Je wajua ??
1. Raisi halipi kodi
2. Makamu wa raisi halipi kodi
3. Waziri mkuu halipi kodi
4. Mawaziri hawalipi kodi
5. Manaibu mawaziri hawalipi kodi
6. Wakuu wa mikoa hawalipi kodi
7. Wakuu wa wilaya hawalipi kodi
8. Wabunge hawalipi kodi
Hawa wote hakuna hata Senti Moja inayoguswa kwenye mishahara yao
Hakuna usawa kwenye nchi hii wengi wameteseka na wengine wameonewa hasa wafanyakazi, wafanyabiashara, wajasiriamali na wakulima
Elimu Elimu Elimu Elimu
Tuielimishe jamii ipate mwamko wa kupambanua mambo kwa ukweli na uwazi.
Tusipumbazwe na kauli za kinafiki kuwa tuwe WAZALE DO wakati viongozi wetu wanakula rasilimali za nchi bure bila jasho!
Katiba mpya ni muhimu
1. Raisi halipi kodi
2. Makamu wa raisi halipi kodi
3. Waziri mkuu halipi kodi
4. Mawaziri hawalipi kodi
5. Manaibu mawaziri hawalipi kodi
6. Wakuu wa mikoa hawalipi kodi
7. Wakuu wa wilaya hawalipi kodi
8. Wabunge hawalipi kodi
Hawa wote hakuna hata Senti Moja inayoguswa kwenye mishahara yao
Hakuna usawa kwenye nchi hii wengi wameteseka na wengine wameonewa hasa wafanyakazi, wafanyabiashara, wajasiriamali na wakulima
Elimu Elimu Elimu Elimu
Tuielimishe jamii ipate mwamko wa kupambanua mambo kwa ukweli na uwazi.
Tusipumbazwe na kauli za kinafiki kuwa tuwe WAZALE DO wakati viongozi wetu wanakula rasilimali za nchi bure bila jasho!
Katiba mpya ni muhimu