Ufahamu ni kitu muhimu sana. Kuna watu wanafata mikumbo tu 🤣 ila kwa mtu ambaye anajua gari ni nini wala show room haiwezi kuwa kigezo.Yani mimi unipe la showroom lina mileage chache uniuzie 19m halafu huyu mileage zimepshana na ya showroom kama 20,000 tu ananiuzia kwa 13m niache nichukue la showroom? ntakua sina akili.
Mbadala wake ni RumionFikiri haya yafuatayo:
1. Mimi nina gari namba D ni ya 2015.
2. Maana yake namba D zina miaka 8.
3. NAMBA E Zimeanza lini?
Kwa mantiki hii, utafiti wako hauna uhalali, maana namba E lazima ziwe chache.
Kama IST hazinunuliwi tena kwa kiwango kikubwa, nini ni Mbadala wake?
Sasa redio ya range rover ya 2005 utakuta haina hata bluetooth ya kazigani. Haipigi formats mbali mbali za video. Fm radio frequency haimalizi.Kuna mtu niliona ametoa radio original ya range sport akafunga android ya 180,000/=. Sijajua ni hatujui vitu vizuri au tuna ushamba.
Mkuu, ukitaka kujua thamani yake redio hiyo hiyo jaribu kuinunua uirudishe. Tatizo hizo android ni cheap and fake hata huko kwao itakuwa hawafungi kwenye magari yao ya kisasa. Kuna zile bluetooth og bora uagize hizo, au kama unaweza agiza android og, hata bei itakushtua utaona kuna kitu hakipo sawa kwenye hizi njanjawidi tunazofunga.Sasa redio ya range rover ya 2005 utakuta haina hata bluetooth ya kazigani. Haipigi formats mbali mbali za video. Fm radio frequency haimalizi.
Hio Android auto ya gari hizo zote lazma iwe bei. Ukitafta redio za kizamani zile za range rover zenye batana kama simu lazma ziwe cheap.Mkuu, ukitaka kujua thamani yake redio hiyo hiyo jaribu kuinunua uirudishe. Tatizo hizo android ni cheap and fake hata huko kwao itakuwa hawafungi kwenye magari yao ya kisasa. Kuna zile bluetooth og bora uagize hizo, au kama unaweza agiza android og, hata bei itakushtua utaona kuna kitu hakipo sawa kwenye hizi njanjawidi tunazofunga.
View attachment 2766814
Mpaka mama yetu wa kambo akiondoka madarakani wese halitapungua 5000 kwa litre 1IST imegoma kufa, Na imegoma kutoka sokoni...
Sababu ya IST kutokuonekana sana No E ni bei wakuu... Bei ya IST kwasasa imefika 18M to 20M kulingana na exchange rate ya $... Wadau wengi wakiona bei ni 18M wakati zilikua 12M wanaona bora wawavue wenye IST wenzao... Mpaka kufika December km hali ya Wese/fuel ikiendelea kupanda tegemea IST kufika +20M... Dualis ni gar nzuri kwa muonekano ila na jamaa zangu wawili mmoja ana No D kapaki na mwingine No E nae analialia Wese na Vipuli vyake.... Watu wenye magari makubwa tunayapenda ila sema tunaumia kwenye cost za fuel...Yani hivi vi IST wanatia wese la 30K na wanatamba misele kibao sasa weka wese la 30K kwenye Dualis uone... hitimisho tupende tusipende IST kutoka sokoni tusahau kwasasa..Ngoja wese lifike 1 ltr =4000Tsh ndo tutajua
Ok boss. Ila binafsi sioni kama ni sawa kureplace radio ya gari kwa android ya 180,000. Huwa naamini hizi gari esp za kisasa zinaspecs zake ambazo kupachika pachika vitu vya kichina ni kuziondoa katika uhalisia wake.Hio Android auto ya gari hizo zote lazma iwe bei. Ukitafta redio za kizamani zile za range rover zenye batana kama simu lazma ziwe cheap.
Redio ya kuanzia 2013 ya range rover atakaeitoa ndo ntamuona chizi maana ina kila kitu.
Mkuu, nini maoni yako kwa RVR, ina mwonekano mkali sana kwa upande wangu ila naona mtandaoni wanaiponda sana.Trending cars:
1. BMW 3 series, 1 Series, X1
2. Dualis
3. Evoque
Special Appearance: Aqua na RVR
mimi imenicost,nimeona bora ninunue runx no B,kuliko ist no D,wanasema za kike.Yes, hilo neno lina ATHARI kibiashara.
Ikitokea dhana flani katika bidhaa ujue biashara inakufa.
Ukisikia hiki kigari cha kike ujue wanaume wataliepuka kwa gharama yoyote isipokuwa michichapori
Pole mkuumimi imenicost,nimeona bora ninunue runx no B,kuliko ist no D,wanasema za kike.
To be honest, sipendelei gari ya INJINI NDOGO na gari iwe ndogo ndio kabisa siipendi.mimi imenicost,nimeona bora ninunue runx no B,kuliko ist no D,wanasema za kike.
Sasa Runx na IST ipi ya kike....???[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mimi imenicost,nimeona bora ninunue runx no B,kuliko ist no D,wanasema za kike.
Sasa Runx na IST ipi ya kike....???[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mimi imenicost,nimeona bora ninunue runx no B,kuliko ist no D,wanasema za kike.
Sio kweli IST bado haijapata mrithi
But for me promising hatchback ni Aqua
Engine ni ileile ya IST 1NZ ila imekuwa modified into Hybrid system..very fuel efficient 1L ~30km
Sema zina grades pia L,S,G
Ukipata G class ni nzuri inakuja na premium features kama Reverse camera,Full options,seat heater fog light
hapo sasa...Sasa Runx na IST ipi ya kike....???[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
nlitaka kusema hvo hvo, subaru zmekuwa nyng sana keny usajil wa namba E, wamama wanazpend sana,,,,,,,,,,,hahahYeah, Subaru zimekuwa nyingi barabarani