Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa [emoji23][emoji23][emoji23] ndio maana zikaitwa baby walkersNa Ist yangu kila kukicha naona inazidi kuwa ndogo ukikaangalia kwa mbali kama vile unaweza kukabeba bora ninunue premio
Umeona ufurahishe genge!Ukinunua Hakikisha una Fire extngiusher 3[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wajuaji wengi maarifa kuduchu.Umeona ufurahishe genge!
dualis zinawakaa mnoo huo ndio ukwelii...!! kwa hiyo ukikasirika kama wewe ndo mmiliki wa kiwanda cha dualis hainihsuuuUmeona ufurahishe genge!
IST ipewe maua yake kwenye usajili wa No. D. Kwa utafiti usio rasmi asilimia 30 ya No.D ni magari ya IST. Lakini tangu usajili wa "E" uanze ni IST chache sana zimesajiliwa. Kwa utafiti usio rasmi Nissan Dualis inakimbiza sana kwenye usajili wa "E".
Kwa Nini watu wameacha kuchangamkia IST kama hapo awali?
Kwa anaenunua mara ya pili, kununua dualis, kama bado unatembea mlemle.Ila ndo anaagwa hivyo, watu wanatoka kwenye IST na kuhamia kwenye dualis... ist za namba E ni chache sana...
Rumion ndio zimechukua nafasi ya IST, sbb Rumion ni kubwa na cc 1500 na more stable kuliko IST
Nashangaa.unanunua ist si bora uchkue suzuk jimy au premio.umejiokota chkua dualisIST watu wameona wanapigwa hela zao gari bei halafu baby walker,watumiaji IST wote wamekimbilia kwenye Subaru Forester.. Wanavimba tu
Umeopt chagua sahihiNa Ist yangu kila kukicha naona inazidi kuwa ndogo ukikaangalia kwa mbali kama vile unaweza kukabeba bora ninunue premio
Bora hata wewe una phoenix.Sisi wenye phoenix tunacomment wapi...
Subaru inatumiaje mafuta?IST watu wameona wanapigwa hela zao gari bei halafu baby walker,watumiaji IST wote wamekimbilia kwenye Subaru Forester.. Wanavimba tu
Kuna Rafiki yangu anayo anasema highway anapata 13km per Ltr ila trip town inaenda 10-11.DUALIS kwenye wese imekaaje?
Hapa Sio Kweli Mzee.17 km/l
Forester turbo au non turbo..na ni ya mwaka gani?Subaru inatumiaje mafuta?
Rumion ndio zimechukua nafasi ya IST, sbb Rumion ni kubwa na cc 1500 na more stable
Wewe umenena, kuna kipindi kila ukikaa pembezoni mwa barabara, ni Rav 4, zilikua zinatawala, Noah nazo zimenunuliwa sana, ila siku hizi hata barabarani zimeanza kutumika.Kila msimu na upepo wake...
Sidhani km itafika huku, labda 14km/l17 km/l
Uonavyo sawa.Mie wa subaru nachangiaje😂😂🤣🤣
🤣 Aisee mama kafungua nchiNimeona pia Discovery za kutosha namba E. Wenye hela naona wameamua sasa kununua "high-end cars"