Je, Viongozi wa Idara ambao ni Wachagga waachie ngazi!??

Je, Viongozi wa Idara ambao ni Wachagga waachie ngazi!??

Status
Not open for further replies.
Mwanakijiji Wasahau Hilo Swala Wale Shemeji Zangu((wachaga Wamesoma
Hakuna Anaeingia Kimizwengwe Na Akiingia Kimbilia Makaratasi Ndio Maana
Talalia Za Tra Ziliishia Kuwanyonga Wanyakusa Na Wangoni Waligushi

Kutokana Na Hilo Uraisi Hawatakaa Waupate Maana Wanaupendo Kama Jongoo
Mtoto Washemeji Akiondoka Basi Yupo Wa Mjomba
 
Mwanakijiji,

Ulikuwa bored nini? Sidhani kama Wachagga wako wengi hivyo kwenye idara mbalimbali.

Kazi za serikalini iwe kwa uwezo wa mtu. Kwenye siasa ndiko inatakiwa kuwa mwangalifu lakini sio serikalini.

tena hapa umenipa wazo jingine, kwanini tusifanye sensa maalumu ya kuona idadi ya wachagga, wanyakyusa na wahaya katika taasisi za serikali in contrast ya watu wa makabila mengine.
 
gaijin,

..Chacha Wangwe alikuwa challenged kuhusu madai yake ya Wachaga na wabunge wanawake wa Chadema kwamba Mama Anna Komu ni mzaliwa wa Zanzibar.

..majibu yake yalikuwa mama huyo ameolewa Uchagani, watoto wake ni Wachaga, hivyo ni wa huko huko Uchagani.

..tena mara nyingine watu wenye hoja kama za Chacha Wangwe huwatumbukiza hata Wapare ktk kundi moja na Wachaga, kuunda kabila la Wakilimanjaro.

Mama Anna Komu si Mpemba japo kuwa ni mzaliwa wa znz ndio maana akafata kabila la mumewe.

ila wapemba na wangazija wana tabia ya kukugeuza wewe uliyeoa kwao kuwa kabila lao.

na mtoto anageuka kabila lao.

lipumba aweza akakubwa na uchaga ila mama maghimbi nna wasi wasi bwana maghimbi ndio anaweza kujikuta 'akiwapendelea' wapemba zaidi ya anavyowapendelea wakilimanjaro kwa vile kabila la mkewe limemvuta.

(ni general view tu ya kabila la wapemba, haimaanishi kuwa wote wako hivyo )
 
Mkjj,unachomaanisha hapa kitaeleweka sana na wachache.Na katika jamii yenye watu wa aina mbalimbali utakuta kuna wale ambao kwa mfano ulipotaja wachaga,wanaweza wakajitokeza wachaga wakareact emotionally as a response kwa ulichoandika hapa though unamaanisha kitu kingine hapa.

Hapo huoni utakua umeiweka jamii katika delicate situation? Haya masuala yanayohusiana na ukabila na Udini au rangi ni masuala ambayo ni delicate sana.For example hii post hapa pengine unataka watu wajaribu kuvuta picha halisi ya kile ambacho kitatokea au madhara yatakayotokea endapo mambo uliyoandika hapo yatakua imlemented,but people with different perceptions will swallow it in a different way.
 
Mkjj,unachomaanisha hapa kitaeleweka sana na wachache.Na katika jamii yenye watu wa aina mbalimbali utakuta kuna wale ambao kwa mfano ulipotaja wachaga,wanaweza wakajitokeza wachaga wakareact emotionally as a response kwa ulichoandika hapa though unamaanisha kitu kingine hapa.

Hapo huoni utakua umeiweka jamii katika delicate situation? Haya masuala yanayohusiana na ukabila na Udini au rangi ni masuala ambayo ni delicate sana.For example hii post hapa pengine unataka watu wajaribu kuvuta picha halisi ya kile ambacho kitatokea au madhara yatakayotokea endapo mambo uliyoandika hapo yatakua imlemented,but people with different perceptions will swallow it in a different way.


NI lazima tuguse fikra za watu, tusiogope kuprovoke mawazo mepesi au fikra nyepesi. mara nyingi mambo haya ya ubaguzi wa dini, na kabila yamechukuliwa lightly.
 
Mimi nina OMBI moja...!
Nataka uweke viongozi hao wachagga hapa ili tujuwe ni wangapi wa kuteuliwa na wangapi walichaguliwa na wananchi!

Maana naona hapa issue ni kuwa kuna upendeleo!
Na pia tunataka majina ya wale wote waliohusika kwenye UFISADI ILI TUONE KAMA NI WACHAGGA..Hili ni ombi...Na madhumuni yake ni ili Ufisadi ushughulikiwe na si wachagga!

Sasa kwa kumbukumbu zangu sikumbuki ni lini kumeshawahi kuwa na rais mchagga!

Naomba listi ya hao wachagga kabla sijatoa msisitizo wangu kuwa huu ni mpango mahsusi wa kuligawa taifa!

Ama hii ni hoja ya majimbo kwa mlango wa nyuma!
Nataka uweke dataz hapa...Na pia tuone kama wamehusika vipi na UFISADI.
Na kama ikionekana kuwa Wachagga ndiyo mafisadi...Basi na mimi nitajivua uchagga!
 
Ninatangaza Kujitoa Rasmi Katika Jukwaa La Sayansi Na Technologia Niachie Wengine Waendeleze Wimbi Mimi Nitakuwa Mtazamani Tu

Ahsanteni
 
Ben,Mwanakijiji,

..watu wanapenda kulalamika na kushutumu Wachaga.

