Je, Viongozi wa Idara ambao ni Wachagga waachie ngazi!??

Status
Not open for further replies.
Hivi tumewahi kuwa na raisi mchaga?

na siku akiwepo, ndipo nchi itakapouzwa! meaning hata mbowe asiote kuwa rais, alishindwa mrema then mbatia au prof shao/yo waote urais???

Claopa Mpare yule babu
 
na siku akiwepo, ndipo nchi itakapouzwa! meaning hata mbowe asiote kuwa rais, alishindwa mrema then mbatia au prof shao/yo waote urais???

Claopa Mpare yule babu

kwani kuna tofauti kati ya wapare na wachaga? si wote wanatokea moshi...
 
...kwa hiyo na rais aruhusu waajiri wakwere, wamasai, waha, wahadzabe na wengineo ambao hawana qualifications ili tu kuwaeliminate wachagga?

Mwanakijiji umekuwa ukitetea Wachaga all along tokea controversy la Uchaga wa CHADEMA liibuke, unasema wako targeted.

Naomba tafadhali utetee hao wanne waliotandikwa dongo baya kama la nguoni hapo juu.
 
kwani kuna tofauti kati ya wapare na wachaga? si wote wanatokea moshi...

hiyo mada ingine kabisa, maana huko kuna wapare na wachaga. Ujue sumu ya ubaguzi haiishi katika wapare kuna wambughu sijui, wachome, wasangi na katika wachaga waorombo, wakibosho, wamachame, wamarangu, wauru, wamarangu. Kwenye wamarangu kuna wakilema, wakirua, wa vunjo, wa mamba, wa marangu mtoni, wa samanga, wa himo. Kazi ipo.
 
wewe huna mpango na dhidi siku zinavyozidikenda ndio jinsi uwezo wa upeo wako unavyozidi kujionyesha na kwamba wewe si lelote zaidi ya limbukeni na uliyejaa chuki kwa kwa watu wenye asili ya kiafrika ambao kwa bahati mbaya au nzuri wewe umetokea kuwa mmoja wapo....
Si zamani sana hapa watu walikuwa walikuwa wanongelea juu ya ms tz kuwa mhindi na wewe ulikuwa wakwanza kumteteta na kuwaita woote waliokuwa wanampinga wabaguzi, sasa cha ajabu ni kwamba leo hii unawaona wachaga ambao ni watu wenye asili ya kiafrika ambao asili yao ktk sehemu ambayo leo inajulikana kama tanzania inarudi miaka mingi sana, hawafai na wapigwe vita kutokana na maneno yako wakati kila mtu anafahamu mchango mkubwa wa wachaga ktk taifa letu baadhi yetu hata tusingeweza kusoma bila shule za wazazi zilizojengwa na hawa watu, baadhi yetu tusingepata kazi bila makampuni yaliyoanzishwa na kuendeshwa na wachaga, mchango wa wachaga kwa taifa kiuchumi ni mkubwa sana kiasi kwamba nashangaa mtu ambaye anjifanya ni mpigania haki ya watz anshindwa kuliona hilo na kuanza kuwapiga vita....
Kwa taarifa yako wachaga wanaotorosha mali ya tz nje ya nchi niwachache sana ukilinganishwa na hao wahindi unaowatetea...
Jikomboe ndugu, tatizo lako wewe SI LINGINE BALI CHUKI BINAFSI UNACHUKIA KILA KITU CHEUSI NA CHA KIAFRIKA NA KUTUKUZA KITU CHECHOTE KISICHO CHA KIAFRIKA NAJUA BADO HAUJAWEZA KUJIKOMBOA KUTOKA KTK FIKRA ZA CHUKI BINAFSI ULIZOPANDIKIZWA KWENYE SHULE YA MISHENI ULIHUDHURIA (sina uhakika lkn nahisi ulisoma shule za misheni za wazungu), NA SASA NAAMINI KWAMBA ADUI YETU MKUBWA HAYUPO MBALI BALI NI HAPA HAPA KWETU NA NI LAZIMA TUANZE KUSAFISHA NYUMBANI KWETU KWANZA NA INABIDI TUANZE NA WATU KAMA WEWE KAMA KWELI TUNATAKA KUPIGA HATUA MBELE......
 
na siku akiwepo, ndipo nchi itakapouzwa! meaning hata mbowe asiote kuwa rais, alishindwa mrema then mbatia au prof shao/yo waote urais???

Claopa Mpare yule babu


Mama,
Na hizi fikra ndizo tunajaribu kuzibadilisha sasa.Ila sidhani kama utakua uanawatendea haki.
 
Mama,
Na hizi fikra ndizo tunajaribu kuzibadilisha sasa.Ila sidhani kama utakua uanawatendea haki.

maana thread inasema waachie ngazi, kwani hao sio wachaga na wao waachie ngazi, what so exceptional with uchaga wao hadi useme hawatendewi haki?
 

Ayayayayayaaaa.....wewe ndio umefungua kopo la nyungunyungu sasa....mwenzio hata nilikuwa sijui wapi wanatokea wapi zaidi ya Moshi....kumbe hata wao kwa wao wamegawanyika hivyo....I give up....sote ni Watanzania tu....
 
hivi na Kimei yule managing director wa CRDB ni mchaga eeh, bahati mbaya Mgonja katibu mkuu wa wizara ya fedha sijui ni Mpare.
 
maana thread inasema waachie ngazi, kwani hao sio wachaga na wao waachie ngazi, what so exceptional with uchaga wao hadi useme hawatendewi haki?

Mama,
Namaanisha huwatendei haki wachaga ukisema kama akiwa rais mchaga ndio nchi itauzwa.
 
Mama,
Namaanisha huwatendei haki wachaga ukisema kama akiwa rais mchaga ndio nchi itauzwa.

ahaaaaaa, ok! lakini unakubali kuwa mchaga yeyote hafai kugombea urais kwa jinsi walivyoonyesha mbegu ya ukabila ka ilivyoelezwa kwenye thread hii?
 
Ni kweli Kilmanjaro wachagga pia ni tofauti na kulikuwa na mapigano sana kati yao kipindi cha nyuma na sasa wanaishi pamoja tu.
Hata hawa wamarekani wenyewe walishapitia civil wars karne nyingi zilizopita!
Hatuna haja ya kupitia huko kama tutajifunza kutokana na makosa ya wenzetu!
Hivyo basi Taifa zima lijifunze kutoka KILIMANJARO kwani ni makabila ambayo yalishapigana sana na sasa yameamuwa kukaa pamoja!
Hata wapare na Wachagga walizipiga sana tu!
Na hata kabila la Mbowe la machame nao walizipiga sana tu na Wakibosho!
NI MUHIMU TAIFA LIKAJIFUNZA NA LIFUATE MFANO WA WAZALENDO WALIOAMUA KUKAA PAMOJA LICHA YA OTAFAUTI WA LUGHA NA UTAMADUNI!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…