Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Mwingi sana.Kwa hili la Machinga serikali wameukandamiza mwingi! Now kubwa lililobaki ni kutengeneza mazingira ya watu kufanya siasa ya kistaarabu na uhuru bila mikwaruzano na vyombo vya Dola, kutukanana, kuzushiana uongo na kupigana! Udokozi wa kura nao ukomeshwe
Unyelile nyandaKunywa sumu Kama unamchukia Makamba,ndio Rais huyo wa 2035 mama akimaliza!
Machinga ni timing bomb. Hapa Jijini Mwanza wanasema hakuna shida.Zamani ilikuwa ni ugomvi.
Mama ntilie tu na migambo wa jiji ilikuwa ni vita.
Nashangaa awamu hii, wamekuwa wapendwa, waungwana, nimeona kwa pamoja kwenye ukuta wa Mtaa wa uhuru wakitoa wenyewe bila hata kufukuzwa.
Wakatoa mbaombao wakifuata utaratibu waliopewa.
Aliyebuni hii mbinu anaakili nyingi sana.
Apandishwe cheo.
Amefaulu kama alivyofaulu Makamba enzi za mifuko ya plastic.
hata kama baadae wakileta fujo, ila sasa wanafanya vizuri.
Mtaongea yote ila uholela awamu hii marufuku,tunataka Kodi sio kulea uzembe na uchafu.Zamani ilikuwa ni ugomvi.
Mama ntilie tu na migambo wa jiji ilikuwa ni vita.
Nashangaa awamu hii, wamekuwa wapendwa, waungwana, nimeona kwa pamoja kwenye ukuta wa Mtaa wa uhuru wakitoa wenyewe bila hata kufukuzwa.
Wakatoa mbaombao wakifuata utaratibu waliopewa.
Aliyebuni hii mbinu anaakili nyingi sana.
Apandishwe cheo.
Amefaulu kama alivyofaulu Makamba enzi za mifuko ya plastic.
hata kama baadae wakileta fujo, ila sasa wanafanya vizuri.
Mkuu umekuwa Iniesta safi sana unaupiga mwingi sana.Utakuwa umerogwa wewe!
Maamuzi atoe Rais Samia kuwa wapangwe bila fujo au kuharibiwa vitu vyao alafu sifa zimwendee Magufuli?
Nadhani chuki zako dhidi ya Samia zitakupa ukichaa!
Mafanikio yanayoonekana katika kupangwa upya kwa Wamachinga ni matokeo ya uongozi wa Rais Samia ambaye anaamini kwenye kutumia akili zaidi kuliko nguvu
🤣🤣🤣Mkuu umekuwa Iniesta safi sana unaupiga mwingi sana.
Safi sana Mkuu nimeamini una falsafa nzuri katika maisha yako, utadumu sana.
Kariakoo - Msimbazi leo kimewaka, polisi na machingaZamani ilikuwa ni ugomvi.
Mama ntilie tu na migambo wa jiji ilikuwa ni vita.
Nashangaa awamu hii, wamekuwa wapendwa, waungwana, nimeona kwa pamoja kwenye ukuta wa Mtaa wa uhuru wakitoa wenyewe bila hata kufukuzwa.
Wakatoa mbaombao wakifuata utaratibu waliopewa.
Aliyebuni hii mbinu anaakili nyingi sana.
Apandishwe cheo.
Amefaulu kama alivyofaulu Makamba enzi za mifuko ya plastic.
hata kama baadae wakileta fujo, ila sasa wanafanya vizuri.
opotyunite kostiMtaongea yote ila uholela awamu hii marufuku,tunataka Kodi sio kulea uzembe na uchafu.
Shukrani Mkuu. AminaSafi sana Mkuu nimeamini una falsafa nzuri katika maisha yako, utadumu sana.
Roho ngumu sana hiyo.Tumewatoa Sababu Ile Siku Kawe Tunawauliza "Tunachanja Hatuchanji " Wao Wanajibu Hatuchanji
Teh
Makamu na Rais ni vitu viwili tofauti. Ni mazingira ya kisiasa yanayowaweka pamoja na sio zaidi ya hapo.acha majungu bro.
unawagombanisha viongozi wako.
Ukisifu awamu iliyopita umemsifu na Makamu wa awamu iliyopita.
ndio maana nimeweka alama ya kuuliza, Shule mbona hazisaidii jamii?
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]Utakuwa umerogwa wewe!
Maamuzi atoe Rais Samia kuwa wapangwe bila fujo au kuharibiwa vitu vyao alafu sifa zimwendee Magufuli?
Nadhani chuki zako dhidi ya Samia zitakupa ukichaa!
Mafanikio yanayoonekana katika kupangwa upya kwa Wamachinga ni matokeo ya uongozi wa Rais Samia ambaye anaamini kwenye kutumia akili zaidi kuliko nguvu
Kuna masukuma mengine mashamba sana. Yanaaibisha kabila kubwa la watu waungwana.Unyelile nyanda
Ntombina ,lidusu lya ng"wanoko!Kuna masukuma mengine mashamba sana. Yanaaibisha kabila kubwa la watu waungwana.
Lingine hili hapa!