ukweli fulani? (Zingatia uwezo wa mashaka kwenye mambo ya kisomi alioonyesha Magufuli wakati wa utawala wake)
 
Back
Top Bottom