Toff plus
Member
- Jul 28, 2018
- 64
- 83
Kweli kabisa
Mimi nimewaona wengi ni zero
Mimi nimewaona wengi ni zero
Wanawake wenye makalio makubwa akili hakuna Mungu hakupi vyote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake wenye makalio makubwa akili hakuna Mungu hakupi vyote
HahaaHaaaa.Wamuache tu..huyo wakiendelea kumohoji ataweza hata kuwaonyesha damu inapotokea..
Wema Hana Wakili Maana Reuben Semwanza Ni Class mate wangu Law School Namjua Kichwani Hakuna Kitu, Wema Kama anataka Kutusua Asaodiwe na Msando Tu Zaidi Ya Hapo Hakuna La Maana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wamuache tu..huyo wakiendelea kumohoji ataweza hata kuwaonyesha damu inapotokea..
Duh!!!!Tena huku akijipanua kabisa Kiongozi mguu wake mmoja akiuelekezea Mashariki na mwingine Magharibi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lugha ya tafsida na kupunguza ukali wa maneno, haina nafasi mahakamani.
Tena hapo wema bado hakuongea vizuri.
Ilitakiwa aseme "akiwa katika kipindi cha hedhi" na siyo "siku zake".
Wengi wameshindwa kesi mahakamani kwa kuendekeza 'maadili' na matumizi ya lugha yenye staha.
Mfano ni mwanamke kotoa ushahidi na kusema 'alinivua nguo, halafu akanilalia", badala kusema " alinivua gauni, ananivua taiti, akanivua chupi, akafungua zipu, akatoa uume wake, akaingiza kwenye uke wangu....'
Mahakamani unatakiwa kuzungumza ulichokiona kwa macho, ulichokisikia, ulichohisi, ulichoonja na ulichonusa.
Ukijidai kutumia tafsida inakula kwako!
Kama umeshikwa matiti sema.
Kama unaumwa UKIMWi sema unaumwa ukimwi na usiseme ugonjwa wa kisasa
Teh teh..Vya kushangaa kwa huyu dada nadhani vimeisha..Sijui atafanya nn nishangae..Tena huku akijipanua kabisa Kiongozi mguu wake mmoja akiuelekezea Mashariki na mwingine Magharibi.
Umeandika facts kabisa, hedhi sio jambo geni tuache kucompicate mamboSiku hizi mambo hedhi yanajadiliwa hata bungeni. Siku hizi mambo ya hedhi yanaingizwa hadi kwenye bajeti ya nchi. Siku hizi mambo ya hedhi yanajadiliwa kati ya baba na binti yake...anapotaka fedha za kununua taulo.za hedhi. Siku hizi hata baba ana mnunulia binti yake taulo za hedhi. Jedhi ni jambo la kawaida tu kama kuumwa kichwa. Usi complicate sana
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]Wamuache tu..huyo wakiendelea kumohoji ataweza hata kuwaonyesha damu inapotokea..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wameruhusiwa na Serikali yako kujadili kwa uwazi haya mambo ya faragha“ Nilishindwa kupanda mahakamani, ninapofika kwenye siku zangu huwa napata maumivu makali, nilienda kuchoma sindano ya maumivu, nikapumzika kisha nikarudi nyumbani “
Hivi ni kwanini Wanawake wa Siku hizi huwa hawana Aibu hasa katika Kuongelea Masuala yao ya Hedhi jambo ambalo naamini kwa Maadili ya Kiafrika si vizuri Kuyaongelea hadharani hivi tena Mtu akiwa hana hata Chembe ya haya ( aibu ) au hofu?
Tujadili.
You nailed it!Siku hizi mambo hedhi yanajadiliwa hata bungeni. Siku hizi mambo ya hedhi yanaingizwa hadi kwenye bajeti ya nchi. Siku hizi mambo ya hedhi yanajadiliwa kati ya baba na binti yake...anapotaka fedha za kununua taulo.za hedhi. Siku hizi hata baba ana mnunulia binti yake taulo za hedhi. Jedhi ni jambo la kawaida tu kama kuumwa kichwa. Usi complicate sana
Acha kudhalilisha bangi wewe!,Alisema Kiongozi. Pitia Mtandao wa Azam Tv upate kila Kitu. Bangi zinamuharibu mno Wema Sepetu ndiyo maana wala hajali na haogopi.