Je, utetezi huu wa Wema Sepetu Mahakamani unaendana kabisa na Maadili ya Mwanamke wa Kiafrika?

Je, utetezi huu wa Wema Sepetu Mahakamani unaendana kabisa na Maadili ya Mwanamke wa Kiafrika?

“ Nilishindwa kupanda mahakamani, ninapofika kwenye siku zangu huwa napata maumivu makali, nilienda kuchoma sindano ya maumivu, nikapumzika kisha nikarudi nyumbani “

Hivi ni kwanini Wanawake wa Siku hizi huwa hawana Aibu hasa katika Kuongelea Masuala yao ya Hedhi jambo ambalo naamini kwa Maadili ya Kiafrika si vizuri Kuyaongelea hadharani hivi tena Mtu akiwa hana hata Chembe ya haya ( aibu ) au hofu?

Tujadili.
Niliangalia malumbano ya hoja wiki iliyopita akili ya wema na mchangia mada mmoja ambaye niliamini ni msomi wanafanana na inawezekana huyu Wema ana afadhali sababu yule aliyetoa hoja yake alikuwa jinsia (ME) kwa jinsi alivyoliongelea hilo swala kwenye mjadala uliohusu tozo za kodi kwenye pads, nilipata ukakasi kuelewa ni mfumo wa elimu au jamii umetufikisha hapa...
 
Niliangalia malumbano ya hoja wiki iliyopita akili ya wema na mchangia mada mmoja ambaye niliamini ni msomi wanafanana na inawezekana huyu Wema ana afadhali sababu yule aliyetoa hoja yake alikuwa jinsia (ME) kwa jinsi alivyoliongelea hilo swala kwenye mjadala uliohusu tozo za kodi kwenye pads, nilipata ukakasi kuelewa ni mfumo wa elimu au jamii umetufikisha hapa...

Kuna Mtu anamjua vyema kabisa Wema Sepetu na tena alishakuwa hadi na Mahusiano nae alipokuwa akiniambia kwa Kujiamini kuwa Wema Sepetu anavuta sana Bangi nilikuwa nikimbishia kama siyo Kumbishia ila kwa Kauli na Matendo ya hivi karibuni ya Mwanamke huyu sasa nakubaliana na huyo Mtu kuwa Wema Sepetu anavuta Bangi.
 
Pia tusisahau kuna lugha zakuongea mahakamani ukitumia tafsida ndo imekula kwako......ni lazima mambo yaeleweke kinagaubaga

Kwahiyo unataka kusema kwamba kama Mwanaume ameingiliwa na Mwenzie asiseme kuwa ameingiliwa Kinyume na Maumbile badala yake aseme tu Kifupi kuwa amefirwa au amefirika? Naona sasa ni wakati muafaka kwa Mimi kutenga muda kila Wiki wa kwenda Kuhudhuria Kesi Mahakamani ili nami nijifunze mambo mbalimbali ya Kisheria na Kimahakama ili nami labda Siku moja ikitokea nimepelekwa huko nisikosee na nikajikuta nayaanza rasmi Maisha yangu ya Kudumu Segerea.
 
Kuna Mtu anamjua vyema kabisa Wema Sepetu na tena alishakuwa hadi na Mahusiano nae alipokuwa akiniambia kwa Kujiamini kuwa Wema Sepetu anavuta sana Bangi nilikuwa nikimbishia kama siyo Kumbishia ila kwa Kauli na Matendo ya hivi karibuni ya Mwanamke huyu sasa nakubaliana na huyo Mtu kuwa Wema Sepetu anavuta Bangi.
Ukimwangalia huyo niliyeandika hapo juu ndo utajua bangi ya wema ni ya kichina......Watu wanaongea hapo alipo amesema siku zake ikumbukwe siku zinaeza kuwa siku za kawaida kwa hiyo bado hajaeleweka straight... kisheria
watu wana siku zao za kwenda ibada, za kwenda likizo/ kupumzika, akiulizwa siku zake zipi atajibu nini.....?
 
Kuanzi sasa nitakuwa nahesabu mzunguko wake ili hata siku nikitembea nae kipindi cha hatari nichukue tahadhari nisimpe Mimba maana maana tarehe aliyoingia hedhi nimei-note
Kwanini usimpe mimba wakati anahitaji mtoto?
 
Hili neno maadili ya Kiafrika ni unaafiki tu wa binadamu. Ukweli ni kwamba hakuna maadili ya Kiafrika. Afrika ina makabila zaidi ya 3000, na kila kabila linatofautiana na jingine kwenye hayo maadili unayosema wewe. Sasa maadili ya kabila gani ndio ya Kiafrika?
 
Kwahiyo unataka kusema kwamba kama Mwanaume ameingiliwa na Mwenzie asiseme kuwa ameingiliwa Kinyume na Maumbile badala yake aseme tu Kifupi kuwa amefirwa au amefirika? Naona sasa ni wakati muafaka kwa Mimi kutenga muda kila Wiki wa kwenda Kuhudhuria Kesi Mahakamani ili nami nijifunze mambo mbalimbali ya Kisheria na Kimahakama ili nami labda Siku moja ikitokea nimepelekwa huko nisikosee na nikajikuta nayaanza rasmi Maisha yangu ya Kudumu Segerea.
haahhha Umebadili I'd ya nn?
Gentaq
 
Sasa kama alisema aliumwa tumbo na mahakama haikumuelewa wakamtupa mahabusu si bora aseme ukweli? kuna wengine wakiingia period wanaumwa na kulazwa kabisa na hata ndg wanajua
 
Kwahiyo unataka kusema kwamba kama Mwanaume ameingiliwa na Mwenzie asiseme kuwa ameingiliwa Kinyume na Maumbile badala yake aseme tu Kifupi kuwa amefirwa au amefirika? Naona sasa ni wakati muafaka kwa Mimi kutenga muda kila Wiki wa kwenda Kuhudhuria Kesi Mahakamani ili nami nijifunze mambo mbalimbali ya Kisheria na Kimahakama ili nami labda Siku moja ikitokea nimepelekwa huko nisikosee na nikajikuta nayaanza rasmi Maisha yangu ya Kudumu Segerea.
Hahaha
 
Kwahiyo unataka kusema kwamba kama Mwanaume ameingiliwa na Mwenzie asiseme kuwa ameingiliwa Kinyume na Maumbile badala yake aseme tu Kifupi kuwa amefirwa au amefirika? Naona sasa ni wakati muafaka kwa Mimi kutenga muda kila Wiki wa kwenda Kuhudhuria Kesi Mahakamani ili nami nijifunze mambo mbalimbali ya Kisheria na Kimahakama ili nami labda Siku moja ikitokea nimepelekwa huko nisikosee na nikajikuta nayaanza rasmi Maisha yangu ya Kudumu Segerea.
Una uandshi flani hv km genta..
Btw ni vizuri kupitia mahakamani siku moja moja.
 
“ Nilishindwa kupanda mahakamani, ninapofika kwenye siku zangu huwa napata maumivu makali, nilienda kuchoma sindano ya maumivu, nikapumzika kisha nikarudi nyumbani “

Hivi ni kwanini Wanawake wa Siku hizi huwa hawana Aibu hasa katika Kuongelea Masuala yao ya Hedhi jambo ambalo naamini kwa Maadili ya Kiafrika si vizuri Kuyaongelea hadharani hivi tena Mtu akiwa hana hata Chembe ya haya ( aibu ) au hofu?

Tujadili.
Kama anapata Hedhi inakuwaje wanaume wa DAR mnashindwa kumpachika mimba?
 
Back
Top Bottom