Je, Uzinduzi Royal Tour ungekuwa na maana kama Rais Samia angetua kwa Dreamliner & ATC kuzindua Direct Flights from DAR-JFK-DAR/JRO-JFK-JRO?

ATCL kwa sasa haina uwezo huo wa kupata slots ya direct flight to NY ama DC wacha mbwembwe ng’wanone
Dreamliner kwa short routes ni hasara sana. Kuna analysis niliiona mahala ambayo inasema kupata profit kwenye dreamliner, at minimum, ndege iwe inajaza abiria kuanzia 3/4 ya maximum capacity, na pia iruke si chini ya masaa 8 per day. ku-ground ndege pia ni gharama kubwa in terms of maintainance kulik kuihudumia ikiwa ipo active. I stand to be corrected
 
Ukiondoa issue ya US visa restrictions, kampuni yangu ya PPR, ningepewa tenda ya kuijaza Dreamliner, nakuhakikishia ningepata abiria 500!.
P
Positive thinking ila nadhan ishu ni mapokeo ya decision makers. Binafsi siamini kwenye kila kitu kufanywa na serikali, na wala haihitaji kufanyike tafiti ya maana kuweza kugundua kwamba kwenye service industry serikali ilishashindwa pakubwa na bado inaendelea kushindwa pakubwa, kama serikali kweli inania ya kumiliki hizo ndege, basi kwenye kuzi-advertise hizo ndege wawape makampuni binafsi wenye uzoefu-Kwenye hili umeona mbali sana na umekuwa very balanced-na ingekuwa mm pengine ningeongea very harshly sababu sioni maono yao ni yepi kabisa na pesa ni zetu walipa kodi. Serikali haziwezi kufanya kila kitu yenyewe, ni lazima iwainue wengine pia nao wastawi
 
Zile zilikuwa stori za kwenye vijiwe wa vya kahawa, zile zilikuwa zama za propaganda za kuhalalalisha kununua ndege kwa keshi. Baadaye tukaambiwa korona imesababisha zisianze, sasa hivi korona imeisha kuko kimyaaa.
Vipaumbele vya hii nchi wenzetu wenye akili timamu wakitusikiliza wanatucheka sana aisee
 
Kuingiza ndege USA direct kutoka Tanzania sio rahisi kama unavyodhani. Kenya walikua na hiyo ruhusa sijajua kwa sasa wanaendeleaje.
Kuna michakato mingi sana ya kiusalama before kupewa hicho kibali.

Nitashangaa sana kama hata hili haulifahamu.
Kenya Airways walipewa route ya New York to Nairobi lakini lilbidi waiache kwani walikuwa wanapata hasara!!!
 
Hivi wkt Bwn yule analinunua hakujua yote haya?Au alikua ana interest gani kwny kununua hizo ndege?
 
Hiyo cha mtoto. Ipo ile ya Australia to US, masaa 21 non-stop.
Qantas? Niliwahi kwenda Australia kufika Sydney nikawa naunga Tena Brisbane (yaani safari ya Sydney to Brisbane = 5 hours ndani ya nchi moja tu) nilistaajabu Sana. Huku tulishalishwa Sumu ooh Tanzania nchi nzuri sijui kubwa. Kumbe hatujatembea bado
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…