Je, utawala wa IST unafika Kikomo?

Je, utawala wa IST unafika Kikomo?

IST ipewe maua yake kwenye usajili wa No. D. Kwa utafiti usio rasmi asilimia 30 ya No.D ni magari ya IST. Lakini tangu usajili wa "E" uanze ni IST chache sana zimesajiliwa. Kwa utafiti usio rasmi Nissan Dualis inakimbiza sana kwenye usajili wa "E".

Kwa Nini watu wameacha kuchangamkia IST kama hapo awali?

Rumion ndio zimechukua nafasi ya IST, sbb Rumion ni kubwa na cc 1500 na more stable kuliko IST
 
Rumion ndio zimechukua nafasi ya IST, sbb Rumion ni kubwa na cc 1500 na more stable kuliko IST

Sio kweli IST bado haijapata mrithi
But for me promising hatchback ni Aqua
Engine ni ileile ya IST 1NZ ila imekuwa modified into Hybrid system..very fuel efficient 1L ~30km

Sema zina grades pia L,S,G

Ukipata G class ni nzuri inakuja na premium features kama Reverse camera,Full options,seat heater fog light
 
Rumion ndio zimechukua nafasi ya IST, sbb Rumion ni kubwa na cc 1500 na more stable

Kila msimu na upepo wake...
Wewe umenena, kuna kipindi kila ukikaa pembezoni mwa barabara, ni Rav 4, zilikua zinatawala, Noah nazo zimenunuliwa sana, ila siku hizi hata barabarani zimeanza kutumika.
.
.Hivyo hata kwa IST, Upepo wake umeanza kata.
 
Back
Top Bottom