..lakini wanapoletewa mapendekezo on how to go about solving the problems they have with "Uchaga" wanataharuki.

..inaelekea kuna watu ambao wanaogopa kusipokuwepo na malalamiko/lawama basi umuhimu wao utapungua.

..hili bandiko la Mwanakijiji ni njia ya kutuleta wote pamoja kuongelea matatizo yetu kama watu wazima na zaidi kama wanafamilia.
 
Mimi nina OMBI moja...!
Nataka uweke viongozi hao wachagga hapa ili tujuwe ni wangapi wa kuteuliwa na wangapi walichaguliwa na wananchi!

Maana naona hapa issue ni kuwa kuna upendeleo!
Na pia tunataka majina ya wale wote waliohusika kwenye UFISADI ILI TUONE KAMA NI WACHAGGA..Hili ni ombi...Na madhumuni yake ni ili Ufisadi ushughulikiwe na si wachagga!

Sasa kwa kumbukumbu zangu sikumbuki ni lini kumeshawahi kuwa na rais mchagga!

Naomba listi ya hao wachagga kabla sijatoa msisitizo wangu kuwa huu ni mpango mahsusi wa kuligawa taifa!

Ama hii ni hoja ya majimbo kwa mlango wa nyuma!
Nataka uweke dataz hapa...Na pia tuone kama wamehusika vipi na UFISADI.
Na kama ikionekana kuwa Wachagga ndiyo mafisadi...Basi na mimi nitajivua uchagga!

Jmushi... tafuta orodha hiyo wewe mwenyewe. Badala ya kuomba kaa chini na kusanya majina ya wabunge wote, idara mbalimbali n.k halafu uamue. Sijui ni nani unayemwomba hizo orodha. Usisubiri mwingine akufanyie kile unachoweza kufanya wewe mwenyewe.
 
A MODEST PROPO

Katika kufanya hivyo jamii ya Watanzania ambao inaona ukabila wa wachagga katika sehemu nyingi itaridhika kwani kwa mara ya kwanza tutakuwa tumeshughulikia chanzo cha matatizo yetu mengi.


Wachaga ndo chanzo cha matatizo?hivi kwa mfano hao mawaziri walijiudhuru kwa ufisadi ni wachaga?mkjj jamani hizi issue za ukabila hazifai!
 
Wachaga ndo chanzo cha matatizo?hivi kwa mfano hao mawaziri walijiudhuru kwa ufisadi ni wachaga?mkjj jamani hizi issue za ukabila hazifai!

I know.. ndio maana napendekeza Wachagga wakae pembeni tu kwa muda... ili tupate watu wa makabila mengine ili tuwalaumu.
 
Jmushi... tafuta orodha hiyo wewe mwenyewe. Badala ya kuomba kaa chini na kusanya majina ya wabunge wote, idara mbalimbali n.k halafu uamue. Sijui ni nani unayemwomba hizo orodha. Usisubiri mwingine akufanyie kile unachoweza kufanya wewe mwenyewe.

I know.. ndio maana napendekeza Wachagga wakae pembeni tu kwa muda... ili tupate watu wa makabila mengine ili tuwalaumu

Wewe ndiyo wa kufanya hivyo kwasababu haya ndiyo madai yako!
Sasa wewe utoe madai na mimi nikupe ushahidi?
Na pia lengo langu ni kuwa separate wale wachagga waliochaguliwa na wananchi VS wale walioteuliwa na wachagga wenzao!
Madai kwamba mimi sitakiwi kushiriki kwenye mjadala unaogusa ukabila tena ukabila wa chuki dhidi ya kabila lolote lile ni madai yasiyokuwa na msingi kabisa!
 
Lakini unajua hata kule Kenya watu waliohusishwa au vijana waliotumika zaidi katika kufanya mauaji after election walikua wale wenye fikra nyepesi.

Offcourse huwezi au siwezi kukana kwamba kuna wachagga ambao wamekua wakijihusisha au kushutumiwa kuhusika na ufisadi mkubwa tu serikalini, na pia chuki against chagga tribe ni za wazi.But at the point of adressing this issue,we must make anitial steps as trial through intellectual forums first.even what we are practicing here right now can be one of the best initiative in adressing the hatred against this particular ethnic group.

Ni bora kama tumeamua kudili nalo hapa na to stick nalo hapa kwanza tuone matokeo yake hapa kwa watu ambao wana uelewa mkubwa kwamba wao wameweza au tumeweza vipi kulijadili na tumefikia wapi before initiate another move out
 
Mwanakijiji today u didnt write kitu chochote yani nazan kunamtu anakutumia sikuzote nilikuwa nakuamin kwamada makini .nothing, kuwa wewe na andika mambo yenye akili kama kweli
 
I know.. ndio maana napendekeza Wachagga wakae pembeni tu kwa muda... ili tupate watu wa makabila mengine ili tuwalaumu.

Wachaga hawawezi kukaa pembeni maana wana sifa za kuwepo katika nafasi walizopo labda kama wamezipata hizo nafasi kwa njia zisizo halali!Nafikiri sio katika kila nafasi kuna mchaga kwani kuna hata makabila mengine wana nafasi zao!sidhani kama ni haki kumlaumu mtu kutokana na kabila lake!kwanza naamini karne zijazo tutakuwa na kabila moja tu la kiswahili
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom