Je, utumiaji wa kiyoyozi(AC) unaongeza matumizi ya mafuta kwenye gari?

Je, utumiaji wa kiyoyozi(AC) unaongeza matumizi ya mafuta kwenye gari?

Kwenye manual ya gari yangu wameandika kabisa, kati ya vitu vinavyoongeza matumizi ya mafuta ni AC, pamoja na trafic jam
 
Mimi hua sishushi vioo hata kidogo....inakera pale unapompa mtu lift halafu ile kupanda tu anaanza na kupunguza au kuongeza sauti ya redio,akimaliza hapo anabonyeza button ya vioo sasa kwa vile ume-lock button utasikia "bro shusha vioo basi tupate fresh air".


Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mimi binafsi nilishasemaga sitashusha kioo cha gari ni full AC tu. Aliniambiaga fundi wakati nanunua gari yangu ya kwanza na nimeshaweka akilini kuwa kiyoyozi akili mafuta sana kama watu walivyokaririshwa
Mmefukua kaburi.
 
Sijawahi zima ac hata siku moja..

Na vumbi letu si gari litafubaa mapema sana kisa ubahili.
 
Mimi hua sishushi vioo hata kidogo....inakera pale unapompa mtu lift halafu ile kupanda tu anaanza na kupunguza au kuongeza sauti ya redio,akimaliza hapo anabonyeza button ya vioo sasa kwa vile ume-lock button utasikia "bro shusha vioo basi tupate fresh air".


Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji3][emoji3] si unamshusha tu akapate airfresh huko huko nje
 
Back
Top Bottom